Pamoja na madhaifu yao, watu wa Pwani ni watu poa sana

Pamoja na madhaifu yao, watu wa Pwani ni watu poa sana

Kuongozwa na watu wenye utamaduni wa umaskini nchi itaendelea kuwa maskini. Mpe nchi mchaga uone mabadiliko changa ya haraka.


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Waafrika asili Yao ni masikini Mkuu.

We angalia nchi zote za Afrika na zile zenye watu weusi.

Sisi kiasili ni masikini sema tunahangaika tuu kukataa asili yetuπŸ˜€πŸ˜€πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Kwema Wakuu!

Kwa ambao hawawajui watu wa Pwani na hawajawahi kufika Pwani naomba kuwajuza tuu, watu wa Pwani ni mikoa ya Tanga, Pwani yenyewe, DAR, Lindi, mtwara, Visiwa vya unguja na pemba,na kidogo Morogoro.

Watu hawa bhana mbali na udhaifu wao lakini wapo poah Sana.

Madhaifu Yao makubwa ni Kama ifuatavyo;

1. Uvivu na ubwanyenye.
2. Hawapendi complication ya mambo katika Mishe zao.
3. Kuridhika mapema.
4. Ngoma na vigodoro ambavyo hata hivyo siku hizi ni Kama wamepunguza kidogo.
5. Dhana kuwa dunia tunapita hivyo masuala ya kupigania maisha hawana.
6. Mdomo na Majungu. N.k
7 ushirikina na Uchawi

Pamoja na udhaifu wao lakini Kwa kweli watu wa Pwani ni watu Bora Sana. Kwa sababu zifuatazo

1. Roho nzuri.
Hawana Roho mbaya kufikia kuua watu.
Ni ngumu Sana kusikia matukio ya vifo kutoka watu wa Pwani.
Roho Mbaya zao nizakawaida tuu lakini sio zilizovuka mipaka.

Ni ngumu kusikia mke au mume kauawa katika jamii za watu wa Pwani. Hiyo huwa nadra Sana. Lakini Sisi wabara tunaongoza. Yaani haiwezi pita wiki bila kusikia tukio la mauaji katika Maeneo yetu.

Ni ngumu Kwa Kiongozi mkubwa wa nchi akitokea Pwani nchi ikabiliwe na matukio ya roho Mbaya.
Kama ni roho mbaya itakuwa Ile ya kawaida.

Watu wa Pwani hata uwaseme vipi, uwaite majina yote mabaya, bado watakukaribisha kwao, watawauzia viwanja na mtajenga, yaani mtaishi maisha ya Raha mustarehe. Kiufupi watu wa Pwani sio wabaguzi.


2. Wanajali maisha ya wengine na wanajua maisha ni nini.
Watu wa Pwani ni watu wakujali maumivu ya watu wengine.
Mtu WA Pwani Kwa mfano Mtoto wako akifanya tukio Baya akakamatwa na kutiwa ndani, watu wa Pwani wapo tayari kuchanga pesa au kukusaidia uondokane na hilo tatizo, kisha baadaye mtamalizana.

Huwezi msikia mtu wa Pwani ati mtoto wako akamatwe mfano na madawa ya kulevya huko nje alafu kiongozi aropoke kuwa atajijua mwenyewe. Hawana roho mbaya ya hivyo.

3. Hawana majigambo; wanyenyekevu.
Ni nadra Sana kumsikia mtu wa Pwani akijitamba na kudharau watu wa makabila mengine.
Licha ya kuwa tukifika miji yao tunawatolea maneno ya shombo lakini wao wala hawana habari na Sisi.

4. Hawana Ubinafsi.
Watu wa Pwani wakiingia uongozini hawaibi wenyewe Mali za nchi hii. Wanaiba na watu wengine.
Hakuna mwanadamu asiyemwizi hilo lipo hivyo Duniani kote. Na Kama yupo basi ni 1 Kwa elfu moja.

Mtu WA Pwani akiingia madarakani basi jua mtakula wote view vya kuchinja au vyakunyonga.

Hawana Ile tabia ya kujifanya wao ni watakatifu Kwa kujipa jina la uzalendo Kwa kuzuia wengine wasiibe(walaji wa nchi) alafu wao wajilimbikizie Mali.

