Panya Magawa mahiri kwa kubaini mabomu ya kutegwa ardhini amekufa nchini Cambodia

Panya Magawa mahiri kwa kubaini mabomu ya kutegwa ardhini amekufa nchini Cambodia

Mkuu Mshana jr any updates kuhusu Mazishi ya Jemedari wetu Magawa tafadhali
 
Watanzania wengi wanakosa huduma za kijamii lakini kuna fungu la kuwatunza Hawa panya hadi uzeeni. Hii si sawa kabisa yani mnatunukia panya nishan ya dhahabu kweli?

Fakin' rodent!
Usimuonee donge Hayati Magawa yoote hayo ni kwa juhudi za upeo wake wa kufikiri na kiutendaji
 
Kwahiyo atazikwa au watawapatia wenzetu wa kusini kitoweo
 
Panya wa kiume kutoka Tanzania, Magawa ambaye mwaka 2020 alitunukiwa nishani ya dhahabu kutokana na uwezo wake wa kubaini mabomu ya kutegwa ardhini nchini Cambodia, amekufa akiwa ni panya Mzee mwenye umri wa miaka minane ambao ni umri mkubwa kwa panya.

Mwezi November mwaka jana Magawa alitimiza umri wa miaka minane na alistaafu pia mwaka jana kutokana na uzee wake kwakuwa alianza kupunguza kasi ya kutegua mabomu.

Magawa alizaliwa Tanzania November 5,2014 akiwa na uzani wa KG 1.2 na urefu wa Sentimita 70 na hadi anakufa amenusa mabomu na silaha nyingine zaidi ya 100.

Magawa amefia nchini Cambodia kwakuwa baada ya kustaafu hakurejeshwa Tanzania na amekufa usiku wa kuamkia Jumapili ya juzi.
Kutegua tena [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
MAGAWA ni maafu huko majuu...
IMG_20220111_200150.jpg
 
Huyo Panya afanyiwe mazishi ya heshima kwa mchango wake alioutoa kwa jamii enzi za uhai wake,kama vile mazishi wanayofanyiwa Mbwa wa Polisi huko mambele.
 
Kunguni ni silaha kali sana ya kibaiolojia inayoweza kutumika vitani badala ya riasasi na mabomu.

Kiundwe kitengo jeshini kitakachohusika na usimamizi wa brigade ya kunguni,na labda chawa na nyuki....

Ni katika kumuenzi panya wa Tanzania aliyefanya maajabu.
 
Huyo Panya afanyiwe mazishi ya heshima kwa mchango wake alioutoa kwa jamii enzi za uhai wake,kama vile mazishi wanayofanyiwa Mbwa wa Polisi huko mambele.
General MAGAWA ameshazikwa huko Cambodia.

Habari mbaya ni kwamba... General MAGAWA hakupigiwa mizinga wala bunduki, amezikwa kama panya wanaoiba mboga majumbani.
 
Ametangazwa kila kona ya dunia Hero wetu ila jamani marehemu angeletwa tukamuona azungushwe kila kona
 
Back
Top Bottom