Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Ni kwel ila kocha Kwa timu za ulaya anapewa kazi....& to be fired after not fulfill the agreement 🤝Ila hata sisi mashabiki tunashida. Ni sisi hawahawa tulimzomea kocha siku alipomfanyia substitution chama, nadhani kwenye mechi ya league. Tumemtia woga wa kufanya maamuzi kocha wa watu.
Umepaniki janja relax piga mswaki uende jumuiyaMust you show your foolishness everywhere??
tafuta namba za madaktari wa mirembeHii je una ijuaView attachment 2603233
Umedata mpaka unaomba Mwameja arudi golini.All in all Huyu golikipa wa Simba 🦁 hakua mzoefu na penalty....anazidiwa hata na MOHAMED MAKAKA wa mtibwa sugar.....kwenye kua tishio kwenye kuokoa penalty.............
Sijui kama mnanielewa....
Nauhakika AIR MANULA ange okoa hata mkwaju mmoja.....
Nimesikitiswa na kapombe kukosa penalty sio kawaida yake.....Ni mchezaji tunae tumia mguu mmoja.........alitakiwa apige ule upande mwingine.....
Chama alipiga penalty ya kidhaifu sana....Bora hata angepiga penalty ya ki Cameroon.....
Kwa sisi ambao tumetrain sanaa penalty tunajua kwenda kupiga penalty tayar ni Nusu goli......
Mm hata akiwekwa kipa namba Moja duniani hawezi cheza penalty yangu.....
Natamani golini ange kua Muhammad Mwameja.....
Matokeo yameniumiza sana tena sana ilikua ni lazima mmoja atoke ila nature imetuchagua sisi.....
nipo hapa najitahid ku cope with Experience's
IF YOU USE THIS ENERGY FOR YOUR LIFE THEN,YOU WILL NOT BEGGING FOR FOODUmepaniki janja relax piga mswaki uende jumuiya
?????? yote haya kisa mmetolewa robo fainali haya poa mzee wa kuchezea LIBOLO mmepambna kiume case closedIF YOU USE THIS ENERGY FOR YOUR LIFE THEN,YOU WILL NOT BEGGING FOR FOOD
wapuuuzi jinga lingine ilo toto apo juuSijaona ukiume wowote, waliingia na matokeo yao mkononi. Wakajiona watampiga mwarabu 2, kwamba wydad ataambulia kagoli kamoja, wao wapenye kwa goli la nyumbani.
Wameambiwa wydad akiwa kwenye Ardhi yake, hana mchezo. Simba shots on target hata moja hawakujaribu, utasema wamepigana kiume? Ukweli ni kwamba walizidiwa kila mahali, Possession, Shots, Passes.
Acheni kumuomgezea maiti damu.
Kamua limao unywe!Sijaona ukiume wowote, waliingia na matokeo yao mkononi. Wakajiona watampiga mwarabu 2, kwamba wydad ataambulia kagoli kamoja, wao wapenye kwa goli la nyumbani.
Wameambiwa wydad akiwa kwenye Ardhi yake, hana mchezo. Simba shots on target hata moja hawakujaribu, utasema wamepigana kiume? Ukweli ni kwamba walizidiwa kila mahali, Possession, Shots, Passes.
Acheni kumuongezea maiti damu.
Pole sana, naelewa...Kamua limao unywe!
Wydad kipindi cha pili hakuna Ontarget.....Ushujaa upi? Check statistics za mchezo .....simba walizidiwa sana kimbinu
你和廢精子沒有區別wapuuuzi jinga lingine ilo toto apo juu
Ndiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.
Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
笨蛋你和廢精子沒有區別
Yaani shirt off target 0, short on tarfet 0, ndio uitwe bungeni🤔🤔 kwa lipi hasa ulilolifanya mkuuNdiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.
Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
Sifa za kijinga hizo, ndiyo maana kuendelea ni ngumu sana kwa fikra zenu ndiyo hizi. Anyway tumeishwazoea nanyi mmesharizika na ubingwa wenu wa robo fainal, wapelekeni bungeni sijui wanaenda na kipi? Bora msubiri nbc au azam sport federation mnaweza pata cha kwenda nacho mjengoni, mbali na hapo ni uzumbukuku na upopoma.Ndiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.
Hongereni mno na Asanteni sana Wachezaji wa Simba SC nyie ni Mashujaa wa Kutukuka Michezoni.
Wanasema wametoka kiume zamani walikua wanatoka kikeSijaona ukiume wowote, waliingia na matokeo yao mkononi. Wakajiona watampiga mwarabu 2, kwamba wydad ataambulia kagoli kamoja, wao wapenye kwa goli la nyumbani.
Wameambiwa wydad akiwa kwenye Ardhi yake, hana mchezo. Simba shots on target hata moja hawakujaribu, utasema wamepigana kiume? Ukweli ni kwamba walizidiwa kila mahali, Possession, Shots, Passes.
Acheni kumuongezea maiti damu.