Pamoja na ufaulu kupanda, shule za kata Dar hali ni mbaya, Division Zero ni nyingi sana, Afisa Elimu aondolewe

Huyo anayefika chuo anajitofautisha vipi na huyo aliyepata zero kwa sasa Tanzania ? Au kujitolea kufundisha bure ?
 
Afisa elimi ndio anasomea wanafunzi, tatizo mfumo wetu wa elimu ni mbovu kwanzia ngazi ya chini hadi juu mavyuoni, ni elimu ambayo ni pyramid.
 
Tatizo wanafunzi hawataki kusoma buzy wapo tiki toki kufanya challenge
 
Reactions: K11
Hao Kitunda sekondari wanaenda chuo kikuu kuuza ubuyu au kitu gani?
Hao wanaoenda chuo kikuu wakitoka wanakuja kuuza ukwaju wa bakhresa na hao wa kitunda,kusajili laini na hao wa kitunda, kukimbiza boda boda na hao wa kitunda, kuwa wachekeshaji mitandaoni na hao wa kitunda au nakosea ?
 
Afisa elimi ndio anasomea wanafunzi, tatizo mfumo wetu wa elimu ni mbovu kwanzia ngazi ya chini hadi juu mavyuoni, ni elimu ambayo ni pyramid.
Hao wanafunzi wamefili sababu walimu wao wamegoma kuwafaulisha, elewa neno kuwafaulisha
 
Shuke za Kata mazingira ya kujifunzia ni mabaya.
Uwezi amini kuona wanafunzi wengi wanakaa Chini. Tembelea shuke hata za Mkoa wa Dar na Pwani ambazo viongo wa nchi wapo Karibu na huzipita mara kwa mara. Tuna safari ndefu kwakweli. Shule zingine wanafunzi waliochaguliwa kidato cha Kwanza Wazazi wanashauriwa kuwanunulia Viti na meza watoto wao.
 
Kinachofuata ni kuwaambia wale wakuda watoe ajira kwa vijana
Ambazo azipo au aanze kulamba matako ya wanaccm na kuanza kuvaa gwanda za uvccm akivizia vizia posho za uchawa
 
Hao wanaoenda chuo kikuu wakitoka wanakuja kuuza ukwaju wa bakhresa na hao wa kitunda,kusajili laini na hao wa kitunda, kukimbiza boda boda na hao wa kitunda, kuwa wachekeshaji mitandaoni na hao wa kitunda au nakosea ?
Ajira hakuna na siku hizi ajira imegeuka kua bahati
 
Shule za kata hali ni mbaya. Imagine Tanzania tuna shule za kata zaidi ya 1000 alaf shule ya kata moja inatoa zero 100. So hapo madogo kama 100,000 wanakimbilia mtaani kwenye "survival of the fittest"
 
Hiyo kitunda ukiangalia uwingi wa wanafunzi,mazingira na vitendea kazi vya walimu,naipa points nyingi zaidi ya shule 10 bora,imagine ina wanafunzi zaidi ya 600,walimu awazidi 15 tena walimu wenye stress za mikopo wamepata 1 to 3 wanafunzi zaidi ya 80
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…