Hutumia kanuni isemayo, Kula kizuri na wenzako lakini kila Mbuzi hula urefu WA kamba yake.

Awamu zao, Ajira zitakuwa nyingi, pesa mtaani zitakwagika lakini haimaanishi watu watakula nje ya urefu WA kamba zao.

Watu wa Pwani sio watu wa kujibana.
Wao unafanya maendeleo huku mnakula maisha Kwa sababu tunaishi leo.

Lakini Sisi wa bara ni watu ambao wengi wetu tunatumia falsafa ya kujibana tufanye maendeleo kisha baadaye ndio tule BATA.

Watu wa Pwani wakiongoza nchi hii, huwezi sikia maumivu ya watu kuuawa, kutekwa, na kufanywa vilema vya maisha.

Watu wa Pwani Kwa mdomo ndio kwao, hawaogopi kusema, kutupiwa maneno na kutukanwa.
Ndio maana wao wanangoma zinaitwa Vigoma Kwa ajili ya kuchambia na kusuta watu. Hivyo wao kusutana na utamaduni.
Ila kuuana ni nadra Sana.

Mwisho niseme,
Hakuna Bora ndani ya nchi hii.
Kila upande unamanufaa makubwa katika nchi hii.
Hivyo ni vyema taasisi nyeti za nchi zipange watu na kuwapa MAJUKUMU kulingana na Asili yake, ili kuleta ufanisi.

Lakini unampa mtu Urais mwenye asili ya watu wenye hasira unategemea nini Kama sio watu kuumia.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Vikindu, Pwani
Shikamoo Mkuu! Nimekuelewa vema sana. Ni kweli kabisa, watu Wa ukanda Wa Pwani na kwa kiasi kikubwa jamii yote ya kiislamu wana ukarimu fulani, upole na ustaarabu. Na ndio maana, wakipewa uongozi jamii kubwa ya watu hutabasamu though mapungufu madogo madogo hayawezi kukosekana.
 
Kwema Wakuu!

Kwa ambao hawawajui watu wa Pwani na hawajawahi kufika Pwani naomba kuwajuza tuu, watu wa Pwani ni mikoa ya Tanga, Pwani yenyewe, DAR, Lindi, mtwara, Visiwa vya unguja na pemba,na kidogo Morogoro.

Watu hawa bhana mbali na udhaifu wao lakini wapo poah Sana.

Madhaifu Yao makubwa ni Kama ifuatavyo;

1. Uvivu na ubwanyenye.
2. Hawapendi complication ya mambo katika Mishe zao.
3. Kuridhika mapema.
4. Ngoma na vigodoro ambavyo hata hivyo siku hizi ni Kama wamepunguza kidogo.
5. Dhana kuwa dunia tunapita hivyo masuala ya kupigania maisha hawana.
6. Mdomo na Majungu. N.k
7 ushirikina na Uchawi

Pamoja na udhaifu wao lakini Kwa kweli watu wa Pwani ni watu Bora Sana. Kwa sababu zifuatazo

1. Roho nzuri.
Hawana Roho mbaya kufikia kuua watu.
Ni ngumu Sana kusikia matukio ya vifo kutoka watu wa Pwani.
Roho Mbaya zao nizakawaida tuu lakini sio zilizovuka mipaka.

Ni ngumu kusikia mke au mume kauawa katika jamii za watu wa Pwani. Hiyo huwa nadra Sana. Lakini Sisi wabara tunaongoza. Yaani haiwezi pita wiki bila kusikia tukio la mauaji katika Maeneo yetu.

Ni ngumu Kwa Kiongozi mkubwa wa nchi akitokea Pwani nchi ikabiliwe na matukio ya roho Mbaya.
Kama ni roho mbaya itakuwa Ile ya kawaida.

Watu wa Pwani hata uwaseme vipi, uwaite majina yote mabaya, bado watakukaribisha kwao, watawauzia viwanja na mtajenga, yaani mtaishi maisha ya Raha mustarehe. Kiufupi watu wa Pwani sio wabaguzi.


