Pamoja na Kutolewa ila Simba SC imeiheshimisha nchi Waitwe Bungeni Kushukuriwa

Pamoja na Kutolewa ila Simba SC imeiheshimisha nchi Waitwe Bungeni Kushukuriwa

Ndiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.

Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
Robo Tinyo....
 
All in all Huyu golikipa wa Simba 🦁 hakua mzoefu na penalty....anazidiwa hata na MOHAMED MAKAKA wa mtibwa sugar.....kwenye kua tishio kwenye kuokoa penalty.............
Sijui kama mnanielewa....

Nauhakika AIR MANULA ange okoa hata mkwaju mmoja.....

Nimesikitiswa na kapombe kukosa penalty sio kawaida yake.....Ni mchezaji tunae tumia mguu mmoja.........alitakiwa apige ule upande mwingine.....

Chama alipiga penalty ya kidhaifu sana....Bora hata angepiga penalty ya ki Cameroon.....

Kwa sisi ambao tumetrain sanaa penalty tunajua kwenda kupiga penalty tayar ni Nusu goli......

Mm hata akiwekwa kipa namba Moja duniani hawezi cheza penalty yangu.....

Natamani golini ange kua Muhammad Mwameja.....

Matokeo yameniumiza sana tena sana ilikua ni lazima mmoja atoke ila nature imetuchagua sisi.....
nipo hapa najitahid ku cope with Experience's
Tatizi kubwa la Simba la muda mrefu ni kutoweka maslahi ya timu mbele kabla ya mtu au kitu kingine chochote. Nitatoa mifano michache.

Kumuweka nje Kakolanya kisa tu wanataka kumkomoa (wakitumia kisingizio cha kutomuamini) ni moja ya mambo hayo. Salum ni wazi hana uzoefu wowote na ana ujuzi mdogo katika udakaji wa penati, Simba wangeweka pride pembeni na kumuingiza Kakolanya hata dakika zile za mwisho kwa ajili ya kudaka penati, story ingeweza kuwa tofauti. Nadhani hata Beno anaweza kuwa mpigaji mzuri wa penati.

Onyango ameigharimu sana Simba msimu huu lakini kuna ukakasi katika kumuwajibisha au kumuweka pembeni.

Haya yote nasema kuonyesha kuna shida katika kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya timu.

Chama baada ya kipindi cha kwanza alionekana amechoka. Kuna foul alipiga mpira dhaifu sana na penati hivyo hivyo. Naelewa labda aliavhwa kwa ajili ya penati ila penati ya mwisho kama ile ya kuamua mechi ambayo mnapiga mkiwa nyuma, wataalamu huwa wanapiga aliposimama kipa maana wanajua ataruka tu kujaribu kumaliza gemu. Zoezi la penati ni zoezi la kisaikolojia kuliko kitu kingine ingawa siku hizi penati pia zinapigwa zenye nguvu siyo kama ile ya Chama iliyokuwa dhaifu.
 
Tatizi kubwa la Simba la muda mrefu ni kutoweka maslahi ya timu mbele kabla ya mtu au kitu kingine chochote. Nitatoa mifano michache.

Kumuweka nje Kakolanya kisa tu wanataka kumkomoa (wakitumia kisingizio cha kutomuamini) ni moja ya mambo hayo. Salum ni wazi hana uzoefu wowote na ana ujuzi mdogo katika udakaji wa penati, Simba wangeweka pride pembeni na kumuingiza Kakolanya hata dakika zile za mwisho kwa ajili ya kudaka penati, story ingeweza kuwa tofauti. Nadhani hata Beno anaweza kuwa mpigaji mzuri wa penati.

Onyango ameigharimu sana Simba msimu huu lakini kuna ukakasi katika kumuwajibisha au kumuweka pembeni.

Haya yote nasema kuonyesha kuna shida katika kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya timu.

