Panya road 100 wakamatwa Temeke

Panya road 100 wakamatwa Temeke

Hili swala lisiwe la trend ya siku mbili tatu tutafute solution ya kudumu kama unajirani yako huko tabata, kawe, temeke, chanika, kunduchi nk ni panya road fanyeni utaratibu wa kupambana nao kupitia vikundi vya ulinzi shirikishi bado naamini longterm solution ipo huku chini mitaani , tupambane na uhalifu kwa nguvu zote
 
Mahakama pekee ndiyo iliyo na weledi wa kuwatambua wahalifu. Si raia, polisi wala mburula yeyote. Wewe ni Mahakama ya wapi?
Kwenye hili naungana na wewe, Raisi alishaweka msimamo wazi. Hakuna kukamatwa bila upeelelezi. Polisi hawezi kutoa hukumu, polisi kazi yake ni kutoa ushahidi tu
 
Kila nikimfikiria Mary Basso( Mungu akuweke mahali salama ndoto yako imekatishwa ingali bado hata haijatimia) napata roho Fulani ambayo nasema mimi ningekuwa Raid ningewayeyusha kwa acid hao panya road.

Ifike mahali taifa lijue umuhimu wa kutokuwepo Magufuli ila mapenzi ya Mungu makubwa katangalia shujaa wangu. Kila nikimkumbuka Helen Kijo bi Simba kila majambazi yakiuawa tena katika mapambano na askari anakuja anakemea ila askari akiuawa kimya yule mwamba akasema anafadhili majambazi toka kipindi hiko akawa hafanyi hivyo.

Subiri BAVICHA waje kuwatetea hao panyaroad ndio mjue nchi ngumu sana hii
 
mwamba unawajua askari wetu au yan hapo ukute panya road watatu tu wengine wote jumba bovu
Tushawachoka hakuna cha kujua wala kutokujua wakidakwa wafyekwe miguu wooote alafu ndio wachukulie maelezo...
 
Kwenye hili naungana na wewe, Raisi alishaweka msimamo wazi. Hakuna kukamatwa bila upeelelezi. Polisi hawezi kutoa hukumu, polisi kazi yake ni kutoa ushahidi tu

Kwenye hili tuko pamoja tuungane kuwakataa wahuni. Kumkamata mtu bila upelelezi kukamilika ni uhuni uliopitiliza.
 
Tushawachoka hakuna cha kujua wala kutokujua wakidakwa wafyekwe miguu wooote alafu ndio wachukulie maelezo...
tatizo lipo wapi ujue umejichanganya night upo ghetto nikanunue chips wanakudaka halaf hawana ule weledi wa kujua huyu ndie huyu sie halaf wanataka namba kubwa ya washitakiwa siku moja mia?
 
HUNA AKILI
Tukikukakamata tunakukata miguu nenda kawaambie na wenzako unaowatetea.. mnapiga na kuua watu alafu mnaleta kauli za kukubariana eti tulikubariana subiri udakwe utaelewa km ulikubariana au ulifanyaje
 
Tukikukakamata tunakukata miguu nenda kawaambie na wenzako unaowatetea.. mnapiga na kuua watu alafu mnaleta kauli za kukubariana eti tulikubariana subiri udakwe utaelewa km ulikubariana au ulifanyaje
jembd sisi wenyewe tushapigwa sana hawa wasenge sema wafanye haki katika kukamata
 
maafande wetu hawapo fair wana mtindo was kukusanya sasa mpaka hakimu akuachie sio Leo ujue
Ndio iwe hivyo km wewe ni msafi huna kosa huwezi kua kwenye orodha hio ila km wewe ndio wale wale lazima utadakwa tu na mimi nasemaje wakikudaka wakukate miguu kwanza kabla mahakimu hawajakuona kitaeleweka mbele ya safari tushawachoka kwanza.. msako wa nyani ngedere haponi
 
Back
Top Bottom