2. Wanajali maisha ya wengine na wanajua maisha ni nini.
Watu wa Pwani ni watu wakujali maumivu ya watu wengine.
Mtu WA Pwani Kwa mfano Mtoto wako akifanya tukio Baya akakamatwa na kutiwa ndani, watu wa Pwani wapo tayari kuchanga pesa au kukusaidia uondokane na hilo tatizo, kisha baadaye mtamalizana.

Huwezi msikia mtu wa Pwani ati mtoto wako akamatwe mfano na madawa ya kulevya huko nje alafu kiongozi aropoke kuwa atajijua mwenyewe. Hawana roho mbaya ya hivyo.

3. Hawana majigambo; wanyenyekevu.
Ni nadra Sana kumsikia mtu wa Pwani akijitamba na kudharau watu wa makabila mengine.
Licha ya kuwa tukifika miji yao tunawatolea maneno ya shombo lakini wao wala hawana habari na Sisi.

4. Hawana Ubinafsi.
Watu wa Pwani wakiingia uongozini hawaibi wenyewe Mali za nchi hii. Wanaiba na watu wengine.
Hakuna mwanadamu asiyemwizi hilo lipo hivyo Duniani kote. Na Kama yupo basi ni 1 Kwa elfu moja.

Mtu WA Pwani akiingia madarakani basi jua mtakula wote view vya kuchinja au vyakunyonga.

Hawana Ile tabia ya kujifanya wao ni watakatifu Kwa kujipa jina la uzalendo Kwa kuzuia wengine wasiibe(walaji wa nchi) alafu wao wajilimbikizie Mali.

Hutumia kanuni isemayo, Kula kizuri na wenzako lakini kila Mbuzi hula urefu WA kamba yake.

Awamu zao, Ajira zitakuwa nyingi, pesa mtaani zitakwagika lakini haimaanishi watu watakula nje ya urefu WA kamba zao.

Watu wa Pwani sio watu wa kujibana.
Wao unafanya maendeleo huku mnakula maisha Kwa sababu tunaishi leo.

Lakini Sisi wa bara ni watu ambao wengi wetu tunatumia falsafa ya kujibana tufanye maendeleo kisha baadaye ndio tule BATA.

Watu wa Pwani wakiongoza nchi hii, huwezi sikia maumivu ya watu kuuawa, kutekwa, na kufanywa vilema vya maisha.

Watu wa Pwani Kwa mdomo ndio kwao, hawaogopi kusema, kutupiwa maneno na kutukanwa.
Ndio maana wao wanangoma zinaitwa Vigoma Kwa ajili ya kuchambia na kusuta watu. Hivyo wao kusutana na utamaduni.
Ila kuuana ni nadra Sana.

Mwisho niseme,
Hakuna Bora ndani ya nchi hii.
Kila upande unamanufaa makubwa katika nchi hii.
Hivyo ni vyema taasisi nyeti za nchi zipange watu na kuwapa MAJUKUMU kulingana na Asili yake, ili kuleta ufanisi.

Lakini unampa mtu Urais mwenye asili ya watu wenye hasira unategemea nini Kama sio watu kuumia.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Vikindu, Pwani
Jamani tukubali tu. Nchi yetu imepitia kipindi kigumu sana. Hii miaka mitano tumeumizwa sana.

Ni miezi kumi sasa hatujasikia utekaji utesaji dhuluma na uuwaji.

Pale ikulu alikuwa muovu muongo sana.

Sasa hivi tuwatafute waliokuwa wanasimamia Yale magenge.

Makonda na Mnyeti Hawa wanawajua watekaji
 
Kuongozwa na watu wenye utamaduni wa umaskini nchi itaendelea kuwa maskini. Mpe nchi chaga uone mabadiliko changa ya haraka.
Uchagani kuna utajiri gani mngekuwa hata jiji sio arusha maana kule arusha mmestaarabika kutokana kuna mchanganyiko

Ila moshi ushamba tu hata uwe na pesa still utakunywa mapombe ya kienyeji

Na bado kuna wapare wabahili sijui mntafuta pesa ili mfanyaje pwani wstaarabu kwenu huko uchagni mnastaarabika mpaka ufike shule ndo maana mnatakiwa msome sana
 
Asante kwa bandiko murua kabisa. Sioni tatizo mama kuchamba na kusuta. Yawezekana Spika alikurupuka tu kujiuzulu. Angetulia mambo yangepoa tu.

