Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Mwenyewe annajitapa kuwa yeye ni nyoka mwenye makengeza, hahahaha..huyu mzee huyu ni noma
 
Ningependa kumfahamu chenge kwa undani zaidi,maana maishu anayopiga siyo ya mchezo mchezo na huwa hapatagi kesi wala mashtaka ya kujibu, "how genius is this?"seems he know well to play samba in this country
Time will tell and nature will counter check.
 
Aliua dada wawili saa 9 za usiku,na gari aliyokua anaendesha pick up haikua na hata insurance akapona,EPA,Richmond,Escrow,BAE,ndege ya rais yote mastemind na majuzi Katiba
 
Aliua dada wawili saa 9 za usiku,na gari aliyokua anaendesha pick up haikua na hata insurance akapona,EPA,Richmond,Escrow,BAE,ndege ya rais yote mastemind na majuzi Katiba
Na sasa ni BOSS wa kutunga sheria !!!!!!!!!!
PHP:
 
"Vijana leo wengi wana mali zaidi kuliko wazee waliofanya kazi miaka thelathini hadi arobaini. Lakini wanaitaka Serikali ndiyo iwaulize mali hiyo wameipata wapi. Hivi kwa nini mzazi asimuulize mwanae, 'mali hii umeipata wapi?'" - Edward Moringe Sokoine, 23 Oktoba 1983
 
"Katika nchi inayojali haki na usawa, majeshi hayana budi yawe ni chombo cha kulinda haki na maslahi ya walio wengi. Na kamwe hayaruhusiwi kuwa ni chombo cha wachache wenye kujali nafsi zao na kusahau maslahi ya walio wengi" - Edward Moringe Sokoine, 1Februari 1977
 
Huyu ni kupiga tu km tunavyowapiga wengne huku mtaaani serikalini hawamuwezi.
 
"TUMERUHUSU Walanguzi na Wahujumu Uchumi kuongoza nchi. Wananchi wamefika mahali ambapo wanashindwa kutofautisha kati ya viongozi wa chama (CCM) na Serikali na Walanguzi na Wahujumu uchumi wa nchi."

Ilikuwa Machi 7, 1983 Dodoma.
 
Huyu si ndo alisem gamba limefika kiunoni? Huyu ndiyo anaueratibu shuguli zote za wizi
Ingekuwa nchi yenye maadili wakati angekuwa jela au mahabusu. Mtu ambaye amekuwa proven na SFO kuwa.ni fisadi halafu bado anaengwa engwa tu. Haikubaliki.
 
Mwenyewe annajitapa kuwa yeye ni nyoka mwenye makengeza, hahahaha..huyu mzee huyu ni noma

Inawezekana maana toka nianze kumsikia kwa kupiga dili ndefu ndefu,sijawahi kusikia kahojiwa wala kuchukiliwa hatua za kisheria, sana sana anapewa kazi kubwa kubwa kama kutunga sheria nk.
 
Hivi leo wafanyabiashara wote wakiamka asubuhi na kukataa kulipa kodi ikiwa ni mgomo kufuatia kashfa hii nani atatakiwa kulaumiwa? Jersey serikali itawashtaki?
 
Kwanini mtanzania mwenzetu Andrew Chenge anatajwa katika kila tukio linalowaudhi watanzania wenzake? Kwani Chenge ni nani ndani ya CCM na taifa letu? Umuhimu wa Mh. Chenge kwa CCM na taifa ni upi? Mtandao wake una mizizi mirefu kiasi gani? Mbona hakamatiki?
 
Wanabodi,

Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda maneno makali kama haya, yatasaidia, to change for the better!.

We are ignorants, na wabunge wetu ni ignorants!.

Mnyonge Mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, ni one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuati wengi wa wabunge wetu ni ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Nguruvi3

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, Pasco wa jf ni ignorant, na anajijua ni ignorant, ndio maana ana comment ignorance kwenye public ya jf ili kila mtu ajue Pasco ni ignorant!.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ignorants ila hawajajijua kuwa ni ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa they are ignorants!, ili angalau sasa watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya enero gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paster "para materiale" (neno kwa neno) kutoka India, simpy because hatuna legal drafting people mule bungeni!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best!, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants, ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ignorants, tunashangilia ile ignorance!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.

Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.

Pasco
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
....nliwahi kutoa angalizo dhidi ya chenge na uongozi nchini...lakini naona wananchi wenyewe wa taifa hili wana ignorance ya ajabu...maana mtu ambaye amefanya aliyofanya chenge na kuishia kila mara kuchaguliwa kuwa kiongozi bungeni kunaonyesha ignorance ya ajabu hata kwa wabunge wa ccm...maana hii inatoa taswira ya ajabu katika namna wabunge wa ccm walivyo wanafiki......
 
Back
Top Bottom