404 Pages
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,703
- 2,963
Ndio vizuri hawa watoto tumewachoka..Kuna msako wa chini kwa chini dsm umeanza, hasa usiku kwenye maeneo ya starehe,mitaani hasa hii mitaa yetu ya kawaida, watu wamemwagwa si vizuri kutembea hovyo au kuwa karibu na watu au company usiyoifahamu hasa usiku mwingi, Kuna vijana tayari washachanganywa tena wengi tu.