Tatizo watu wa bara tulimshinikiza aachie bila kufanya uchambuzi wa kina.
 
Shikamoo Mkuu! Nimekuelewa vema sana. Ni kweli kabisa, watu Wa ukanda Wa Pwani na kwa kiasi kikubwa jamii yote ya kiislamu wana ukarimu fulani, upole na ustaarabu. Na ndio maana, wakipewa uongozi jamii kubwa ya watu hutabasamu though mapungufu madogo madogo hayawezi kukosekana.


Dini ya kiislam ni Dini ya Haki MKUU.

Uislam Kwa Kiswahili ni unyenyekevu.

Mimi ni Mkristo Hilo nalijua.

Wapwani wanamapungufu ya kibinadamu, ya kawaida Ila ni nadra Sana kiwanja roho za kikatili.
 
Jamani tukubali tu. Nchi yetu imepitia kipindi kigumu sana. Hii miaka mitano tumeumizwa sana.

Ni miezi kumi sasa hatujasikia utekaji utesaji dhuluma na uuwaji.

Pale ikulu alikuwa muovu muongo sana.

Sasa hivi tuwatafute waliokuwa wanasimamia Yale magenge.

Makonda na Mnyeti Hawa wanawajua watekaji


Ujivuni na ushenzi
 
Asante kwa bandiko murua kabisa. Sioni tatizo mama kuchamba na kusuta. Yawezekana Spika alikurupuka tu kujiuzulu. Angetulia mambo yangepoa tu.

Tatizo watu wa bara tulimshinikiza aachie bila kufanya uchambuzi wa kina.



πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Uchagani kuna utajiri gani mngekuwa hata jiji sio arusha maana kule arusha mmestaarabika kutokana kuna mchanganyiko

Ila moshi ushamba tu hata uwe na pesa still utakunywa mapombe ya kienyeji

Na bado kuna wapare wabahili sijui mntafuta pesa ili mfanyaje pwani wstaarabu kwenu huko uchagni mnastaarabika mpaka ufike shule ndo maana mnatakiwa msome sana

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Unataka kusema Sisi bila kusoma ni Kama wanyama??
 
Ustaarabu kwa watu wa Pwani unachagizwa na ukweli kwamba mikoa ya pwani ya Bahari ya hindi imepokea na kuingiliana na kila aina ya wageni tangu miaka ya zamani sana kulinganisha na mikoa ya bara ambayo wengi walikuwa wanaishi wenyewe kwa wenyewe


Ndiyo maana pia Ni ngumu kukuta watu wa Pwani wanauana kwa matukio ya wivu wa mapenzi.

Mwanamke akizingua sawa tu sanasana ni kuachana atafute mwingine.

Pia roho ya kuua watu kisa mali HAPANA kwa sababu hakuna atakayezikwa na mali
 
Ustaarabu kwa watu wa Pwani unachagizwa na ukweli kwamba mikoa ya pwani ya Bahari ya hindi imepokea na kuingiliana na kila aina ya wageni tangu miaka ya zamani sana kulinganisha na mikoa ya bara ambayo wengi walikuwa wanaishi wenyewe kwa wenyewe


Ndiyo maana pia Ni ngumu kukuta watu wa Pwani wanauana kwa matukio ya wivu wa mapenzi.

Mwanamke akizingua sawa tu sanasana ni kuachana atafute mwingine.

Pia roho ya kuua watu kisa mali HAPANA kwa sababu hakuna atakayezikwa na mali


Kuna watu watakubishia.
 
Dini ya kiislam ni Dini ya Haki MKUU.

Uislam Kwa Kiswahili ni unyenyekevu.

Mimi ni Mkristo Hilo nalijua.

Wapwani wanamapungufu ya kibinadamu, ya kawaida Ila ni nadra Sana kiwanja roho za kikatili.

