GANA BANKS
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 608
- 872
Sasa utapataje magoli hata attempt hakuna ?Hizo statistics ndiyo magoli...?
AahaaaaaHivi simba katolewa kumbe
Naunga mkono hojaUkisikia kudhorotesha soka la Tz ndo huku Robo fainal ndo nini si kila siku anaishia hapo nini cha ajabu wakapoteze muda Bungeni.....
kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo
ulichezea timu ganiAll in all Huyu golikipa wa Simba [emoji881] hakua mzoefu na penalty....anazidiwa hata na MOHAMED MAKAKA wa mtibwa sugar.....kwenye kua tishio kwenye kuokoa penalty.............
Sijui kama mnanielewa....
Nauhakika AIR MANULA ange okoa hata mkwaju mmoja.....
Nimesikitiswa na kapombe kukosa penalty sio kawaida yake.....Ni mchezaji tunae tumia mguu mmoja.........alitakiwa apige ule upande mwingine.....
Chama alipiga penalty ya kidhaifu sana....Bora hata angepiga penalty ya ki Cameroon.....
Kwa sisi ambao tumetrain sanaa penalty tunajua kwenda kupiga penalty tayar ni Nusu goli......
Mm hata akiwekwa kipa namba Moja duniani hawezi cheza penalty yangu.....
Natamani golini ange kua Muhammad Mwameja.....
Matokeo yameniumiza sana tena sana ilikua ni lazima mmoja atoke ila nature imetuchagua sisi.....
nipo hapa najitahid ku cope with Experience's
They can't growWazee wa Quarter Final
Wame paki bus eti leo tuwaite wametokaa kishujaaSasa utapataje magoli hata attempt hakuna ?
LIBOLO FCulichezea timu gani
Chama ana ustaa wa kijingaAll in all Huyu golikipa wa Simba [emoji881] hakua mzoefu na penalty....anazidiwa hata na MOHAMED MAKAKA wa mtibwa sugar.....kwenye kua tishio kwenye kuokoa penalty.............
Sijui kama mnanielewa....
Nauhakika AIR MANULA ange okoa hata mkwaju mmoja.....
Nimesikitiswa na kapombe kukosa penalty sio kawaida yake.....Ni mchezaji tunae tumia mguu mmoja.........alitakiwa apige ule upande mwingine.....
Chama alipiga penalty ya kidhaifu sana....Bora hata angepiga penalty ya ki Cameroon.....
Kwa sisi ambao tumetrain sanaa penalty tunajua kwenda kupiga penalty tayar ni Nusu goli......
Mm hata akiwekwa kipa namba Moja duniani hawezi cheza penalty yangu.....
Natamani golini ange kua Muhammad Mwameja.....
Matokeo yameniumiza sana tena sana ilikua ni lazima mmoja atoke ila nature imetuchagua sisi.....
nipo hapa najitahid ku cope with Experience's
unapenda kuchezea LIBOLO eehLIBOLO FC
Kwa chama nakubaliana na wewe. Nilimuona akipiga tu bila maandalizi. Hakurudi nyuma kabla ya kupiga ili kuongeza force ya upigaji. Kifupi hakuwa serious katika upigaji.All in all Huyu golikipa wa Simba 🦁 hakua mzoefu na penalty....anazidiwa hata na MOHAMED MAKAKA wa mtibwa sugar.....kwenye kua tishio kwenye kuokoa penalty.............
Sijui kama mnanielewa....
Nauhakika AIR MANULA ange okoa hata mkwaju mmoja.....
Nimesikitiswa na kapombe kukosa penalty sio kawaida yake.....Ni mchezaji tunae tumia mguu mmoja.........alitakiwa apige ule upande mwingine.....
Chama alipiga penalty ya kidhaifu sana....Bora hata angepiga penalty ya ki Cameroon.....
Kwa sisi ambao tumetrain sanaa penalty tunajua kwenda kupiga penalty tayar ni Nusu goli......
Mm hata akiwekwa kipa namba Moja duniani hawezi cheza penalty yangu.....
Natamani golini ange kua Muhammad Mwameja.....
Matokeo yameniumiza sana tena sana ilikua ni lazima mmoja atoke ila nature imetuchagua sisi.....
nipo hapa najitahid ku cope with Experience's
Sasa hizo attempt za Wydad zimeleta magoli mangapi...?Sasa utapataje magoli hata attempt hakuna ?
AsanteKwa chama nakubaliana na wewe. Nilimuona akipiga tu bila maandalizi. Hakurudi nyuma kabla ya kupiga ili kuongeza force ya upigaji. Kifupi hakuwa serious katika upigaji.
Kabisa, alipiga kishikaji sana. Simlaumu Kapombe, mahesabu yaligoma tu lakini alikuwa serious.Chama ana ustaa wa kijinga
Must you show your foolishness everywhere??unapenda kuchezea LIBOLO eeh
TrueKabisa, alipiga kishikaji sana. Simlaumu Kapombe, mahesabu yaligoma tu lakini alikuwa serious.
Hahahah hujui kitu KiujumlaWame paki bus eti leo tuwaite wametokaa kishujaa
Hii je una ijuaHahahah hujui kitu Kiujumla
Ila hata sisi mashabiki tunashida. Ni sisi hawahawa tulimzomea kocha siku alipomfanyia substitution chama, nadhani kwenye mechi ya league. Tumemtia woga wa kufanya maamuzi kocha wa watu.Asante