Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni dhana ya hovyo Sana hii,wachaga wanapenda sana kusafiria nyota za matajiri wakichaga,mfukoni hana hata mia halafu utamsikia watu wa tanga bwana masikini sana!Huko uchaagani kila mtu ni tajiri ???
Kwani Prof. Assad unamchukuliaje kwa mfano?Umeandika sifa nyepesi, sifa kuu umeiacha..
Wana "brain" ya kuliongoza taifa?
Utawasikia watu wa mikoani jengeni kwenu. Uchaggani tumejenga.Ni dhana ya hovyo Sana hii,wachaga wanapenda sana kusafiria nyota za matajiri wakichaga,mfukoni hana hata mia halafu utamsikia watu wa tanga bwana masikini sana!
Mkui TZ imeongozwa na Marais wa4 kutokea PWANI. MWINYI, KIKWETE, MKAPA na sasa ni SAMIA. unataka kusema hao wote hawana brain nzuri kushinda wewe ambaye hata MUTUKURA hupajui?Umeandika sifa nyepesi, sifa kuu umeiacha..
Wana "brain" ya kuliongoza taifa?
Wachaga wameua taasisi na makampuni mengi sana. TTL ni mfano, Benki nyingi ziliuawa na wachaga.Hawajawahi onesha ubora wa kukuza taasisi bali kuua.Kuongozwa na watu wenye utamaduni wa umaskini nchi itaendelea kuwa maskini. Mpe nchi mchaga uone mabadiliko changa ya haraka.
Logical sehemu yenye bahari ni rahisi sana kumove raw materials,kuestablish kiwanda na hata kuestablish makazi na socialization huwa kubwa,.....ni ngumu sana eti mgeni aache kujenga nyumba Bagamoyo aende kujenga nyumba bariadi the same as U.S ni rahisi mgeni anunue apartment New York bay kuliko kwenda North's na south DakotaPia umesahau maendeleo yote dunianu yapo pwani mfano New york ipo pwani,Landon ipo pwani, California ipo pwani,Texas ipo pwani,Georgia ipo pwani,Toronto ipo pwani,Shanghai ipo pwani yani pwani ndo mwanzo wa maendeleo
Aiseee,[emoji16] kuna ukweli flani hivi mchunguNa kwa Sasa watu wa pwani ndiyo wanaongoza nchi,
- Mchengerwa
-Nape >
-Aweso
-Ummy
- Makamba
-Jafo
-Ulega
-Mzee Mkuchika
-Ridhiwani
-Hamis Chilo
-Masauni
-Majaliwa
Ndio ni wa PWANI. anatokea Mtwara.Hivi hayati Mkapa alikuwa mtu wa pwani?
Lini umewahu kusikia watu wa pwani wanakufa njaa na kwahiyo serikali ikalazimika kwenda kuwapa misaada?!Madhaifu Yao makubwa ni Kama ifuatavyo;
1. Uvivu na ubwanyenye.
Kama yapi? Kuchunga ng'ombe, au?!2. Hawapendi complication ya mambo katika Mishe zao.
Na nyie msioridhika mapema mna nini cha maana?3. Kuridhika mapema.
Na ngoma za kipumbavu zinazohitimishwa kwa kukata visimi vya watoto zinachezwa pwani?4. Ngoma na vigodoro ambavyo hata hivyo siku hizi ni Kama wamepunguza kidogo.
Yale yale!! Unaweza kukuta hata kwenye ukoo wako weneyewe kuna wengine hawana hata uhakika wa kula halafu hapa unaona wenzako hawapiganii maisha... VERY STUPID!5. Dhana kuwa dunia tunapita hivyo masuala ya kupigania maisha hawana.
Kuna watu wa majungu kama nyie kenge?!6. Mdomo na Majungu. N.k
Umeshawahi kufanyiwa huo ushirikina au unasikia tu kwa Waruga ruga wenzako?7 ushirikina na Uchawi
Stop using carrot and stick! Haiwezekani mtu awe mshirikina, mchawi, na full majungu halafu hapo hapo eti useme ana roho mzuri na anajali watu wengine!Pamoja na udhaifu wao lakini Kwa kweli watu wa Pwani ni watu Bora Sana. Kwa sababu zifuatazo
1. Roho nzuri.
Hawana Roho mbaya kufikia kuua watu.
Ni ngumu Sana kusikia matukio ya vifo kutoka watu wa Pwani.
Roho Mbaya zao nizakawaida tuu lakini sio zilizovuka mipaka.
Ni ngumu kusikia mke au mume kauawa katika jamii za watu wa Pwani. Hiyo huwa nadra Sana. Lakini Sisi wabara tunaongoza. Yaani haiwezi pita wiki bila kusikia tukio la mauaji katika Maeneo yetu.
Ni ngumu Kwa Kiongozi mkubwa wa nchi akitokea Pwani nchi ikabiliwe na matukio ya roho Mbaya.