Ndio maana Will alipokashifu wazanzibar na uislam akiwa kanisani na kusema 95% ni waislam mnataka iwe nchi ya kiislam ili waarabu warudi halafu waje watusunbue

Sasa angalia mmatumbi bila soni akajisahau tena akawafuata huko huko Oman kwenda kuwaomba tena akiwa kavaa kanzu William huyu huyu

Hapo ndio neno lako limejijibu waislam tuna roho ya ukarimu sana
Na yeye hakuwahi hata ku apologies
Kwa kuwa ni mbaguzi
 
Ndio maana Will alipokashifu wazanzibar na uislam akiwa kanisani na kusema 95% ni waislam mnataka iwe nchi ya kiislam ili waarabu warudi halafu waje watusunbue

Sasa angalia mmatumbi bila soni akajisahau tena akawafuata huko huko Oman kwenda kuwaomba tena akiwa kavaa kanzu William huyu huyu

Hapo ndio neno lako limejijibu waislam tuna roho ya ukarimu sana
Na yeye hakuwahi hata ku apologies
Kwa kuwa ni mbaguzi


Waislam wanamapungufu Yao lakini haiondoi sifa zao za Msingi, unyenyekevu na ukarimu
 
Kwema Wakuu!

Kwa ambao hawawajui watu wa Pwani na hawajawahi kufika Pwani naomba kuwajuza tuu, watu wa Pwani ni mikoa ya Tanga, Pwani yenyewe, DAR, Lindi, mtwara, Visiwa vya unguja na pemba,na kidogo Morogoro.

Watu hawa bhana mbali na udhaifu wao lakini wapo poah Sana.

Madhaifu Yao makubwa ni Kama ifuatavyo;

1. Uvivu na ubwanyenye.
2. Hawapendi complication ya mambo katika Mishe zao.
3. Kuridhika mapema.
4. Ngoma na vigodoro ambavyo hata hivyo siku hizi ni Kama wamepunguza kidogo.
5. Dhana kuwa dunia tunapita hivyo masuala ya kupigania maisha hawana.
6. Mdomo na Majungu. N.k
7 ushirikina na Uchawi

Pamoja na udhaifu wao lakini Kwa kweli watu wa Pwani ni watu Bora Sana. Kwa sababu zifuatazo

1. Roho nzuri.
Hawana Roho mbaya kufikia kuua watu.
Ni ngumu Sana kusikia matukio ya vifo kutoka watu wa Pwani.
Roho Mbaya zao nizakawaida tuu lakini sio zilizovuka mipaka.

Ni ngumu kusikia mke au mume kauawa katika jamii za watu wa Pwani. Hiyo huwa nadra Sana. Lakini Sisi wabara tunaongoza. Yaani haiwezi pita wiki bila kusikia tukio la mauaji katika Maeneo yetu.

Ni ngumu Kwa Kiongozi mkubwa wa nchi akitokea Pwani nchi ikabiliwe na matukio ya roho Mbaya.
Kama ni roho mbaya itakuwa Ile ya kawaida.

Watu wa Pwani hata uwaseme vipi, uwaite majina yote mabaya, bado watakukaribisha kwao, watawauzia viwanja na mtajenga, yaani mtaishi maisha ya Raha mustarehe. Kiufupi watu wa Pwani sio wabaguzi.


2. Wanajali maisha ya wengine na wanajua maisha ni nini.
Watu wa Pwani ni watu wakujali maumivu ya watu wengine.
Mtu WA Pwani Kwa mfano Mtoto wako akifanya tukio Baya akakamatwa na kutiwa ndani, watu wa Pwani wapo tayari kuchanga pesa au kukusaidia uondokane na hilo tatizo, kisha baadaye mtamalizana.

Huwezi msikia mtu wa Pwani ati mtoto wako akamatwe mfano na madawa ya kulevya huko nje alafu kiongozi aropoke kuwa atajijua mwenyewe. Hawana roho mbaya ya hivyo.

3. Hawana majigambo; wanyenyekevu.
Ni nadra Sana kumsikia mtu wa Pwani akijitamba na kudharau watu wa makabila mengine.
Licha ya kuwa tukifika miji yao tunawatolea maneno ya shombo lakini wao wala hawana habari na Sisi.

4. Hawana Ubinafsi.
Watu wa Pwani wakiingia uongozini hawaibi wenyewe Mali za nchi hii. Wanaiba na watu wengine.
Hakuna mwanadamu asiyemwizi hilo lipo hivyo Duniani kote. Na Kama yupo basi ni 1 Kwa elfu moja.

