Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Kapombe game ilimkubali sana.
Kila nikimwona Mugalu kwenye First 11, roho huwa inaniuma sana.
Kila nikimwona Mugalu kwenye First 11, roho huwa inaniuma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wamuuze kwenda Yanga?Wamuuze aende Yanga
Unadhani kwanini Yanga haina focus? Simba na Yanga walikuwa katika level sawa ukiachana na misumu hii mitatu. Je unadhani kilichotofautisha Simba na Yanga ni kipi katika hii misimu mitatu?Yanga ndio timu isiyokuwa na FOCUS. Mara ya mwisho kucheza Robo fainali ni lini.
Nadhani MUGALU level yake ni YANGA sio SIMBA
maforward sio forwardForward
Unadhani kwanini Yanga haina focus? Simba na Yanga walikuwa katika level sawa ukiachana na misumu hii mitatu. Je unadhani kilichotofautisha Simba na Yanga ni kipi katika hii misimu mitatu?
Hili la uongozi wa Yanga niliongelea siku moja humu nikashambuliwa humu na mashabiki oya kuwa siijui mambo ya Yanga niachane na Yanga.Sure!
Main difference ni INVESTMENT na STRUCTURE.
2. Pia, TOP MANAGEMENT ya UTOPOLO inapoteza muda mwingi kwa kujihusisha na MAJUNGU ambayo hayana TIJA katika CARRIER PATH ya timu .
Top Management ya YANGA bado inatembelea kivuli cha SIMBA akiamini ndiyo RIVAL wake, wakati SIMBA anatembelea kivuli cha Ahly, Mamelodi, Mazembe, akiamini kuwa hao ndiyo RIVALs wake .
Hii kutembelea kivuli cha SIMBA inawaondolea FOCUS na STRENGTH.
Hili la uongozi wa Yanga niliongelea siku moja humu nikashambuliwa humu na mashabiki oya kuwa siijui mambo ya Yanga niachane na Yanga.
Simba imeiacha Yanga kwasabu kuu hizo mbili tu. Ya mfumo wa uendeshaji na mkwanja. Wasipostuka saivi watakuja kustuka kipindi ambacho Simba inakuwa timu ya ukanda wa Africa mashariki kuchukua kombe la klabu bingwa.
Sure!
Main difference ni INVESTMENT na STRUCTURE.
2. Pia, TOP MANAGEMENT ya UTOPOLO inapoteza muda mwingi kwa kujihusisha na MAJUNGU ambayo hayana TIJA katika CARRIER PATH ya timu .
Top Management ya YANGA bado inatembelea kivuli cha SIMBA akiamini ndiyo RIVAL wake, wakati SIMBA anatembelea kivuli cha Ahly, Mamelodi, Mazembe, akiamini kuwa hao ndiyo RIVALs wake .
Hii kutembelea kivuli cha SIMBA inawaondolea FOCUS na STRENGTH nje ya TANZANIA.
Sioni tatizo kwa Yanga kuifanya Simba kuwa Rival wake kwasababu Simba kwasasa ameshaicha Yanga kwa mbali kwanzia kwenye mfumo, mikakati, malengo mpaka kiuchumi hivyo Yanga ingekuwa ni wa kujifunza kupita walipo/wanapopita Simba lakini cha kushangaza viongozi wamekuwa ni watu wa kuwabeza simba. Mfano swala la uwekezaji wanaweka itikadi ya timu hatumpi mtu mmoja aende. Timu ya wananchi, wawekezaji ni wananchi. Mashabiki nao akili zimelala wanashindwa kuangalia zama tuliyopo inahitaji nini. Ni pesa za kutosha + mfumo sahihi za kuebdesha timu
Anaweza asiuzike Simba ikabaki na zigo,wamtoe kwa mkopo au wamuwache,kwanza aleyemleta mpaka sasa alitakiwa awe selo.Mugalu auzwe
hahahahaLabda ndoo ya chooni
Umeshahama timu yako Gor Mahia?Yanga ndio timu isiyokuwa na FOCUS. Mara ya mwisho kucheza Robo fainali ni lini.
Nadhani MUGALU level yake ni YANGA sio SIMBA
Kuna tofaui kati ya mchezaji hatari & mchezaji machachari.Performance moja ya kibabe sanView attachment 1794378
Nakubaliana na Wewe. Inatusononesha sana hili litimu. Yule Msauzi ana ishu gani pale , kWanza anaonekana he is too immature. Uongozi mzima upigwe chini , Investor apewe timu.
Deep down sote tunakubali simba ndiyo timu bora Yaani katika level za kina Mamelodi
Sure!
Main difference ni INVESTMENT na STRUCTURE.
2. Pia, TOP MANAGEMENT ya UTOPOLO inapoteza muda mwingi kwa kujihusisha na MAJUNGU ambayo hayana TIJA katika CARRIER PATH ya timu .
Top Management ya YANGA bado inatembelea kivuli cha SIMBA akiamini ndiyo RIVAL wake, wakati SIMBA anatembelea kivuli cha Ahly, Mamelodi, Mazembe, akiamini kuwa hao ndiyo RIVALs wake .
Hii kutembelea kivuli cha SIMBA inawaondolea FOCUS na STRENGTH nje ya TANZANIA.