Pamoja na Serikali kupiga kura kuiunga mkono Palestina bado wamemuua mtanzania mwenzetu. Ni kujipendekeza au ni msukumo wa imani ndio ulioutuongoza?

Pamoja na Serikali kupiga kura kuiunga mkono Palestina bado wamemuua mtanzania mwenzetu. Ni kujipendekeza au ni msukumo wa imani ndio ulioutuongoza?

Palestine anahusika vipi na hivyo vifo?

Vijana walichukuliwa mateka na hamas wamefariki Kwa mashambulizi ya jeshi la Israel!!

Sasa hapo Palestine anahusika vipi?

Hammas ni Wapalestina.
Hammas wanatetea maslahi ya Wapalestina.
Hammas wanatumia ardhi na bendera ya Palestina.
Hiyo serikali ya Palestina imeshindwa kuwadhibiti Hammas hivyo inabeba lawama.

Palestina inahusika kwa zaidi ya asilimia 90% katika kile kinachoendelea huko Gaza.

Kwa nini Wateke Raia wasiohusika? Wametumia Sheria ipi iwe ya dini wanayoamini au sheria za kimataifa
 
Jambo hili limeniuma sana. Tuliwahi kuwambia hapa kwamba hao mnaiwaunga mkono kwa sababu ya imani yenu sio watu wazuri hata kidogo. Sasa ona wamemuua mtanzania mwenzetu asiyekua na hatia. Yani mtu ameenda masomoni hata nchi sio yake ameuwawa kikatili.

Mlipelekea mihemuko yenu ya imani kuiunga mkono Palestina labda mlidhani watawaonea huruma mmesahau kama watu hao ni katili.

Mtu anayewatetea Hamas hana tofauti na muuaji. Unapopewa nafasi ya kuongoza watu wenye imani tofauti usiongoze kwa kuiangalia imani yako.

Mtanzania mwenzetu ameuwawa basi furahini na mgonge champagne ndo mlochokuwa mnakitaka.

Nimemumia sana aisee
Acha unafiki wewe. Ni Watanzania wangapi wanauwawa kila siku mikononi mwa vyombo vya dola, uzembe wa baadhi ya watu, taasisi, nk na hatukuoni ukija kulalamika hapa?
 
Nyerere alilazimishwa kuunga mkono Palestina kwa msukumo.w kidini wa Nchi kiarabu

Nchi za kiislamu za kiarabu ziliweka vikwazo vya kutoiuzia nchi yeyote mafuta yenye uhusiano na Israel

Ili tusikose Mafuta Nyerere akaiunga.mkono Palestina

Haukuwa uhusiano wa Hiari
Yule kijana kauawa na wapelistina au waisrael?
 
Waziri wa mambo ya nje amefeli Kila alipoenda, hatukuona jitihada zozote za serikali kuhusu mateka wa kitanzania, Kama wangemwondoa balozi wa wapalestina wangejua dunia unawatenga kwenye Mambo yao mabaya.

This is far fetched. HAMAS waachie mateka kisa kelele tena kelele za bongo? Vp hao raia wa nchi zingine?

More than half of Hamas' hostages have foreign nationality - Israel. JERUSALEM, Oct 25 (Reuters) - More than half the estimated 220 hostages held by Palestinian group Hamas have foreign passports from 25 different countries, including 54 Thai nationals, the Israeli government said on Wednesday.
 
Jambo hili limeniuma sana. Tuliwahi kuwambia hapa kwamba hao mnaiwaunga mkono kwa sababu ya imani yenu sio watu wazuri hata kidogo. Sasa ona wamemuua mtanzania mwenzetu asiyekua na hatia. Yani mtu ameenda masomoni hata nchi sio yake ameuwawa kikatili.

Mlipelekea mihemuko yenu ya imani kuiunga mkono Palestina labda mlidhani watawaonea huruma mmesahau kama watu hao ni katili.

