Panya Road achomwa moto Manzese

Hao panya road nawatafuta sana,walimpiga dogo panga la usoni,ukiwaona tena popote pale nishtue nije nipige hata jiwe
 
Mtoa mada unaumia kwa kuwa aliyeuawa ni classmate wako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Hii nchi ina mfumo wa sheria na hakuna mtu ambaye yuko juu ya sheria, leo hii wamemuua kijana wa watu inakuwaje kesho wakamuua mtu mwingine ambaye anashukiwa tu kuwa ni mwizi. Serikali,
Mbona wanaokula kodi zetu huwaambii kuwa hawako juu ya sheria
 
Hilo nalo jizi tu unafikaje hapa eti umeguswa na kifo cha panya road na mbaya zaidi kaja na uthibitisho kuwa alikwapua sasa sijui alitaka wamfanye nini?RC mwenyewe katangaza kuwa wakutwe au wakatafutwe Mwaisela kama mna shida nao

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Unamtetea panya road mwenzio sio !! Wao wakijeruhi, wakiua, wakipora ni Sawa ?! Wauawe tuu hawana faida katika nchi hii. Povu ruksa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We endelea kukaba tu siku zako zinahesabika
 
Kampe mke wako hadithi za kijinga hizi
 
Kiubinadamu upo sawa, ila mkuu ushawahi kuingia anga za vibaka, wezi au panya road? Sali sana yasije kukukuta wewe au mpendwa wako. Au nenda kwa yule mzee aliyeuliwa binti yake umwambie hizi habari ulizoandika hapa
 
Ilitokea SAUT Mwanza mtu kagombana na demu wake alivyoenda kumtembelea hostel yule demu akamuitia mwizi. Wakampiga mpaka anakata roho ndio sauti za jamani msimpige sio mwizi zinasikika kutoka kwa huyo mdada
Ile story ya yule jamaa ilisikitisha sana.. yule dada ana ticket ya motoni kabisa kwa alichokifanya
 
Tumegeukia uchuuzi Kama suluhisho la kudumu la kuukosekana ajira...

.bora kupanua fursa kwenye kilimo, ufugaji au uvuvi maana kuna mahitaji ya hizo bidhaa kila siku huko duniani.
Na sahvi wanawambia betting,kamari ni ajira wacheze tu

Ova
 
KUCHUKUA SHERIA MKONONI HAIJAANZA LEO WALA JANA
KUNA WATU AMBAO NI WATUKUTU NA WATU WA MATUKIO KUNA WAKATI INAFIKA JAMII INAWACHOKA,SERIKALI INAWACHOKA...SOLUTION YAO NI MOJA KUWAONDOA DUNIANI
HAYA MATUKIO YA KUWAONDOA YANAFANYIKAGA SANA,SIKU RAIA WAKIAMUA NA KWA TAARIFA YAKO RAIA HAWAAMUI TU WAO,KUNA BARAKA WANAPEWA TOKA JUU

KUNA WAKATI FULANI KUNA WAKABAJI AMBAO WALIKUWA WANASUMBUA SANA SEHEMU ZA KINONDONI,NAKUMBUKA WALIPEWA
ONYO SANA MPAKA KWA WAZAZ WAO WAWAKANYE WATOTO ZAO WAACHE...LAKN MWISHONI WATOTO
WALE WALIKUWA WANAJIFANYA MANUNDA HAWASIKI
KUNA TEAM ILIPITA MAKWAO NA KUWACHKUA MKONONI MWA WAZAZ WAO WENGINE WAKIWA MAGHETONI MWAO
WALIPELEKWA BIAFRA UWANJANI PEMBENI,WALIPIGWA NA KUMALIZWA WOTE HAPO HAPO

OVA
 
Mkuu ujasikia walichofnaya hao panya road cku mbili hizi mpaka kukuuwa mwanafunzi wa chuo

Sasa kufa uwo panya road mmoja unalalamika kweli bob!! Hawo panya wapigwe mpaka wakufee
 
Hawa panya wameleta taharuki katika jamii. Wanatakiwa kushughulikiwa kisawasawa. Hawafai na hawakiwi kuonewa huruma hata kidogo.Bila hivo wataendelea kuiumiza jamii mzima. Wananchi inabidi waungane kuwatokomeza. Hali sio shwari mitaani Dar. Hawawezi kuachwa wajitawale na kuumiza watu. Hawafai kabisa hawa jamaa.
 
Duuuh kumbe watetezi wa panyaroad mpo wengi hivi?

Yaan wewe watu kupingwa mapanga na kuuliwa na hao panyaroad unaona ni sawa tu kwako ila panyaroad wakishugurikiwa unaanza kupaza sauti? Tutawanyoosha na nyinyi watetezi wao endeleeni tu
Inshu sio panya road, wala nani, bali ninachokizungumzia ni kujichukulia sheria mkononi, ndio maana nikasema kama kuna uthibitisho wa alichokiiba sawa, lakini haya ya kusema tu huyo mwizi, ni hatari sana kwenye jamii, ni wangapi wameuawa kwa kuitiwa wezi kumbe jamaa ana ugomvi na demu wake, akaamua kuitiwa mwizi na akauawa, tukio kama hili lilitokea ubungo mwaka juzi!!jamaa amekwenda kwa demu wake, akamkuta yupo na jamaa ndani, ikatokea fujo demu akamuitia mwizi, wana nzego wakamuua jamaa, badaye inakuja kujulikana mbona ni mpenzi wake!!hadi leo demu yuko ndani!!!japo mifumo yetu ya sheria ina matatizo lakini kujichukulia sheria mkononi ni hatari sana!!ndio maana hiyo huwezi kuikuta kwenye jamii ya watu walioendelea
 
Sawa mkuu umeeleweka...
 
Watu wa Dar wacharuka! Wazima Panya Road Mmoja. Je Panya Road Wengine Watasitisha Uhalifu? (Natamani kichwa cha thread kingekuwa hivyo)
 
Katika hili la panya road watakufa wengi watafungwa wengi vila hatia. Hii ni vita siku zote vita haina macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…