mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Hii kampuni ilikuja na gari aina ya Yutong , jina likaitwa Green star nayo ikafa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo,Hii kampuni ilikuja na gari aina ya Yutong , jina likaitwa Green star nayo ikafa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Green star ilikuwa mbadala wa Scandinavian,
Sisi watu wazima tunakumbuka sana,
Dsm kwenda Mwanza tulikuwa tunapitia Namanga,Nairobi Hadi Sirali,