Pamoja na yote bado nakupongeza Rais Samia Suluhu, nchi bado ni tulivu.

Pamoja na yote bado nakupongeza Rais Samia Suluhu, nchi bado ni tulivu.

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Kwa aina ya maraisi wengine waliopita na pale ambapo walitaka jambo lao litimie, mpaka sasa tungeshasikia habari za watu kupotezwa, kung'olewa kucha n.k

Ila kwako naona ni tofauti, mpaka sasa, nchi ni shwari, kila mtu anasema anavyotaka, hakuna aliyepotezwa, hakuna aliyeng'olewa kucha.

Hivi ndivo wana demokrasia tunataka mambo yawe. Watu wapewe uhuru wa kufanya dialogue bila vitisho. Kwenye mawazo ya wengi, ndo kuna mawazo ya Mungu.

Na hivi ndivyo demokrasia inavyochangia maendeleo - 'free dialogue and constructive criticism'
 
Anae jua nchi ni tulivu au siyo tulivu ni Olengai Sebaya ndo mtz pekee aliebahatika
 
Mbowe mwenyewe alitiwa ndani na kuachiwa na huyo huyo mazeri muuza bandari.
 
Kwa aina ya maraisi wengine waliopita na pale ambapo walitaka jambo lao litimie, mpaka sasa tungeshasikia habari za watu kupotezwa, kung'olewa kucha n.k

Ila kwako naona ni tofauti, mpaka sasa, nchi ni shwari, kila mtu anasema anavyotaka, hakuna aliyepotezwa, hakuna aliyeng'olewa kucha.

Hivi ndivo wana demokrasia tunataka mambo yawe. Watu wapewe uhuru wa kufanya dialogue bila vitisho. Kwenye mawazo ya wengi, ndo kuna mawazo ya Mungu.

Na hivi ndivyo demokrasia inavyochangia maendeleo - 'free dialogue and constructive criticism'
Umenena vyema.

Ni tulivu Ukiwa ndani ya V8 na Ukiwa umezungukwa na bodyguards.

Bt mioyoni mwa Watanzania ni uvumilivu tu.
 
Back
Top Bottom