greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Dah nimecheka sanaKatika suala la uongozi na usimamizi wa mambo, mzungu ni best...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah nimecheka sanaKatika suala la uongozi na usimamizi wa mambo, mzungu ni best...
Suala la ufanisi katika Uongozi na kuendesha mashirika ya biashara halihusiani kabisa na kutawaliwa,Scandinavia ilifanya vizuri sababu allikuwa na meneja uendeshaji mzungu mwenye uzoefu toka ulaya .
[emoji867]
Kwahiyo ambao sio wazungu hawana uwezo wa kuendesha makampuni
Bado tutatawaliwa na wazungu saana kwa fikra hizi
Ndio nasema,hiyo ni kampuni ya basi na nyingine ni mamlaka!Kulinganisha kampuni ya mabasi na mamlaka ni vitu viwili tofauti!Kwamba huo mfumo wa online ticketing scandnavia wakishakuwa nao miaka yake 2000 huko ... Leo LATRA ndio wanauintroduce miaka 21 mbele!!?? Hauoni hoja yake bado !!???
..........kwa kuleta Air Msae.Scandinavia haikuwa na mzungu yoyote. Kina Sumaye ndio walioiua Scandinavia
Msimamizi ameweka viwango vyake, mtoa huduma anatakiwa avitimize mamlaka inayosimamia kuondoka na kufika kwa mabasi siyo jukumu la LATRA ni jukumu la Trafiki kwani sheria za mwendo haziko LATRA ila wao wanaweza kusimamia haki za abiria ndani ya mabasi endapo abiria watatoa taarifa kuwa vitu vilivyoorodheshwa kwenye daraja la basi hawavipati, ujue si rahisi LATRA kusimamisha basi njiani na kuwauliza abiria kama wamekunywa soda.Hoja yake ni kwamba LATRA ndiye regulator wa usafiri wa ardhini; je, itaweza ku-regulate usafiri wa mabasi ufikie kiwango japo cha Scandinavia?
Hilo basi IKARUS viongozi wengi wa sasa wa CCM hawalijui ndiyo maana wanashabikia ya mchina ambayo hayakawii kuungua, lakini miaka ya sitini kulikuwa mabasi ya ghorofa kama ya Landani ambayo aliyaacha mkoloni! Sijui hawa wa mwendokasi wanaringia nini! Usingizi wa pono wa watanzania?Hili halikuwa na mpinzani
View attachment 1669602
lakini hata uda enzi za Ikarus nayo yalipeta
View attachment 1669603
Jamaa unapenda kuanzisha nyuzi sana!Wakati mwingine ni hoja nyepesi kabisa!Sasa kweli unafananisha mamlaka ya usimamizi wa usafiri wa ardhini na Kampuni moja ya basi,kweli?
Sijui hata ulitaka kusemaje hapa?Ndio madhara ya kutaka uandike wewe kila mara,unaishia kutoa mvuke tu!
Scandinavia ilifanya vizuri sababu allikuwa na meneja uendeshaji mzungu mwenye uzoefu toka ulaya .Mkataba ulipoisha akaondoka akapewa mswahili kampuni ikaanza kuyumba
Tatizo la kampuni zetu sio wamiliki hasa. Wamiliki wanajitahidi mno kutafuta mitaji lakini menejimenti zinawangusha haziko competent nafikiri kuboresha serikali iwe inaruhusu tu na kushauri private sector wakiona wanakwama waajiri toka nje
Hahahaaaa......!..........kwa kuleta Air Msae.
Umechanganya madesa!Hii kampuni ilikuja na gari aina ya Yutong , jina likaitwa Green star nayo ikafa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana wenye akili wamelinganisha menejimenti ya mzungu pale Scandinavia na Latra.Ndio nasema,hiyo ni kampuni ya basi na nyingine ni mamlaka!Kulinganisha kampuni ya mabasi na mamlaka ni vitu viwili tofauti!
Ilichokifanya LATRA ni kuweka ulazima wa mabasi kuwa na online ticketing,lakini huko mwanzo Sumatra walifanya jambo hilo kuwa optional!
Sasa kuja hapa kufananisha Mamlaka ambayo ni msimamizi na kampuni ya mabasi unaona ni sawa?Doesnt make any sense!
Kweli kabisa, nilizani ni kampuni mpya ya mabasi.Jamaa unapenda kuanzisha nyuzi sana!Wakati mwingine ni hoja nyepesi kabisa!Sasa kweli unafananisha mamlaka ya usimamizi wa usafiri wa ardhini na Kampuni moja ya basi, kweli?
Sijui hata ulitaka kusemaje hapa? Ndio madhara ya kutaka uandike wewe kila mara,unaishia kutoa mvuke tu!
Uliposema Latra haisimamii ratiba za mabasi ndio nimechoka kabisa maana yake hata hujui kwa sasa kidhibiti mwendo cha mabasi kinasomewa wapi.Msimamizi ameweka viwango vyake, mtoa huduma anatakiwa avitimize mamlaka inayosimamia kuondoka na kufika kwa mabasi siyo jukumu la LATRA ni jukumu la Trafiki kwani sheria za mwendo haziko LATRA ila wao wanaweza kusimamia haki za abiria ndani ya mabasi endapo abiria watatoa taarifa kuwa vitu vilivyoorodheshwa kwenye daraja la basi hawavipati, ujue si rahisi LATRA kusimamisha basi njiani na kuwauliza abiria kama wamekunywa soda.
Hiyo Scandinavia ninaifahamu sana yangu ikiwa na njia moja tu ya Iringa kituo chake kikiwa hoteli ya Prinsesi Mnazimmoja na kuongeza njia ya Dodoma na Kyela, nayo ilikuwa na mapungufu mengi sana kuliko mnavyodhani.
Kwa sababu wewe ni kizazi kipya!Kweli kabisa, nilizani ni kampuni mpya ya mabasi.
Sent from my SM-A415F using JamiiForums mobile app
Sijachanganya madesa hapa, Mwaka 2012 Kuna gari ilikuja ilikuwa unapiga route ya Mbeya Dsm iliitwa green star, ulitumia ofisi za Scandinavia hapo Morogoro. Na ilikufa mapema Sana, saiz haipo .Umechanganya madesa!
Hao walikuwa ni watu wengine walichukua hata ofisi zilizoachwa na Scandinavia pale UbungoSijachanganya madesa hapa, Mwaka 2012 Kuna gari ilikuja ilikuwa unapiga route ya Mbeya Dsm iliitwa green star, ulitumia ofisi za Scandinavia hapo Morogoro. Na ilikufa mapema Sana, saiz haipo .
Sent using Jamii Forums mobile app