Pre GE2025 Pamoja na maboko yote aliyofanya Makonda bado anadunda. Je, amerudi kuwa lastborn wa taifa hata afanye nini hagusiki?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
MaKONDa ni empty set sema mshirikina sana
 
Mabadiliko hayawahusu nyie walipa tozo, tunamsafisha Bi Mkubwa kuelekea kwenye uchaguzi.
 
M
Makonda ni risasi ya mwisho kwenye bunduki na mlengaji hana shabaha 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…