Pamoja na Yote, Hongereni Simba SC

Pamoja na Yote, Hongereni Simba SC

Kiukwel umenena kaka ,Simba inahitaji maboresho madogo sana ili kuwa fit mara dufu , toa wafuatao hapo simba
Mugalu
Wawa
Mkude
Ajibu
Leteni mashine mpya kabisa mfano hawa wafuatao

Dube
Juma wa As vita
Na Ambao wengine mtakao ona wanafaa hasa mjipange mlete foward mbili ambazo sio za kuunga unga ,leten beki wawii wa maana wa kati mkifanya hivyo biashara kwisha .

Ila chonde chonde Simba isije jaribu kuwauza au kuachana nao wafuatao.

Morrison
Bwalya
Chama
Konde boy.Hawa ndio injin ya Simba ,pia Simba wasije leta ujinga wa kuachana na huyu kocha Da Rosa ,ni bonge moja la kocha ikiweaekana wamuongeze salary kabisa jamaa ni fundi mno ,Narudia Tena wasijekwazana kabisa na huyu kocha anatutosha huyu mbaba tukomae nae kwenye shida na raha ipo siku atakuja tuletea kitu ambacho hatukuwah fikiria kukipata hivi karibun
Dube laini mno mdau
 
AAAGH, hizo ni match hazina deal. Nadhani yanga sio timu tena kwa simba. Simba anatakiwa kuwa na washindani kama Ahly, Focus iwe huko. Sisi UTOPOLO kazi yake ni MDOMO kama watu wa MSOGA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yanga ndio timu isiyokuwa na FOCUS. Mara ya mwisho kucheza Robo fainali ni lini.
Nadhani MUGALU level yake ni YANGA sio SIMBA
Kama Yanga walimfukuza Molinga huyo Mugali atakaa kiti gani pale benchi..?
 
Mugalu atokeeh, hana ile morari ya kuwezesha team ushindi, na chama nae aache ubishow khaaaah.
 
hawa ulio wataja wote sio level ya simba ukianzia kimafanikio.

Simba imefanya nini katika klabu bingwa zaidi ya kufika hiyo robo fainal.

UTOPOLO at his best. Leta Maneno mwana MSOGA kama kawaida yenu
 
Kiukwel umenena kaka ,Simba inahitaji maboresho madogo sana ili kuwa fit mara dufu , toa wafuatao hapo simba
Mugalu
Wawa
Mkude
Ajibu
Leteni mashine mpya kabisa mfano hawa wafuatao

Dube
Juma wa As vita
Na Ambao wengine mtakao ona wanafaa hasa mjipange mlete foward mbili ambazo sio za kuunga unga ,leten beki wawii wa maana wa kati mkifanya hivyo biashara kwisha .

Ila chonde chonde Simba isije jaribu kuwauza au kuachana nao wafuatao.

Morrison
Bwalya
Chama
Konde boy.Hawa ndio injin ya Simba ,pia Simba wasije leta ujinga wa kuachana na huyu kocha Da Rosa ,ni bonge moja la kocha ikiweaekana wamuongeze salary kabisa jamaa ni fundi mno ,Narudia Tena wasijekwazana kabisa na huyu kocha anatutosha huyu mbaba tukomae nae kwenye shida na raha ipo siku atakuja tuletea kitu ambacho hatukuwah fikiria kukipata hivi karibun
Hakika kabisaaah
 
Kama Yanga walimfukuza Molinga huyo Mugali atakaa kiti gani pale benchi..?

Mbona mliweza kuchukuaa takataka za As Vita. Sasa Simba na Vita ipi timu bora ?
 
Nani kati ya hao niliowataja?
Mugalu, mie huyu hata sijui kawapa nn simba maan tangu viongozi had mashabiki wengi wanamkubali, ila uhalisia ni hovyo tyuuj. Aaaaah yaan kaniudhi leo,
 
Mugalu, mie huyu hata sijui kawapa nn simba maan tangu viongozi had mashabiki wengi wanamkubali, ila uhalisia ni hovyo tyuuj. Aaaaah yaan kaniudhi leo,
Itakuwa ndumba, kifupi hana kitu yule.
Angekuwa hafungi lakini anasumbua ili kiwapa nafasi wenzake wafunge, au hata kutengeneza nafasi kwa wenzake lakini holla
 
Itakuwa ndumba, kifupi hana kitu yule.
Angekuwa hafungi lakini anasumbua ili kiwapa nafasi wenzake wafunge, au hata kutengeneza nafasi kwa wenzake lakini holla

Pana SIRI hapa. Maana mpaka mashabiki wanamkingia KIFUA.
 
Back
Top Bottom