MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
- #141
Umepata division ngapi kwenye matokeo ya juzi ya form 4?
Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaa,
GY kwa nini lakini??
Lazima atakuwa amepata point 35 na shule zetu hizi.
Lakini bado haina shida, MJ1 kazi kwako.
Easy people easy ....you neva know why ameandika hivyo ...............pengine sred imemtouch so its just his/her way of saying ameikubali au pia imembore so anaikandya kwa kumnanga kiaina mtoa mada.......................its a free world people.
LD...................... I just wish wenye experience wakatwambia ukweli maana hii singlehood/ single parents inaongezeka kwa kasi ujue.na hizi divorces ni wangapi wanare-marry?? au kurudiana after living single?? I wish tungekuwa na takwimu