Hii kampuni ilikuja na gari aina ya Yutong , jina likaitwa Green star nayo ikafa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo,Hii kampuni ilikuja na gari aina ya Yutong , jina likaitwa Green star nayo ikafa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hapo unapokuwa mjinga!Utalinganishaje taasis/mamlaka na kampuni ya mabasi?Yaani leo ulinganishe wizara ya Ardhi na Mashamba ya bhakhresa?Ndio maana wenye akili wamelinganisha menejimenti ya mzungu pale Scandinavia na Latra.
Wewe endelea kukariri bwashee!
Nimekuambia watu wenye akili.Ndio hapo unapokuwa mjinga!Utalinganishaje taasis/mamlaka na kampuni ya mabasi?Yaani leo ulinganishe wizara ya Ardhi na Mashamba ya bhakhresa?
Nikueleze tu,mamlaka huweka standards kulingana na mahitaji ya wakati husika ili sasa walengwa wazifuate!
Leo hii mfano zinatumika credit card kufanya malipo mbalimbali kwenye maeneo tofauti!Sasa suala hilo ni optional,sasa huko mbeleni TRA wakisema sasa ni lazima malipo yote ya kifedha kwa bidhaa yafanyike kwa credit card,utaanza kulinganisha TRA na labda Mlimani City?Huu utakuwa uwendawazimu!
Hilo nalo nenoJamaa unapenda kuanzisha nyuzi sana!Wakati mwingine ni hoja nyepesi kabisa!Sasa kweli unafananisha mamlaka ya usimamizi wa usafiri wa ardhini na Kampuni moja ya basi, kweli?
Sijui hata ulitaka kusemaje hapa? Ndio madhara ya kutaka uandike wewe kila mara,unaishia kutoa mvuke tu!
Sebuleni kwetu hatujakuelewa vyema, funguka !!LATRA wamenielewa!
Huna hoja hapa,unaishia kutukana watu wanaokupinga!Ndio tatizo la kutaka uonekane muda wote unaanzisha nyuzi,no wonder unaandika upupu!Hili jukwaa sio la vilaza,siku nyingine jipange sio unakuja na mambo ya hovyo hovyo tu!Period!Nimekuambia watu wenye akili.
Sijasema binadamu wenye akili za mbege mbege maana hamuelewagi!
Umeongea ukweli mtupu na mimi nimelishuhudia ili kwa macho yangu.Scandinavia ilifanya vizuri sababu allikuwa na meneja uendeshaji mzungu mwenye uzoefu toka ulaya .Mkataba ulipoisha akaondoka akapewa mswahili kampuni ikaanza kuyumba.
Tatizo la kampuni zetu sio wamiliki hasa. Wamiliki wanajitahidi mno kutafuta mitaji lakini menejimenti zinawangusha haziko competent nafikiri kuboresha serikali iwe inaruhusu tu na kushauri private sector wakiona wanakwama waajiri toka nje.
Tupate Kodi.Nimejaribu kufuatilia kwa karibu maboresho yanayofanywa na LATRA kwenye sekta ya usafiri wa abiria lakini sijaona Jipya.
Nikikumbuka kampuni yangu pendwa ya mabasi ya Scandinavia naona viwango walivyovifikia wakati wanafunga kampuni bado havijafikiwa na hawa Latra.
Mambo ya online booking na ticketing walishakuwa nayo achilia mbali vikorombwezo vingine kedekede safarini ikiwemo viburudisho na magazeti.
Bus ziliondoka kwa muda sahihi na hapakuwepo usumbufu wowote safarini.
Maendeleo hayana vyama!
Hata picha ya Ikarus hamkuielewa sebule nzima?!Sebuleni kwetu hatujakuelewa vyema, funguka !!
Ndo yamerudi kimtindo kwa jina la mwendokasiHili halikuwa na mpinzani
View attachment 1669602
lakini hata uda enzi za Ikarus nayo yalipeta
View attachment 1669603
Iko jambo hapa wallah![emoji916][emoji916][emoji916]Kwa taarifa yako tu, LATRA siyo kampu I ya mabasi na haina mabasi, LATRA ni mamlaka inayosimamia uchukuzi nchi kavu, kutokana na kutokuwa na mabasi haiwezi kugawa vinywaji, vitafunwa, magazeti na hata kuondoka kwa wakati.
Wewe ni mmoja wa wanaobebwa sana na Moderators ndiyo sababu Post zako zinabaki kwenye kurasa zisizohusika wala haziunganishwi.
Jamaa unapenda kuanzisha nyuzi sana!Wakati mwingine ni hoja nyepesi kabisa!Sasa kweli unafananisha mamlaka ya usimamizi wa usafiri wa ardhini na Kampuni moja ya basi, kweli?
Sijui hata ulitaka kusemaje hapa? Ndio madhara ya kutaka uandike wewe kila mara,unaishia kutoa mvuke tu!
