Panya road 100 wakamatwa Temeke

Panya road 100 wakamatwa Temeke

Kelp B

Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
80
Reaction score
210
Mkuu wa wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amesema ndani ya siku mbili zaidi ya wahalifu 100 wamekamatwa wakiwemo vijana wanaojiita ‘panya road’ ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo mbalimbali vya uhalifu wa kuvamia nyumba na kupora mali pamoja na kuwajeruhi watu

Source:

#EastAfricaRadio

MY TAKE :Najua wanatumia ule utaratibu wa general to specific kwamba unakamata wengi ila Target yako ni specific people ,Rai yangu kwa polisi upelelezi ufanyike haraka wapelekwe mahakamani ili wataokutwa na hatia sheria ichukuwe mkondo wake na wataokutwa Innocent waachiwe mara moja

View attachment 2358822
 

Attachments

  • FB_IMG_1663330600904.jpg
    FB_IMG_1663330600904.jpg
    49.3 KB · Views: 8
Huo ni uonevu. Ukamataji wa hovyo bila uchunguzi. Polisi ilikuwa wapi miaka zaidi ya 10 sasa? (Toka ile Clip ya Wanaume wa Dar es Salaam- Sauti ya mtu wa MARA).
Huwezi kurupuka uka kamata watu hovyo hovyo tu.
Polisi kupitia waatalamu wake inabidi waongeze umakini kwenye kupembua wahalifu kwenye hao 100 wasije watu wakaonewa nachelea kuamini kama hao wote ni panya road
 
Mkuu wa wilaya ya Temeke jokate mwegelo amesema ndani ya siku mbili zaidi ya wahalifu 100 wamekamatwa wakiwemo vijana wanaojiita ‘panya road’ ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo mbalimbali vya uhalifu wa kuvamia nyumba na kupora mali pamoja na kuwajeruhi watu
SAFI SANA
Source:

#EastAfricaRadioView attachment 2358700
 
Kazi nzuri dc jokate

Wito wangu kwa Wasamalia wema wote Mnaotembea sana usiku (hasa wamanane) kuweni makini Sana kipindi hiki Cha wanasiasa kutafuta Kiki.

Kuna hatari ya kuunganishwa kwenye ile list ya hao panya road 100+, hata Kama huusiki
 
Mkuu wa wilaya ya Temeke jokate mwegelo amesema ndani ya siku mbili zaidi ya wahalifu 100 wamekamatwa wakiwemo vijana wanaojiita ‘panya road’ ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo mbalimbali vya uhalifu wa kuvamia nyumba na kupora mali pamoja na kuwajeruhi watu

Source:

#EastAfricaRadioView attachment 2358700
Picha ni muhimu ili tujihadhari nao
 
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amesema zaidi ya Wahalifu 100 wakiwemo Vijana wa Panya Road wamekamatwa ndani ya siku mbili wakituhumiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu wa kuvamia nyumba za watu na kupora mali “Wamekamatwa katika msako ulioanza September 14 ambapo doria zinafanyika katika Mitaa yote ya Temeke”

Watuhumiwa hao wamekamatwa kufutia uvamizi uliofanywa Septembaer 12 na 13 katika kata za Mianzini, Chamazi na Kilungule.

Jokate amesema katika operesheni hiyo hawatawavumilia Watendaji na Viongozi wa Mitaa wanaotoa ushirikiano kwa Wahalifu au kuficha taarifa zao “Hatutavumilia, kwahiyo wale wanaokaa vijiweni tutashughulika nao kama wachora ramani za uhalifu, tutawakamata wote”

“Sitakubali katika uongozi wangu Temeke iingie kwenye dosari ya vitendo vya uhalifu, ndio maana katika hili nasema tutakula sahani moja, hatuwezi kuwa tunapangiwa kazi na vijana wa hovyo”
 

Attachments

  • IMG-20220916-WA0213(1).jpg
    IMG-20220916-WA0213(1).jpg
    98.1 KB · Views: 4
  • IMG-20220916-WA0207(1).jpg
    IMG-20220916-WA0207(1).jpg
    79.4 KB · Views: 5
  • IMG-20220916-WA0215(1).jpg
    IMG-20220916-WA0215(1).jpg
    75.4 KB · Views: 5
  • IMG-20220916-WA0209(1).jpg
    IMG-20220916-WA0209(1).jpg
    81.3 KB · Views: 5
  • IMG-20220916-WA0211(1).jpg
    IMG-20220916-WA0211(1).jpg
    73.5 KB · Views: 6
  • IMG-20220916-WA0214(1).jpg
    IMG-20220916-WA0214(1).jpg
    107 KB · Views: 6
  • IMG-20220916-WA0208(1).jpg
    IMG-20220916-WA0208(1).jpg
    89.9 KB · Views: 5
  • IMG-20220916-WA0212(1).jpg
    IMG-20220916-WA0212(1).jpg
    100.9 KB · Views: 5
  • IMG-20220916-WA0210(1).jpg
    IMG-20220916-WA0210(1).jpg
    96.1 KB · Views: 4
Huo ni uonevu. Ukamataji wa hovyo bila uchunguzi. Polisi ilikuwa wapi miaka zaidi ya 10 sasa? (Toka ile Clip ya Wanaume wa Dar es Salaam- Sauti ya mtu wa MARA).
Huwezi kurupuka uka kamata watu hovyo hovyo tu.
Wakatwe miguu woote ili iwe fundisho..
 
Huo ni uonevu. Ukamataji wa hovyo bila uchunguzi. Polisi ilikuwa wapi miaka zaidi ya 10 sasa? (Toka ile Clip ya Wanaume wa Dar es Salaam- Sauti ya mtu wa MARA).
Huwezi kurupuka uka kamata watu hovyo hovyo tu.
Akili za nyumbu wanazijua wenyewe, watakuja kutetea wahalifu hapa eti ni haki za binadamu.
 
Mme wakamata au sio , Alafu baada ya kuwa kamata mmewafanya nini au mta wafanya nini ?

: Nasubiri kichekesho cha maamuzi ya mwisho kwa waalifu 😆.
 
Wakamate panya road pasipo uonevu.
Mnakumbuka mambo ya Hamza pale Salander bridge?
Wakikamatwa wakatwe miguu woote Kwanza watajieleza baadae kumamake hao wasenge hawana huruma weeewe nani unawaonea huruma?
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Hao wahalifu wasishike group la vijana wadogo pekee kwa vile walikovamia wanasema wapo mpaka watu wazima na wazee na wamama wanaochora raketi hivyo wote wanaohusika washikwe Ili kuondoa mizizi yote.
 
Back
Top Bottom