Mtu WA Pwani akiingia madarakani basi jua mtakula wote view vya kuchinja au vyakunyonga.

Hawana Ile tabia ya kujifanya wao ni watakatifu Kwa kujipa jina la uzalendo Kwa kuzuia wengine wasiibe(walaji wa nchi) alafu wao wajilimbikizie Mali.

Hutumia kanuni isemayo, Kula kizuri na wenzako lakini kila Mbuzi hula urefu WA kamba yake.

Awamu zao, Ajira zitakuwa nyingi, pesa mtaani zitakwagika lakini haimaanishi watu watakula nje ya urefu WA kamba zao.

Watu wa Pwani sio watu wa kujibana.
Wao unafanya maendeleo huku mnakula maisha Kwa sababu tunaishi leo.

Lakini Sisi wa bara ni watu ambao wengi wetu tunatumia falsafa ya kujibana tufanye maendeleo kisha baadaye ndio tule BATA.

Watu wa Pwani wakiongoza nchi hii, huwezi sikia maumivu ya watu kuuawa, kutekwa, na kufanywa vilema vya maisha.

Watu wa Pwani Kwa mdomo ndio kwao, hawaogopi kusema, kutupiwa maneno na kutukanwa.
Ndio maana wao wanangoma zinaitwa Vigoma Kwa ajili ya kuchambia na kusuta watu. Hivyo wao kusutana na utamaduni.
Ila kuuana ni nadra Sana.

Mwisho niseme,
Hakuna Bora ndani ya nchi hii.
Kila upande unamanufaa makubwa katika nchi hii.
Hivyo ni vyema taasisi nyeti za nchi zipange watu na kuwapa MAJUKUMU kulingana na Asili yake, ili kuleta ufanisi.

Lakini unampa mtu Urais mwenye asili ya watu wenye hasira unategemea nini Kama sio watu kuumia.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Vikindu, Pwani
Wakarimu sana watu wa pwani. Unamkuta ameketi kwenye mkeka wake anakula mihogo Ila lazima atakukaribisha japo ukate kipande.

Nikienda shambani unamwambia nipatie Nazi unashangaa anakwea mnazi anaangua na anafua dafu anakupa Nazi hata kumi mpaka inakubidi uone haya japo umpe hata elfu mbili ya sukari.

Sema wambea haoπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ hawana dogo Wala kubwa. Wanajua kumsuta mtu mpaka unazimiaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Kwema Wakuu!

Kwa ambao hawawajui watu wa Pwani na hawajawahi kufika Pwani naomba kuwajuza tuu, watu wa Pwani ni mikoa ya Tanga, Pwani yenyewe, DAR, Lindi, mtwara, Visiwa vya unguja na pemba,na kidogo Morogoro.

Watu hawa bhana mbali na udhaifu wao lakini wapo poah Sana.

Madhaifu Yao makubwa ni Kama ifuatavyo;

1. Uvivu na ubwanyenye.
2. Hawapendi complication ya mambo katika Mishe zao.
3. Kuridhika mapema.
4. Ngoma na vigodoro ambavyo hata hivyo siku hizi ni Kama wamepunguza kidogo.
5. Dhana kuwa dunia tunapita hivyo masuala ya kupigania maisha hawana.
6. Mdomo na Majungu. N.k
7 ushirikina na Uchawi

Pamoja na udhaifu wao lakini Kwa kweli watu wa Pwani ni watu Bora Sana. Kwa sababu zifuatazo

1. Roho nzuri.
Hawana Roho mbaya kufikia kuua watu.
Ni ngumu Sana kusikia matukio ya vifo kutoka watu wa Pwani.
Roho Mbaya zao nizakawaida tuu lakini sio zilizovuka mipaka.

Ni ngumu kusikia mke au mume kauawa katika jamii za watu wa Pwani. Hiyo huwa nadra Sana. Lakini Sisi wabara tunaongoza. Yaani haiwezi pita wiki bila kusikia tukio la mauaji katika Maeneo yetu.

Ni ngumu Kwa Kiongozi mkubwa wa nchi akitokea Pwani nchi ikabiliwe na matukio ya roho Mbaya.
Kama ni roho mbaya itakuwa Ile ya kawaida.

