Kelp B
Member
- Sep 12, 2022
- 80
- 210
Mkuu wa wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amesema ndani ya siku mbili zaidi ya wahalifu 100 wamekamatwa wakiwemo vijana wanaojiita ‘panya road’ ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo mbalimbali vya uhalifu wa kuvamia nyumba na kupora mali pamoja na kuwajeruhi watu
Source:
#EastAfricaRadio
MY TAKE :Najua wanatumia ule utaratibu wa general to specific kwamba unakamata wengi ila Target yako ni specific people ,Rai yangu kwa polisi upelelezi ufanyike haraka wapelekwe mahakamani ili wataokutwa na hatia sheria ichukuwe mkondo wake na wataokutwa Innocent waachiwe mara moja
View attachment 2358822
Source:
#EastAfricaRadio
MY TAKE :Najua wanatumia ule utaratibu wa general to specific kwamba unakamata wengi ila Target yako ni specific people ,Rai yangu kwa polisi upelelezi ufanyike haraka wapelekwe mahakamani ili wataokutwa na hatia sheria ichukuwe mkondo wake na wataokutwa Innocent waachiwe mara moja
View attachment 2358822