Ni heri akafuge kuku tu hhhhhhhhh kama mziki sio pesawewe ni mpuuzi sana .
Umaskini na Utajiri hauna uhusiano mkubwa na umahiri wa mwana muziki. analogy yenu ni sawa na kusema H Baba ni mwanamziki bora kuliko Mbaraka wa Mwinshehe.
Hakuna tajiri ambae ana shinda kwenye mutando ya kijamii Na kujisifia kuajiri watu kama mo Dewji mkuu anasifa za kijinga Yule Kijana Wa kihindimo dewji is the billionare lakini maisha yake binafsi hayapo kwenye media walahata gari yake hatuijui anatumia gari gani lakini
jay z anavyojisifia kama Mungu kila kitu chake kinaonekana kwenye media lakini hata nusu ya mali mo dewji hazifikii
haya twende kwa floyd maywealther anapost picha amebebapesa kwenye torori lakini analess than $400 millions lakini dewji hatujawahi kumuona akifanya hivyo jamani haya mamboni hulka bandugu
Tra walikurupuka ila walikaa wakapigianw mahesabu fresh na platnumz d akawalipa chao
Hata billget mwenyewe hapendi showoff lakini kashindwa kuficha pesa zake za benki 90billion$ anazomilikiHakuna tajiri ambae ana shinda kwenye mutando ya kijamii Na kujisifia kuajiri watu kama mo Dewji mkuu anasifa za kijinga Yule Kijana Wa kihindi
Pesa ilipo haijifichi mkuu. Utakua hupendi magari ya kifahari basis aseti zako zitaonekana hadharani tu kwa msanii WA dunia ya Leo huezi kuwa ficha kiti
Watu kama akina kanumba ndio platnumz waleo watz wengi hujifanya wanampenda mtu baada ya kufa kama kanumba vile
Ahsante. Good reply.Ali Kiba ni masikini kwa sababu haoneshi mali zake mtandaoni
Akikujibu niite.Mkuu hvi siku hizi watu wakienda kushoot video marekani huenda na magari yao??
Hebu fafanua umiliki wa diamond kwenye hii gari
Atakuwa Hamisa huyu.Umejuaje umasikini na utajiri wa watu?
Show off za instagram????
Kama nilivyosema mashabiki wa KIBAKULI huwa wana matusi sn tu..imejionyesha dhahiri..mada hapa ni kwann DIAMOND ni tajiri na KIBAKULI ni lofa?sasa utasemaje UMASIKINI hauna uhusiano na UMAHIRI wa mwanamuziki...wakati wa KIBAKULI ushapita...UNAPOTOA KITU KIZURI ndy UNAPOUZA KIMATAIFA....NA NDY UNAPOPIGA PESA...MIFANO IPO WAZI KABISA...KIBAKULI NIZILIPENDWA.. ANALOGY...asilazimishe KUPAMBANA NA SIMBA..MWENZIE NI WAKATI WAKE HUU ...wakati KIBAKULI anatamba mbona SIMBA hakujilinganisha au hakumchallenge? KIBAKULI is no more SHINES now.. MBONA MWENZAKE MR NICE halazimishi? katulia?ANAPAMBANA NA HALI YAKE TU?tatizo mnaingiza UADUI na muziki..mambo yenu binafsi mnayomchukia DIAMOND mnajifichia kwa KIBAKULI....DIAMOND muziki wake ni wa kimataifa. .huyo kibakuli wenu MUZIKI wake mtaishia nae kwenye SHEREHE ZA KAMPENI ZA UCHAGUZI NA KIPAIMARA tu....ndy maana kimataifa hauzi sababu ya kumjaza UPUUZI kwa nyimbo zilizojaa UPUUZI na kuendelea kumfananisha SIMBA na vitu vya KIPUUZI..wewe ni mpuuzi sana .
Umaskini na Utajiri hauna uhusiano mkubwa na umahiri wa mwana muziki. analogy yenu ni sawa na kusema H Baba ni mwanamziki bora kuliko Mbaraka wa Mwinshehe.
