jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Naipata vipi hiyo resetter?Kaspersky ikiwa trial, unapewa siku 30
resetter ina reset Kaspersky ianze kuhesabu upya
so kila mwezi una reset
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naipata vipi hiyo resetter?Kaspersky ikiwa trial, unapewa siku 30
resetter ina reset Kaspersky ianze kuhesabu upya
so kila mwezi una reset
Naipata vipi hiyo resetter?
#MaendeleoHayanaChama
Sikuhizi tunatumia mpes mastercards au airtel master cards tuuuuKupigwa inategemea na yeye ana uzoefu gani kwenye ununuzi wa software, huenda CD aliyonunua Activation Keys zilikuwa mwisho wake wa kutumika ni 2020.
Last time kutumia software ya kwenye CD ilikuwa ni last year, nili-install Kaspersky Antivirus ambayo ilikuwa Activation Keys zake mwisho wa kutumika ni 2020.
Kwa software kama za Antivirus ni bora kutumia official packages kuliko cracks. Pia ununuzi wa CD ni salama zaidi kuliko kununua mtandaoni kwa wale wasio wazoefu na manunuzi na malipo ya mtandaoni, hii ni kwa usalama wa fedha zao pale wanapotumia details zao za bank.
Mkuu nikiingiza keys haikubali.Nilikuwa na Kaspersky internet security sasa nataka nihamie total security ila haikubali
Zote zimekataa??Mkuu nikiingiza keys haikubali.Nilikuwa na Kaspersky internet security sasa nataka nihamie total security ila haikubali
Download total security kisha ingiza hizo Keys.Mkuu nikiingiza keys haikubali.Nilikuwa na Kaspersky internet security sasa nataka nihamie total security ila haikubali
Huu ni ujinga. 2021 unalipia cheap-leapy software? Umepoteza TZS 150,000 kijinga kabisa.... leo nimetoka kulipia software ya doodly 64$.
chukua KRThapaMkuu nikiingiza keys haikubali.Nilikuwa na Kaspersky internet security sasa nataka nihamie total security ila haikubali
Cheki mshamba huyu.Kutumia pirated software sio salama kabisa ni bora ukanunua au ukatafuta alternative kama open source software
Nitumie kwa hii email👉 fbicia83@gmail.com
Kuna mmarekani alikuja home akamkuta jamaa anaistall Ms office ya 2007 kwny laptop nayeye aliazima kwa mshkaji mwingineUnachanganya kati ya umasikini na utandawazi, nyie bongo hamnunui original software ni kwa sababu masikini torrent zinawaokoa.
USA simu yako ama laptop maafisa wakiikutwa na torrent app mzee Miez 6 inakuhusu Jela, No bail.
Mkuu KRT ni antivirus?chukua KRThapa
![]()
File on MEGA
mega.nz
😂😂😂Hiyo ndio Africa aseeKuna mmarekani alikuja home akamkuta jamaa anaistall Ms office ya 2007 kwny laptop nayeye aliazima kwa mshkaji mwingine
Yule Mzungu akashangaa sana kusikia tunashare software kienyeji tu na hakuna mamlaka ya kutukataza
huo ni mtazamo wake na siwezi kumzuia yeye kuona hivyo, kuna wenzake wameniita maskini kutokana na kuzipa cracks kipaumbele wote hao ni perspective zao ambao wao wanaamini hivyo siwezi lazimisha waone navyoona mimikulingana na mdau SuperImpressor hapo juu hiyo PC yako ni unatumia kuchezea maGame ya Zuma deluxe tu hunaga ishu za msingi humo ndani
Hivi kulipa dollar 64 ukaitumia software kuingiza zaidi ya dollar 4000 kuna shida gani. Mimi kulipia kitendea kazi wkangu ni sawa. If I can afford it, basi nitanunua nishapata shida na cracked softwares. Kama kuna mbadara wake wa open source ntatumia mbadara mfano kwa sound natumia audacity.Huu ni ujinga. 2021 unalipia cheap-leapy software? Umepoteza TZS 150,000 kijinga kabisa
Shukrani mkuu,kwa hiyo hizo keys niziingize kwenye kaspersky ya kawaida?hii ndio crack ya kaspersky