Panya road 100 wakamatwa Temeke

Panya road 100 wakamatwa Temeke

Kuna msako wa chini kwa chini dsm umeanza, hasa usiku kwenye maeneo ya starehe,mitaani hasa hii mitaa yetu ya kawaida, watu wamemwagwa si vizuri kutembea hovyo au kuwa karibu na watu au company usiyoifahamu hasa usiku mwingi, Kuna vijana tayari washachanganywa tena wengi tu.
Ndio vizuri hawa watoto tumewachoka..
 
Huo ni uonevu. Ukamataji wa hovyo bila uchunguzi. Polisi ilikuwa wapi miaka zaidi ya 10 sasa? (Toka ile Clip ya Wanaume wa Dar es Salaam- Sauti ya mtu wa MARA).
Huwezi kurupuka uka kamata watu hovyo hovyo tu.
watetezi wa panyaroad na wafaidika wa vile wanavyopora mnajianika waziwazi.
 
Wapelekwe Russia [emoji635] kumsaidia Putin kusakafia mashoga ya Ukrainian au kuwakata viganja kama uarabuni wafanyavyo! [emoji35]
 
Hawajakufikia ni rahisi kusema hayo [emoji2959]
Siku ukijakuwa victim wa ukamataji holela usiozingatia sheria au kuwekwa kizuizini kinyume na sheria ndio utaelewa ninachomaanisha, sheria ifuatwe no matter what
 
Back
Top Bottom