Kosa la jafo ni lipi?
Je alituma wagombea wakosee kujaza fomu
Unaweza kuta wagombea wamejikosesha maksudi kujaza ili wasigombee maana wanajua hawawezi kudhinda
Nashukuru wewe kichwa, lakini wewe jitafakari. We ni Jafo? Kama sio basi we ndio KILAZA KULIKO YEYOTE HUMU JF.Ujumbe wa kilaza kweli huu,mlifukuzwa alijifukuza subirini 2024 tena
State agent
Kutumika na mabeberu?! Hoja hiyo ni too much low kusemwa na msomi! Maneno hayo ni ya huko majukwaani ccm inakotumia kwa kuwalaghai uneducated members of their party!Nipanic kwa ujinga wako! How! Nimekutana na wehu zaidi yako and it sound i was far better compare to them
Next time usiwe unanyofoa kipande kidogo unapofanya quotation
Bible say:
Palms 1
Blessed is the man that walketh not in the counsel of the ungodly, nor standeth in the way of sinners, nor sitteth in the seat of the scornful
β¦β¦β¦β¦β¦β¦β¦β¦β¦β¦β¦β¦β¦
Heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki, Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha
Sound huu ujumbe unakuhusu wewe Kwasababu mnasaliti Nchi mnatumika na Mabeberu
Idiot
Tatizo ni Magufuli, Jaffo alaumiwe kwa kukubali kumsimamia upumbavu wa boss wake.Kutokana na malalamiko ya wagombea kukatwa na vyama vingine kujitoa/kususia katika kushiriki uchaguzi huo na yanayoendelea katika kata mbalimbali za chaguzi za serikali za mitaa nchini,ni vyema Waziri mwenye dhamana yaani Mh Jaffo ni vyema akapumzika/kujiuzulu au akae meza ya majadiliano na waliokatwa watafute muafaka,aidha aondolewe na mamlaka yake ili uchunguzi upite, aidha viongozi wa dini na wanasheria waingilie kati mkanganyiko huu.
Kutokana na malalamiko ya wagombea kukatwa na vyama vingine kujitoa/kususia katika kushiriki uchaguzi huo na yanayoendelea katika kata mbalimbali za chaguzi za serikali za mitaa nchini,ni vyema Waziri mwenye dhamana yaani Mh Jaffo ni vyema akapumzika/kujiuzulu au akae meza ya majadiliano na waliokatwa watafute muafaka,aidha aondolewe na mamlaka yake ili uchunguzi upite, aidha viongozi wa dini na wanasheria waingilie kati mkanganyiko huu.
Inawezekana...CCM kuenda mahakamani kuomba mahakama itoe zuio kwa wapinzaninkujitoa.
Naotea hili kutokea...
Kutokana na malalamiko ya wagombea kukatwa na vyama vingine kujitoa/kususia katika kushiriki uchaguzi huo na yanayoendelea katika kata mbalimbali za chaguzi za serikali za mitaa nchini,ni vyema Waziri mwenye dhamana yaani Mh Jaffo ni vyema akapumzika/kujiuzulu au akae meza ya majadiliano na waliokatwa watafute muafaka,aidha aondolewe na mamlaka yake ili uchunguzi upite, aidha viongozi wa dini na wanasheria waingilie kati mkanganyiko huu.
Jidu unamzungumzia Mwalim?Mwalimu alikua mstaarabu bana,muungwana,mcha Mungu wa kweli.Lee, mpengine mnasahau kirahisi.
Rais Ali Hassan Mwinyi alisha wahi kuchukua uamuzi mgumu tena wakati wa Mwalimu.
Tendo hilo lilimuongezes sifa na INTEGRITY na mwishowe kufikia urais wa Tanzania.
naamin kuvurugika kwa uchaguzi mh jafo si muhusika bali yeye ni kama spika tu bali yupo mchawi mkuuKama anagoma kujiuzulu, ni kwa nini Rais aliyemteua, ambaye najua fika kuwa ana "zero tolerance" kwa upuuzi wa aina hii unaoendelea nchini, asimfute kazi mara moja?
Uko sawa LG,nakubaliana na wewe kabisa,lakini kumbuka Rais wa Sudan aliondolewa na waliomuondoa baada ya wananchi kuishi mabarabarani na mitaani kwa miezi zaidi ya mitatu.Yatumie madaraja vibaya na utaona matokeo yake.
Rais wa Sudan aligundua hilo, mambo yalipobadilika wale waliotakiwa kumlinda ndio wakamsweka selo hadi leo.
Very true.Wewe labda haupo kwenye uongozi /mfumo lakini Jafo yumo.
Akisema anatoa uamuzi wowote kinyume na jiwe hiyo integrity ataisikia tu redioni... Atachafuliwa kila kiungo,
Atakuwa sio raia,
Atakuwa muhujumu uchumi,
Atakuwa mtakatisha fedha,
Atakuwa ametumia vibaya madaraka
Atakuwa fisadi
Muhurumieni tu ana wake na watoto kijiji kizima π π
Haya maelezo yako yamo kwenye ripoti za CAG? ama zimo kwa "cag lumumba"!
Jaffo anapaswa kuwajibika kama Lowassa alivyowajibika kumlinda Boss wake.Jaffo hawezi kujiuzulu, ajiuzulu kwasababu gani wakati ametimiza wajibu aliotumwa na boss wake?
BullshitWatanzania wajiandae kwa lolote.