Kama ni roho mbaya itakuwa Ile ya kawaida.
Watu wa Pwani hata uwaseme vipi, uwaite majina yote mabaya, bado watakukaribisha kwao, watawauzia viwanja na mtajenga, yaani mtaishi maisha ya Raha mustarehe. Kiufupi watu wa Pwani sio wabaguzi.
2. Wanajali maisha ya wengine na wanajua maisha ni nini.
Watu wa Pwani ni watu wakujali maumivu ya watu wengine.
Mtu WA Pwani Kwa mfano Mtoto wako akifanya tukio Baya akakamatwa na kutiwa ndani, watu wa Pwani wapo tayari kuchanga pesa au kukusaidia uondokane na hilo tatizo, kisha baadaye mtamalizana.
Huwezi msikia mtu wa Pwani ati mtoto wako akamatwe mfano na madawa ya kulevya huko nje alafu kiongozi aropoke kuwa atajijua mwenyewe. Hawana roho mbaya ya hivyo.
3. Hawana majigambo; wanyenyekevu.
Ni nadra Sana kumsikia mtu wa Pwani akijitamba na kudharau watu wa makabila mengine.
Licha ya kuwa tukifika miji yao tunawatolea maneno ya shombo lakini wao wala hawana habari na Sisi.
4. Hawana Ubinafsi.
Watu wa Pwani wakiingia uongozini hawaibi wenyewe Mali za nchi hii. Wanaiba na watu wengine.
Hakuna mwanadamu asiyemwizi hilo lipo hivyo Duniani kote. Na Kama yupo basi ni 1 Kwa elfu moja.
Mtu WA Pwani akiingia madarakani basi jua mtakula wote view vya kuchinja au vyakunyonga.
Hawana Ile tabia ya kujifanya wao ni watakatifu Kwa kujipa jina la uzalendo Kwa kuzuia wengine wasiibe(walaji wa nchi) alafu wao wajilimbikizie Mali.
Hutumia kanuni isemayo, Kula kizuri na wenzako lakini kila Mbuzi hula urefu WA kamba yake.
Awamu zao, Ajira zitakuwa nyingi, pesa mtaani zitakwagika lakini haimaanishi watu watakula nje ya urefu WA kamba zao.
Watu wa Pwani sio watu wa kujibana.
Wao unafanya maendeleo huku mnakula maisha Kwa sababu tunaishi leo.
Lakini Sisi wa bara ni watu ambao wengi wetu tunatumia falsafa ya kujibana tufanye maendeleo kisha baadaye ndio tule BATA.
Watu wa Pwani wakiongoza nchi hii, huwezi sikia maumivu ya watu kuuawa, kutekwa, na kufanywa vilema vya maisha.
Watu wa Pwani Kwa mdomo ndio kwao, hawaogopi kusema, kutupiwa maneno na kutukanwa.
Ndio maana wao wanangoma zinaitwa Vigoma Kwa ajili ya kuchambia na kusuta watu. Hivyo wao kusutana na utamaduni.
Ila kuuana ni nadra Sana.
Mwisho niseme,
Hakuna Bora ndani ya nchi hii.
Kila upande unamanufaa makubwa katika nchi hii.
Hivyo ni vyema taasisi nyeti za nchi zipange watu na kuwapa MAJUKUMU kulingana na Asili yake, ili kuleta ufanisi.
Lakini unampa mtu Urais mwenye asili ya watu wenye hasira unategemea nini Kama sio watu kuumia.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Vikindu, Pwani
Karibu TANGA taycoon wa fasihiKwema Wakuu!
Kwa ambao hawawajui watu wa Pwani na hawajawahi kufika Pwani naomba kuwajuza tuu, watu wa Pwani ni mikoa ya Tanga, Pwani yenyewe, DAR, Lindi, mtwara, Visiwa vya unguja na pemba,na kidogo Morogoro.
Watu hawa bhana mbali na udhaifu wao lakini wapo poah Sana.
Madhaifu Yao makubwa ni Kama ifuatavyo;
1. Uvivu na ubwanyenye.
2. Hawapendi complication ya mambo katika Mishe zao.
3. Kuridhika mapema.
4. Ngoma na vigodoro ambavyo hata hivyo siku hizi ni Kama wamepunguza kidogo.
5. Dhana kuwa dunia tunapita hivyo masuala ya kupigania maisha hawana.
6. Mdomo na Majungu. N.k
7 ushirikina na Uchawi
Pamoja na udhaifu wao lakini Kwa kweli watu wa Pwani ni watu Bora Sana. Kwa sababu zifuatazo
1. Roho nzuri.
Hawana Roho mbaya kufikia kuua watu.
Ni ngumu Sana kusikia matukio ya vifo kutoka watu wa Pwani.
Roho Mbaya zao nizakawaida tuu lakini sio zilizovuka mipaka.