Ndo maana nikakuliza kabla ya hapo ulikuwa ushawah msikia mond akimtupia madongo kiba....Hapo ndipo bifu lilippanzia???[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hivi ushawahi ona TAJIRI anatumwa?kwanza acha kabisa kufananisha STUDIO ZA MAREKANI na vitu vya KIPUUZI..pili wasanii wadogo tu hapa wanazo STUDIO japo za KUUNGA UNGA sasa iweje yeye KIBAKULI akose hata hyo STUDIO YA KUUNGAUNGA?kama HUNA KITU utaonyesha nn?PAMBANENI NA HALI zenu... .msifananishe NYEUPE na NYEUSI ni two different things . ...YEYE hana KITU kwa kuwa wakati wake hakuutumia Vzr ... Amwache SIMBA aungurume......Kwani msanii mkubwa lazima awe na studio? Hivi wasanii wote wakubwa waarekani wana studio? Mbona mnakariri mambo na mnataka kila mmoja afanye hivyo hivyo? Akina Taylor Swift, Katy Perry na Nick Minaji wanamiliki studio?
Yeah wanazo.....Kwani msanii mkubwa lazima awe na studio? Hivi wasanii wote wakubwa waarekani wana studio? Mbona mnakariri mambo na mnataka kila mmoja afanye hivyo hivyo? Akina Taylor Swift, Katy Perry na Nick Minaji wanamiliki studio?
Alafu hatuongelei studio bora studio....tunaongelea studio yenye hadhi upo....tukiachana na swala la lebel maana lenyewe gumu kidogo.Kwani msanii mkubwa lazima awe na studio? Hivi wasanii wote wakubwa waarekani wana studio? Mbona mnakariri mambo na mnataka kila mmoja afanye hivyo hivyo? Akina Taylor Swift, Katy Perry na Nick Minaji wanamiliki studio?
Akikujibu nitag.....wanajifichia kweny kichaka cha hapendi show off.Hakuna tajiri ambae ana shinda kwenye mutando ya kijamii Na kujisifia kuajiri watu kama mo Dewji mkuu anasifa za kijinga Yule Kijana Wa kihindi
Pesa ilipo haijifichi mkuu. Utakua hupendi magari ya kifahari basis aseti zako zitaonekana hadharani tu kwa msanii WA dunia ya Leo huezi kuwa ficha kiti
Kuna kiongozi wao wa matusi instagram wanamuita shilole kiunoKama nilivyosema mashabiki wa KIBAKULI huwa wana matusi sn tu..imejionyesha dhahiri..mada hapa ni kwann DIAMOND ni tajiri na KIBAKULI ni lofa?sasa utasemaje UMASIKINI hauna uhusiano na UMAHIRI wa mwanamuziki...wakati wa KIBAKULI ushapita...UNAPOTOA KITU KIZURI ndy UNAPOUZA KIMATAIFA....NA NDY UNAPOPIGA PESA...MIFANO IPO WAZI KABISA...KIBAKULI NIZILIPENDWA.. ANALOGY...asilazimishe KUPAMBANA NA SIMBA..MWENZIE NI WAKATI WAKE HUU ...wakati KIBAKULI anatamba mbona SIMBA hakujilinganisha au hakumchallenge? KIBAKULI is no more SHINES now.. MBONA MWENZAKE MR NICE halazimishi? katulia?ANAPAMBANA NA HALI YAKE TU?tatizo mnaingiza UADUI na muziki..mambo yenu binafsi mnayomchukia DIAMOND mnajifichia kwa KIBAKULI....DIAMOND muziki wake ni wa kimataifa. .huyo kibakuli wenu MUZIKI wake mtaishia nae kwenye SHEREHE ZA KAMPENI ZA UCHAGUZI NA KIPAIMARA tu....ndy maana kimataifa hauzi sababu ya kumjaza UPUUZI kwa nyimbo zilizojaa UPUUZI na kuendelea kumfananisha SIMBA na vitu vya KIPUUZI..
Sent using Jamii Forums mobile app