Pamoja na Kutolewa ila Simba SC imeiheshimisha nchi Waitwe Bungeni Kushukuriwa

Pamoja na Kutolewa ila Simba SC imeiheshimisha nchi Waitwe Bungeni Kushukuriwa

All in all Huyu golikipa wa Simba 🦁 hakua mzoefu na penalty....anazidiwa hata na MOHAMED MAKAKA wa mtibwa sugar.....kwenye kua tishio kwenye kuokoa penalty.............
Sijui kama mnanielewa....

Nauhakika AIR MANULA ange okoa hata mkwaju mmoja.....

Nimesikitiswa na kapombe kukosa penalty sio kawaida yake.....Ni mchezaji tunae tumia mguu mmoja.........alitakiwa apige ule upande mwingine.....

Chama alipiga penalty ya kidhaifu sana....Bora hata angepiga penalty ya ki Cameroon.....

Kwa sisi ambao tumetrain sanaa penalty tunajua kwenda kupiga penalty tayar ni Nusu goli......

Mm hata akiwekwa kipa namba Moja duniani hawezi cheza penalty yangu.....

Natamani golini ange kua Muhammad Mwameja.....

Matokeo yameniumiza sana tena sana ilikua ni lazima mmoja atoke ila nature imetuchagua sisi.....
nipo hapa najitahid ku cope with Experience's
Umedata mpaka unaomba Mwameja arudi golini.
 
Sijaona ukiume wowote, waliingia na matokeo yao mkononi. Wakajiona watampiga mwarabu 2, kwamba wydad ataambulia kagoli kamoja, wao wapenye kwa goli la nyumbani.

Wameambiwa wydad akiwa kwenye Ardhi yake, hana mchezo. Simba shots on target hata moja hawakujaribu, utasema wamepigana kiume? Ukweli ni kwamba walizidiwa kila mahali, Possession, Shots, Passes.
Acheni kumuongezea maiti damu.
 
Sijaona ukiume wowote, waliingia na matokeo yao mkononi. Wakajiona watampiga mwarabu 2, kwamba wydad ataambulia kagoli kamoja, wao wapenye kwa goli la nyumbani.

Wameambiwa wydad akiwa kwenye Ardhi yake, hana mchezo. Simba shots on target hata moja hawakujaribu, utasema wamepigana kiume? Ukweli ni kwamba walizidiwa kila mahali, Possession, Shots, Passes.
Acheni kumuomgezea maiti damu.
wapuuuzi jinga lingine ilo toto apo juu
 
Sijaona ukiume wowote, waliingia na matokeo yao mkononi. Wakajiona watampiga mwarabu 2, kwamba wydad ataambulia kagoli kamoja, wao wapenye kwa goli la nyumbani.

Wameambiwa wydad akiwa kwenye Ardhi yake, hana mchezo. Simba shots on target hata moja hawakujaribu, utasema wamepigana kiume? Ukweli ni kwamba walizidiwa kila mahali, Possession, Shots, Passes.
Acheni kumuongezea maiti damu.
Kamua limao unywe!
 
Naunga mkono hoja.Jana mashabiki wa WAC wote walikuwa kimya kama wameukalia .Bahati ,Bahati Bahati haikuwa kwetu.
 
Ndiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.

Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.

Wewe kweli popo mama
Mwaka wa nne wanaishia pale pale robo fainal wanaheshimisha kitu gani
 
Ndiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.

Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
Yaani shirt off target 0, short on tarfet 0, ndio uitwe bungenišŸ¤”šŸ¤” kwa lipi hasa ulilolifanya mkuu
 
Ndiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.

Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
Sifa za kijinga hizo, ndiyo maana kuendelea ni ngumu sana kwa fikra zenu ndiyo hizi. Anyway tumeishwazoea nanyi mmesharizika na ubingwa wenu wa robo fainal, wapelekeni bungeni sijui wanaenda na kipi? Bora msubiri nbc au azam sport federation mnaweza pata cha kwenda nacho mjengoni, mbali na hapo ni uzumbukuku na upopoma.
 
Sijaona ukiume wowote, waliingia na matokeo yao mkononi. Wakajiona watampiga mwarabu 2, kwamba wydad ataambulia kagoli kamoja, wao wapenye kwa goli la nyumbani.

Wameambiwa wydad akiwa kwenye Ardhi yake, hana mchezo. Simba shots on target hata moja hawakujaribu, utasema wamepigana kiume? Ukweli ni kwamba walizidiwa kila mahali, Possession, Shots, Passes.
Acheni kumuongezea maiti damu.
Wanasema wametoka kiume zamani walikua wanatoka kike
 
Back
Top Bottom