Lini umewahu kusikia watu wa pwani wanakufa njaa na kwahiyo serikali ikalazimika kwenda kuwapa misaada?!
Au kwavile nyie mnachunga ng'ombe ndo mlitarajia kila mtu achunge ng'ombe hata kama sio kazi zao za siri?!
Korosho ambazo zinaliingizia taifa mabilioni ya pesa zinalimwa na nyinyi??
Mbaazi ambazo zilikuwa zinaozeana hadi kwenye maghala kwa kukosa soko mnalima nyie?
Nazi ambazo wengine mnaziona mkishakuja mjin, zinalimwa na nyie?
Acha ujinga!The way mnavyoongea kwa mgeni wa Tanzania anaweza kusema huko kwenu mambo yenu mazuri kweli kweli wakati ni maskini wa kutupwa!!
Kama yapi? Kuchunga ng'ombe, au?!
Na nyie msioridhika mapema mna nini cha maana?
Na ngoma za kipumbavu zinazohitimishwa kwa kukata visimi vya watoto zinachezwa pwani?
Yale yale!! Unaweza kukuta hata kwenye ukoo wako weneyewe kuna wengine hawana hata uhakika wa kula halafu hapa unaona wenzako hawapiganii maisha... VERY STUPID!
Kuna watu wangapi kutoka pwani ambao wewe binafsi au familia yako inawalipia kwa chochote?
Kuna watu wa majungu kama nyie kenge?!
Umeshawahi kufanyiwa huo ushirikina au unasikia tu kwa Waruga ruga wenzako?
Hivi kule walikokua wanaua albino eti ili kupata utajiri ni pwani? Kule wanakoua wazee kisa wana macho mekundu ni pwani? Kule ambako walikuwa wanachuna wenzao ngozi ni pwani?
Stop using carrot and stick! Haiwezekani mtu awe mshirikina, mchawi, na full majungu halafu hapo hapo eti useme ana roho mzuri na anajali watu wengine!