Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Ni kwel ila kocha Kwa timu za ulaya anapewa kazi....& to be fired after not fulfill the agreement š¤Ila hata sisi mashabiki tunashida. Ni sisi hawahawa tulimzomea kocha siku alipomfanyia substitution chama, nadhani kwenye mechi ya league. Tumemtia woga wa kufanya maamuzi kocha wa watu.