Obadiahmayunga
Senior Member
- Sep 19, 2014
- 163
- 109
mo dewji is the billionare lakini maisha yake binafsi hayapo kwenye media walahata gari yake hatuijui anatumia gari gani lakini
jay z anavyojisifia kama Mungu kila kitu chake kinaonekana kwenye media lakini hata nusu ya mali mo dewji hazifikii
haya twende kwa floyd maywealther anapost picha amebebapesa kwenye torori lakini analess than $400 millions lakini dewji hatujawahi kumuona akifanya hivyo jamani haya mamboni hulka bandugu
jay z anavyojisifia kama Mungu kila kitu chake kinaonekana kwenye media lakini hata nusu ya mali mo dewji hazifikii
haya twende kwa floyd maywealther anapost picha amebebapesa kwenye torori lakini analess than $400 millions lakini dewji hatujawahi kumuona akifanya hivyo jamani haya mamboni hulka bandugu