Chama baada ya kipindi cha kwanza alionekana amechoka. Kuna foul alipiga mpira dhaifu sana na penati hivyo hivyo. Naelewa labda aliavhwa kwa ajili ya penati ila penati ya mwisho kama ile ya kuamua mechi ambayo mnapiga mkiwa nyuma, wataalamu huwa wanapiga aliposimama kipa maana wanajua ataruka tu kujaribu kumaliza gemu. Zoezi la penati ni zoezi la kisaikolojia kuliko kitu kingine ingawa siku hizi penati pia zinapigwa zenye nguvu siyo kama ile ya Chama iliyokuwa dhaifu.
Nakubaliana na wewe 100%
 
images - 2023-04-29T134638.416.jpeg
 
All in all Huyu golikipa wa Simba [emoji881] hakua mzoefu na penalty....anazidiwa hata na MOHAMED MAKAKA wa mtibwa sugar.....kwenye kua tishio kwenye kuokoa penalty.............
Sijui kama mnanielewa....

Nauhakika AIR MANULA ange okoa hata mkwaju mmoja.....

Nimesikitiswa na kapombe kukosa penalty sio kawaida yake.....Ni mchezaji tunae tumia mguu mmoja.........alitakiwa apige ule upande mwingine.....

Chama alipiga penalty ya kidhaifu sana....Bora hata angepiga penalty ya ki Cameroon.....

Kwa sisi ambao tumetrain sanaa penalty tunajua kwenda kupiga penalty tayar ni Nusu goli......

Mm hata akiwekwa kipa namba Moja duniani hawezi cheza penalty yangu.....

Natamani golini ange kua Muhammad Mwameja.....

Matokeo yameniumiza sana tena sana ilikua ni lazima mmoja atoke ila nature imetuchagua sisi.....
nipo hapa najitahid ku cope with Experience's
SPAIN vs MOROCCO world cup uliona MOROCCO jinsi walivyopiga penati zao?

Kama uliangalia kwa umakini utagundua hao jamaa WYDAD wanapata session ya kujifunza upigaji wa penati, kwanza MIWA, pili zinapigwa far post.

Sijaona mkwaju wowote wa Penati ambao Manula angeweza kudaka. Tuseme tu Simba walipaswa kufunga penati zao basi. Suala la kukosa hao WYDAD labda kupiga Nje.
 
SPAIN vs MOROCCO world cup uliona MOROCCO jinsi walivyopiga penati zao?

Kama uliangalia kwa umakini utagundua hao jamaa WYDAD wanapata session ya kujifunza upigaji wa penati, kwanza MIWA, pili zinapigwa far post.

Sijaona mkwaju wowote wa Penati ambao Manula angeweza kudaka. Tuseme tu Simba walipaswa kufunga penati zao basi. Suala la kukosa hao WYDAD labda kupiga Nje.
Nakunukuu,
"Kama uliangalia kwa umakini utagundua hao jamaa WYDAD wanapata session ya kujifunza upigaji wa penati, kwanza MIWA, pili zinapigwa far post"

Sipingani na wewe ila tukijalibu kuwa angalia magolikipa kama JUMA KASEJA,
walikua na kitu Cha ziada ambacho wengine hawana....,.
 
Nakunukuu,
"Kama uliangalia kwa umakini utagundua hao jamaa WYDAD wanapata session ya kujifunza upigaji wa penati, kwanza MIWA, pili zinapigwa far post"

Sipingani na wewe ila tukijalibu kuwa angalia magolikipa kama JUMA KASEJA,
walikua na kitu Cha ziada ambacho wengine hawana....,.
Vitu kuwazidi makipa wa Spain national team?
 
Ndiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.

Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
Mm ni shabiki mkubwa wa Simba, ila mambo ya kupeleka teams bungeni siyaungi mkono, sijawahi kusikia real Madrid wakipelekwa kwenye bunge la Spain. Bungeni tupeleke CAG reports na vingine! Hongera Simba kwa hatua mliyofikia, siwadai kitu, let's come back stronger next season!
 
Ndiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.

Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
Heshima ipi?imefungwa ndani ya dk 90...lakini pia imefungwa kwenye penati mbaya zaidi timu imekosa penati mbili na kipa wa Simba hajazui a hata penati moja....kichekesho kipa alikuwa anaruka upande mmoja tu.
 
Vitu kuwazidi makipa wa Spain national team?
Katika maisha yangu nimeshuhudia watu wenye Talent kubwa pengine kupita hata hao wa Spain national team kinacho tu let down ni mazingira magumu huku Africa 🌍
Nacheza mpira huku nadaiwa rejesho la vikoba, Nadaiwa Kodi ya pango, Meseji Ina ingia umeme umeisha Leo ni zamu yetu....
factor ni nyingi sana 🤓
 
Back
Top Bottom