Pamoja na madhaifu yao, watu wa Pwani ni watu poa sana

Pamoja na madhaifu yao, watu wa Pwani ni watu poa sana

najaribu tu kuwaza kwa arrogant, aggressiveness and ego ya vijana wa arusha na ubaguzi wao kwa vijana wengine wasio wa arusha, mkoa wa arusha ndio ungekuwa the main commercial city of tanzania, sisi wengine wangetufurusha na mapanga turudi tulikotoka.

nyerere aliona mbali sana kuufanya mkoa wa dar es salaam uwe jiji kubwa la kibiashara tanzania likikusanya watu wa makabila yote wanaoishi kwa upendo bila kubaguana.

pongezi za dhati ziende kwa wazaramo, wakwere na wandengereko kwa namna walivyo loyal kwa watu wengine ambao sio wa asili ya pwani.

niliwahi kutoa positive opinion kuhusu watu pwani mwishoni mwa mwezi december mwaka jana.

opinion yangu ili-base kuhusu tabia ya vijana wa arusha in relation to watu wa pwani.
View attachment 2078607
 
Mnapenda hela zao mnawauzia viwanja nyie mnahamaia kule waliko babu zenu!
 
Kwenye suala la mapenzi watu wa pwani hawana shida kabisa
Na hii ni kwa exprienc yang ya kukaa bagamoyo kwa muda wa kama mwezi hv
Msichana atakukaribisha kwao utaenda utakuta wazz unawasalimia wala huulizwi swali 😀😀😀
Jarib hilo kwa mtt wa mzee masawe uone 😄😄😄


🤣🤣🤣🤣
 
Pia usisahau neno AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKWAKO ilitokea uko uko PWANI
 
2. Wanajali maisha ya wengine na wanajua maisha ni nini.
Watu wa Pwani ni watu wakujali maumivu ya watu wengine.
Mtu WA Pwani Kwa mfano Mtoto wako akifanya tukio Baya akakamatwa na kutiwa ndani, watu wa Pwani wapo tayari kuchanga pesa au kukusaidia uondokane na hilo tatizo, kisha baadaye mtamalizana.

Huwezi msikia mtu wa Pwani ati mtoto wako akamatwe mfano na madawa ya kulevya huko nje alafu kiongozi aropoke kuwa atajijua mwenyewe. Hawana roho mbaya ya hivyo.

3. Hawana majigambo; wanyenyekevu.
Ni nadra Sana kumsikia mtu wa Pwani akijitamba na kudharau watu wa makabila mengine.
Licha ya kuwa tukifika miji yao tunawatolea maneno ya shombo lakini wao wala hawana habari na Sisi.

4. Hawana Ubinafsi.
Watu wa Pwani wakiingia uongozini hawaibi wenyewe Mali za nchi hii. Wanaiba na watu wengine.
Hakuna mwanadamu asiyemwizi hilo lipo hivyo Duniani kote. Na Kama yupo basi ni 1 Kwa elfu moja.
1648536000494.png
 
Na roho Mbaya iliyopitiliza.

Ukichunguza ni nadra Sana matukio ya ukatili kutokea ukanda wa Pwani au watu wenye asili ya Pwani kuufanya.

Ila Sisi watu Wabara loooh!
Watu wa bara wana hasira za wazi, wa pwani wana hasira za moyoni, wanacheka na ww ila moyoni wanakupiga tukio...hawana nguvu za kukupiga tukio la kikatili ila wana uwezo wa kukupiga tukio la kimiujiza...una rest in peace watu wanajua ni kifo cha kawaida kumbe kuna watu washafanya yao.
Coming from a guy aliekimbia shamba lake huko pwani baada ya kupigwa matukio dabo dabo..
 
Tungekuwa hatuwapendi tusingewauzia viwanja mjenge karibu na sisi,maisha ya kwetu ni pamoja na watu ndo maana nyumba zetu nje tuliweka vibarwza ili hata tukiwa tinakula mgeni akipita ajumuike,haya Mambo ya kujenga kuweka ukuta mmetuletea watu wa Bara!
Hamuuzi kwakua mnatupenda, mnauza kwakua hamna choice...Njaaa.
Mngekua mnatupenda msingetuuzia then tukianza kufanya maendeleo mnageuka mnatupiga kipapai...Mngetulinda km ndugu zenu
 
Kuongozwa na watu wenye utamaduni wa umaskini nchi itaendelea kuwa maskini. Mpe nchi mchaga uone mabadiliko changa ya haraka.
wachaga wataleta maendeleo? Wachaga hawa tulionao Tanzania? Wachaga hawana uwezo wa kuongoza hata Taasisi ya kitaifa achilia mbali nchi. Ukitaka mifano angalia vyama wanavyoongoza kitaifa, NCCR-Mageuzi, TLP, CHADEMA. Wachaga sifa zao ulafu, ubaguzi, sifa za kijinga akipata kitu kidogo, shombo, dharau. Kwa ujumla hawafai kuongoza chochote. Hawana uwezo wa kuongoza. Washukuru wako ndania ya koti la Taifa imara wangebaguana hata wenyewe ndiyo maana kuna warombo, wamachame, wamarangu, wauru, wakibosho n.k. ni mijitu mibaguzi haina mfano.
 
Kikubwa zaidi Watu wa pwani sio wabinafsi, tugawane hicho hicho kidogo
 
Na roho Mbaya iliyopitiliza.

Ukichunguza ni nadra Sana matukio ya ukatili kutokea ukanda wa Pwani au watu wenye asili ya Pwani kuufanya.

Ila Sisi watu Wabara loooh!
Sisi tunakula nyama ndio maana wakali.
 
Back
Top Bottom