Watu wa Pwani hata uwaseme vipi, uwaite majina yote mabaya, bado watakukaribisha kwao, watawauzia viwanja na mtajenga, yaani mtaishi maisha ya Raha mustarehe. Kiufupi watu wa Pwani sio wabaguzi.


2. Wanajali maisha ya wengine na wanajua maisha ni nini.
Watu wa Pwani ni watu wakujali maumivu ya watu wengine.
Mtu WA Pwani Kwa mfano Mtoto wako akifanya tukio Baya akakamatwa na kutiwa ndani, watu wa Pwani wapo tayari kuchanga pesa au kukusaidia uondokane na hilo tatizo, kisha baadaye mtamalizana.

Huwezi msikia mtu wa Pwani ati mtoto wako akamatwe mfano na madawa ya kulevya huko nje alafu kiongozi aropoke kuwa atajijua mwenyewe. Hawana roho mbaya ya hivyo.

3. Hawana majigambo; wanyenyekevu.
Ni nadra Sana kumsikia mtu wa Pwani akijitamba na kudharau watu wa makabila mengine.
Licha ya kuwa tukifika miji yao tunawatolea maneno ya shombo lakini wao wala hawana habari na Sisi.

4. Hawana Ubinafsi.
Watu wa Pwani wakiingia uongozini hawaibi wenyewe Mali za nchi hii. Wanaiba na watu wengine.
Hakuna mwanadamu asiyemwizi hilo lipo hivyo Duniani kote. Na Kama yupo basi ni 1 Kwa elfu moja.

Mtu WA Pwani akiingia madarakani basi jua mtakula wote view vya kuchinja au vyakunyonga.

Hawana Ile tabia ya kujifanya wao ni watakatifu Kwa kujipa jina la uzalendo Kwa kuzuia wengine wasiibe(walaji wa nchi) alafu wao wajilimbikizie Mali.

Hutumia kanuni isemayo, Kula kizuri na wenzako lakini kila Mbuzi hula urefu WA kamba yake.

Awamu zao, Ajira zitakuwa nyingi, pesa mtaani zitakwagika lakini haimaanishi watu watakula nje ya urefu WA kamba zao.

Watu wa Pwani sio watu wa kujibana.
Wao unafanya maendeleo huku mnakula maisha Kwa sababu tunaishi leo.

Lakini Sisi wa bara ni watu ambao wengi wetu tunatumia falsafa ya kujibana tufanye maendeleo kisha baadaye ndio tule BATA.

Watu wa Pwani wakiongoza nchi hii, huwezi sikia maumivu ya watu kuuawa, kutekwa, na kufanywa vilema vya maisha.

Watu wa Pwani Kwa mdomo ndio kwao, hawaogopi kusema, kutupiwa maneno na kutukanwa.
Ndio maana wao wanangoma zinaitwa Vigoma Kwa ajili ya kuchambia na kusuta watu. Hivyo wao kusutana na utamaduni.
Ila kuuana ni nadra Sana.

Mwisho niseme,
Hakuna Bora ndani ya nchi hii.
Kila upande unamanufaa makubwa katika nchi hii.
Hivyo ni vyema taasisi nyeti za nchi zipange watu na kuwapa MAJUKUMU kulingana na Asili yake, ili kuleta ufanisi.

Lakini unampa mtu Urais mwenye asili ya watu wenye hasira unategemea nini Kama sio watu kuumia.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Vikindu, Pwani
Huwezi kuwa mchawi na mshirikina halafu ukawa na roho nzuri
 
Wakarimu sana watu wa pwani. Unamkuta ameketi kwenye mkeka wake anakula mihogo Ila lazima atakukaribisha japo ukate kipande.

Nikienda shambani unamwambia nipatie Nazi unashangaa anakwea mnazi anaangua na anafua dafu anakupa Nazi hata kumi mpaka inakubidi uone haya japo umpe hata elfu mbili ya sukari.

Sema wambea haoπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ hawana dogo Wala kubwa. Wanajua kumsuta mtu mpaka unazimiaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ



πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Umbeya ni utamaduni wao
 
Back
Top Bottom