Wewe hata Air Msae hujui mambo ya Scandinavia ungeyajulia wapi!Huna hoja hapa,unaishia kutukana watu wanaokupinga!Ndio tatizo la kutaka uonekane muda wote unaanzisha nyuzi,no wonder unaandika upupu!Hili jukwaa sio la vilaza,siku nyingine jipange sio unakuja na mambo ya hovyo hovyo tu!Period!
Kweli kabisa mkuu,nilitegemea ashindanishe huduma ya Scandinavia na Kampuni za usafirishaji nyingine!Au kama anataka kusemea mamlaka,angefananisha hii ya sasa LATRA na SUMATRA ya wakati huo au na mamlaka za nchi nyingine zinavyoweza kujiendesha kwa ufanisi!Sasa sijui hapa anataka LATRA watoe huduma ya magazeti na vitafunwa kwenye mabasi???Kwa taarifa yako tu, LATRA siyo kampu I ya mabasi na haina mabasi, LATRA ni mamlaka inayosimamia uchukuzi nchi kavu, kutokana na kutokuwa na mabasi haiwezi kugawa vinywaji, vitafunwa, magazeti na hata kuondoka kwa wakati.
Wewe ni mmoja wa wanaobebwa sana na Moderators ndiyo sababu Post zako zinabaki kwenye kurasa zisizohusika wala haziunganishwi.
Duhhh, Watu mmeathirika na siasa Balaahh,Kwahiyo wazungu wana akili kuliko mtu yeyote ndani ya CCM?
Ungelinganisha management za makampuni ya mabasi hapo ningekuelewa!Sasa LATRA na kugawa vitafunwa na vipeperushi vina uhusiano gani?Sitashangaa ukilinganisha kampuni za Bhakresa na Wizara ya viwanda na biashara!Wewe hata Air Msae hujui mambo ya Scandinavia ungeyajulia wapi!
Umewaona akina Bujibuji walau anajua uhusiano wa Sumaye.
Yehodava kashuka vizuri kabisa juu ya management.
Mdau mwingine kanishushia picha ya Ikarus ambazo wewe hujawahi kuziona unashangilia tu Mwendokasi za Robert.
Siyo kila hoja lazima uhusike meku hapa hatuna ligi ya Ufipa na Lumumba!
Kutukana kunatokana na kujiunga JF bila ya kusoma kwanza masharti utakayotakiwa kuyatimiza ukijiunga, wao wanadhani kufichwa utambilisho kunatosha!Kweli kabisa mkuu,nilitegemea ashindanishe huduma ya Scandinavia na Kampuni za usafirishaji nyingine!Au kama anataka kusemea mamlaka,angefananisha hii ya sasa LATRA na SUMATRA ya wakati huo au na mamlaka za nchi nyingine zinavyoweza kujiendesha kwa ufanisi!Sasa sijui hapa anataka LATRA watoe huduma ya magazeti na vitafunwa kwenye mabasi???
Mleta mada kaandika utopolo,anaishia kutukana wanaokosoa hoja yake!
Kama kuna mapungufu,alitakiwa ayaainishe ili mamlaka iweke viwango kwenye makampuni ya usafirishaji!
Leo Rungwe akiweka Wi-Fi kwenye mabasi yake,mleta mada ataenda kuilaumu LATRA kuwa wamezidiwa na Rungwe wakati LATRA hawamiliki mabasi!
Uzi huu hauna logic kabisaa!
Umemaliza mkuu,uzi huu huwezi kuelewa hoja kuu ni ipi!Kutukana kunatokana na kujiunga JF bila ya kusoma kwanza masharti utakayotakiwa kuyatimiza ukijiunga, wao wanadhani kufichwa utambilisho kunatosha!
Unaweka Post bila ya kuelewa hoja kuu ya Post!
Tuubali kwamba bado usafiri wa mabasi ni kero kwa nchi yetu. Tikiti ya basi inaonesha kuondoka labda saa 12.00 asubuhi pale Ubungo , na kweli inaondoka muda huo lakini ikifika katika huko inasimama kuokuteza abiria. Mara nyingine unakuta abaria anakari ahadi ndoo y aplastiki au kigoda. Ni mambo ya ajabu. LATRA inaweza kusimamia standards , hasa level seat na basi kuwa na mikada ya abiria (seat belts). Hili halihitaji Mzungu ila ni kusimamia sheria na taratibu zilizowekwa na serikali.Hoja yake ni kwamba LATRA ndiye regulator wa usafiri wa ardhini; je, itaweza ku-regulate usafiri wa mabasi ufikie kiwango japo cha Scandinavia?
Hahahaaaa...... hahahaaaa...... Usinipangie meku!Ungelinganisha management za makampuni ya mabasi hapo ningekuelewa!Sasa LATRA na kugawa vitafunwa na vipeperushi vina uhusiano gani?Sitashangaa ukilinganisha kampuni za Bhakresa na Wizara ya viwanda na biashara!
Ndio kama hiki ulichotuletea hapa!
Ulipaswa kulinganisha labda ufanisi wa Scandinavia na Mwendokasi kwenye management,hapo tungekuelewa!