Mtu anayewatetea Hamas hana tofauti na muuaji. Unapopewa nafasi ya kuongoza watu wenye imani tofauti usiongoze kwa kuiangalia imani yako.

Mtanzania mwenzetu ameuwawa basi furahini na mgonge champagne ndo mlochokuwa mnakitaka.

Nimemumia sana aisee
Waislamu huwaona waarabu kama miungu huku waarabu wakiwaona waafrika kama mavi. Infact hata Quran imesema watu weusi hawatakwenda peponi bali jehanam.


Screenshot_20231112-081743_Quora.jpg

waislamu kujipendekeza kwa waarabu inadhiirisha upumbavu wa mtu mweusi

Screenshot_20231117-071254_Quora.jpg

dini ya ugabuzi wa kiwango cha lami

Screenshot_20231112-211715_Chrome.jpg

Mtume wao akasema sisi watu weusi ati ndio mfano wa shetani.

Screenshot_20231112-170737_Quora.jpg

dini ya haki na dini ya amani

Screenshot_20231112-080822_Quora.jpg

alauakibar
Screenshot_20231030-113603_Quora.jpg
 
Jambo hili limeniuma sana. Tuliwahi kuwambia hapa kwamba hao mnaiwaunga mkono kwa sababu ya imani yenu sio watu wazuri hata kidogo. Sasa ona wamemuua mtanzania mwenzetu asiyekua na hatia. Yani mtu ameenda masomoni hata nchi sio yake ameuwawa kikatili.

Mlipelekea mihemuko yenu ya imani kuiunga mkono Palestina labda mlidhani watawaonea huruma mmesahau kama watu hao ni katili.

Mtu anayewatetea Hamas hana tofauti na muuaji. Unapopewa nafasi ya kuongoza watu wenye imani tofauti usiongoze kwa kuiangalia imani yako.

Mtanzania mwenzetu ameuwawa basi furahini na mgonge champagne ndo mlochokuwa mnakitaka.

Nimemumia sana aisee
Ukute hata Israel wanapambana na HAMAS kwa ajili yake na Wapalestina wengi walio wanyonge chini ya udhalimu wa HAMAS.
 
walikosa mahali pengine pa kusoma kilimo hadi waende Israel? wacha wa rip kwa kiherehere chao.
kwa vile wamefia taifa teule watakua mbinguni
 
Serikali inaendeshwa na misimamo ya akina faizafox,wale vijana hawana majina ya upande wao hivyo ni kama yatima hawana mtetezi serikalini
Faizafox ni empty brain, dini imechukua ubongo wote
 
Nyerere aliwaunga mkono Palestine kipindi kile cha ukombozi wa Afrika.

Na sisi tumerithi kuwaunga mkono Palestine.

Ila binafsi siungi mkono kitendo cha Hamas wala vita yeyote inayoendelea huko mashariki ya kati.
 
Hammas ni Wapalestina.
Hammas wanatetea maslahi ya Wapalestina.
Hammas wanatumia ardhi na bendera ya Palestina.
Hiyo serikali ya Palestina imeshindwa kuwadhibiti Hammas hivyo inabeba lawama.

Palestina inahusika kwa zaidi ya asilimia 90% katika kile kinachoendelea huko Gaza.

Kwa nini Wateke Raia wasiohusika? Wametumia Sheria ipi iwe ya dini wanayoamini au sheria za kimataifa
Hamas wote ni wapalestina lakini wapalestina sio wote hamas

Bendera ya hamas na Palestine ni tofauti kabisa
 
Alaf kuna wavaa kobaz wa Chanika Zingiziwa wanataka et kuandamana kuwaunga mkono wauaji. Mna bahati sana aisee, akiyewazuia anawapenda sana
 
Aisee.

Vita ipo kuleee, mnatoleana mapovu hapa jamvini.

Mnajijengea mahasira na chuki zinazoenda kuwatafuna tarativu.
 
Back
Top Bottom