Kiukwel umenena kaka ,Simba inahitaji maboresho madogo sana ili kuwa fit mara dufu , toa wafuatao hapo simba
Mugalu
Wawa
Mkude
Ajibu
Leteni mashine mpya kabisa mfano hawa wafuatao
Dube
Juma wa As vita
Na Ambao wengine mtakao ona wanafaa hasa mjipange mlete foward mbili ambazo sio za kuunga unga ,leten beki wawii wa maana wa kati mkifanya hivyo biashara kwisha .
Ila chonde chonde Simba isije jaribu kuwauza au kuachana nao wafuatao.
Morrison
Bwalya
Chama
Konde boy.Hawa ndio injin ya Simba ,pia Simba wasije leta ujinga wa kuachana na huyu kocha Da Rosa ,ni bonge moja la kocha ikiweaekana wamuongeze salary kabisa jamaa ni fundi mno ,Narudia Tena wasijekwazana kabisa na huyu kocha anatutosha huyu mbaba tukomae nae kwenye shida na raha ipo siku atakuja tuletea kitu ambacho hatukuwah fikiria kukipata hivi karibun