imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Siku hizi nchi za afrika ya mashariki ni ving'amuzi tu mpakani wanachoangalia ni seal iko intact unavuka ni kazi ya dakika mbiliakisha load mzigo sehem ya ukaguzi ni mpakani kwake lakini kenya mpaka akaguliwe mara mbili uganda