Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu mkuu, una jambo gani linakutatiza
Hakuna zaidi ya kupambana kaka. Kaka paka utoboe, mbilingembilenge zinakua nyingi sana. Muhimu Mipango, dhamira ya kutimiza, uvimilivu na kujipa moyo wa kusonga mbele zaidi pamoja na changamoto unazokutana nazo.Natafta pesa ila imekua ngumu kupatikana. Nfanyeje ili nipate pesa mingi?
Bro kadri unavyokanyaga wengine kwa kumsahau ndo unavyozidi kumkumbuka tena zaidi..! ukiona unafanya hyo yote na ukamsahau basi ujue kulikuwa na nafasi ndogo sana ya kumsahauUmeongea ukweli mtupu mkuu.hata kama umemoenda vip ukiwa na pesa ni rahisi kumsahau unajiendea zako Bankok huko au Paris Brazil unakula watoto wa kitasha mwezi mzima ukirudi umeshamsahau uwe huna kitu sasa.