Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Hapa umepatia snHakuna sera nzuri za kulinda maisha ya watoto.
Watoto wengi wanaanza kufanya kazi za majumbani kama kupika, kufagia na kuosha vyombo wakiwa na miaka minne hadi saba. Hii ni asilimia 90 Tanzania nzima.
Lakini ni kwa sababu wazazi wao hasa akina mama wanahangaika kufanya biashara ndogondogo usiku kucha.
Hakuna sera nzuri kabisa kulinda mtoto zaidi ya safari za Dubai kila siku
Kwani familia yake inapata tabu?Rais mwanamke angetengeneza mazingira ya vitu muhimu kwa wanawake kama taulo za kike kupunguziwa ushuru ziuzwe kwa bei ndogo kabisa.
So Uana mke wake unazuiaje hayo? Makalio tumieni kukalia tu. Kufikiria si kutumia hayo.Hakuna sera nzuri za kulinda maisha ya watoto.
Watoto wengi wanaanza kufanya kazi za majumbani kama kupika, kufagia na kuosha vyombo wakiwa na miaka minne hadi saba. Hii ni asilimia 90 Tanzania nzima.
Lakini ni kwa sababu wazazi wao hasa akina mama wanahangaika kufanya biashara ndogondogo usiku kucha.
Hakuna sera nzuri kabisa kulinda mtoto zaidi ya safari za Dubai kila siku
Yaani Mama asiende kuzuru kaburi la Mtume na kuwasalimia wajomba zake kisa ustawi wa Watoto wenu,pambaneni na hali zenu uko!Hapa umepatia sn
Modem ilikuwa na Katibu wa UWT nadhani muda huu ameachiwa utamuonaYaani Mama asiende kuzuru kaburi la Mtume na kuwasalimia wajomba zake kisa ustawi wa Watoto wenu,pambaneni na hali zenu uko!
Wapi Papa Lucas Mwashambwa na DJ Choice variable!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Makalio ya mama yako yamevimbaSo Uana mke wake unazuiaje hayo? Makalio tumieni kukalia tu. Kufikiria si kutumia hayo.
Ni haki yake. We ya baba yako ndo amekuambukiza na wewe wote makalio yenu yametutumka sana na kulegea. Ndo maana hata kufikiria kwenu mnatumia hayo.Makalio ya mama yako yamevimba
We unaumia nini tukitumia makalio yetu kufikiriNi haki yake. We ya baba yako ndo amekuambukiza na wewe wote makalio yenu yametutumka sana na kulegea. Ndo maana hata kufikiria kwenu mnatumia hayo.
Wananuka kNimewaelewa. Sawa sitoumia tena nitajipoza na mademu wa uswazi.