Ni ngumu kusikia mke au mume kauawa katika jamii za watu wa Pwani. Hiyo huwa nadra Sana. Lakini Sisi wabara tunaongoza. Yaani haiwezi pita wiki bila kusikia tukio la mauaji katika Maeneo yetu.
Ni ngumu Kwa Kiongozi mkubwa wa nchi akitokea Pwani nchi ikabiliwe na matukio ya roho Mbaya.
Kama ni roho mbaya itakuwa Ile ya kawaida.
Watu wa Pwani hata uwaseme vipi, uwaite majina yote mabaya, bado watakukaribisha kwao, watawauzia viwanja na mtajenga, yaani mtaishi maisha ya Raha mustarehe. Kiufupi watu wa Pwani sio wabaguzi.
2. Wanajali maisha ya wengine na wanajua maisha ni nini.
Watu wa Pwani ni watu wakujali maumivu ya watu wengine.
Mtu WA Pwani Kwa mfano Mtoto wako akifanya tukio Baya akakamatwa na kutiwa ndani, watu wa Pwani wapo tayari kuchanga pesa au kukusaidia uondokane na hilo tatizo, kisha baadaye mtamalizana.
Huwezi msikia mtu wa Pwani ati mtoto wako akamatwe mfano na madawa ya kulevya huko nje alafu kiongozi aropoke kuwa atajijua mwenyewe. Hawana roho mbaya ya hivyo.
3. Hawana majigambo; wanyenyekevu.
Ni nadra Sana kumsikia mtu wa Pwani akijitamba na kudharau watu wa makabila mengine.
Licha ya kuwa tukifika miji yao tunawatolea maneno ya shombo lakini wao wala hawana habari na Sisi.
4. Hawana Ubinafsi.
Watu wa Pwani wakiingia uongozini hawaibi wenyewe Mali za nchi hii. Wanaiba na watu wengine.
Hakuna mwanadamu asiyemwizi hilo lipo hivyo Duniani kote. Na Kama yupo basi ni 1 Kwa elfu moja.
Mtu WA Pwani akiingia madarakani basi jua mtakula wote view vya kuchinja au vyakunyonga.
Hawana Ile tabia ya kujifanya wao ni watakatifu Kwa kujipa jina la uzalendo Kwa kuzuia wengine wasiibe(walaji wa nchi) alafu wao wajilimbikizie Mali.
Hutumia kanuni isemayo, Kula kizuri na wenzako lakini kila Mbuzi hula urefu WA kamba yake.
Awamu zao, Ajira zitakuwa nyingi, pesa mtaani zitakwagika lakini haimaanishi watu watakula nje ya urefu WA kamba zao.
Watu wa Pwani sio watu wa kujibana.
Wao unafanya maendeleo huku mnakula maisha Kwa sababu tunaishi leo.
Lakini Sisi wa bara ni watu ambao wengi wetu tunatumia falsafa ya kujibana tufanye maendeleo kisha baadaye ndio tule BATA.
Watu wa Pwani wakiongoza nchi hii, huwezi sikia maumivu ya watu kuuawa, kutekwa, na kufanywa vilema vya maisha.
Watu wa Pwani Kwa mdomo ndio kwao, hawaogopi kusema, kutupiwa maneno na kutukanwa.
Ndio maana wao wanangoma zinaitwa Vigoma Kwa ajili ya kuchambia na kusuta watu. Hivyo wao kusutana na utamaduni.
Ila kuuana ni nadra Sana.
Mwisho niseme,
Hakuna Bora ndani ya nchi hii.
Kila upande unamanufaa makubwa katika nchi hii.
Hivyo ni vyema taasisi nyeti za nchi zipange watu na kuwapa MAJUKUMU kulingana na Asili yake, ili kuleta ufanisi.
Lakini unampa mtu Urais mwenye asili ya watu wenye hasira unategemea nini Kama sio watu kuumia.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Vikindu, Pwani
Nishaona wadigo kibao wanajeshi mbona kawaidaNi kweli Mkuu. Tanzania ni yetu sote Ila ni vizuri kufahamiana tabia zetu.
Mtu wa Pwani kumpa ujeshi au kazi zinazohitaji roho ngumu utakuwa unamuonea tuu.
Sio kipengele chake,
Hizo kazi zinawatu wake.
umeandika kinyume chakeUmeandika sifa nyepesi, sifa kuu umeiacha..
Wana "brain" ya kuliongoza taifa?
Wakarimu sana watu wa pwani. Unamkuta ameketi kwenye mkeka wake anakula mihogo Ila lazima atakukaribisha japo ukate kipande.
Nikienda shambani unamwambia nipatie Nazi unashangaa anakwea mnazi anaangua na anafua dafu anakupa Nazi hata kumi mpaka inakubidi uone haya japo umpe hata elfu mbili ya sukari.
Sema wambea hao[emoji2][emoji2][emoji2] hawana dogo Wala kubwa. Wanajua kumsuta mtu mpaka unazimia[emoji2][emoji2]