Panya Road achomwa moto Manzese

Panya Road achomwa moto Manzese

Unapoandika suala zito kama hili la panya road, usiegemee upande wowote, kuwa huru, jiweke kati kati.

Vinginevyo nawe utaonekana ni panya road tu ama mnufaika.

Kuna binti kauawa mitaa ya Dar na hao panya road na mpaka muda huu kuna taharuki kubwa sana kitaifa na msiba mkubwa familia ikiomboleza na kusaga meno!

Sasa sijasikia popote ukianza kwanza kulaani kuuawa kwa huyo raia mwema asiye na hatia ama kutoa pole kwa familia iliyouliwa familia yao na hao vibaka.
Inawezekana unasoma unavyotaka wewe
SIWEZI kukulazimisha
Soma vizuri, nimeandika sheria ifuate mkondo wake
Sijamtetea yeyote yule
 
Bad very bad
Kuna mwamba aliweka uzi hapa kuwa alimkopesha demu elfu 50, kwenda kudai yule demu akamwitia mwizi. Jamaa alikimbia kuokoa maisha yake, inakuwaje kama watu wangejichukulia sheria mkononi. Angeweza poteza maisha na hakuwa na hatia. WE HAVE TO OBSERVE RULE OF LAW, WE ARE NOT ANIMALS. .
Ilitokea SAUT Mwanza mtu kagombana na demu wake alivyoenda kumtembelea hostel yule demu akamuitia mwizi. Wakampiga mpaka anakata roho ndio sauti za jamani msimpige sio mwizi zinasikika kutoka kwa huyo mdada
 
Habari za Jioni
Kuna jambo la kusikitisha sana ambalo limenifanya niwaze sana mda huu. Jioni hii saa moja kuna kijana ambaye ni panya road amechomwa moto barabara ya kutokea sweet corner kuelekea Manzese darajani (karibu na machine za kusaga). Kijana huyo ambaye alimpora mtu kwa kutumia silaha amepigwa na kuchomwa moto. .

Kilichonisikitisha ni kuwa sikutegemea kama kuna watu wenye hulka za kuchukua sheria mkononi. Hii nchi ina mfumo wa sheria na hakuna mtu ambaye yuko juu ya sheria, leoo hii wamemuua kijana wa watu inakuwaje kesho wakamuua mtu mwingine ambaye anashukiwa tu kuwa ni mwizi. Serikali, wadau wa haki za binadamu na jeshi la polisi linatakiwa liangalie hili swala kwa jicho la tatu. .

Nakumbuka kuna kijana nilisoma nae form two alikiwa anaitwa James Nyoni, huyu kijana alikuwa anapenda maisha mazuri tu ya kujionyesha onyesha. Nakumbuka alichukua pamba za mtu gheto akazitinga jamaa mwenye pamba zake akakutana nae mitaa ya Ubungo. Ilikuwa mwaka 2010, yule mwenye pamba akamwitia rafiki yake mwizi na watu walimpiga na kumchoma James Nyoni moto. Hili ni moja ya tukio ambalo liliniachia simanzi kubwa sana kwa sababu ya nguo jamaa akachomwa moto. .

Am very sad about this. We are not savages we are really people and we should be civilized. People should take law at their own hands, and tonight I believe Panya Roads will retaliate. My house being in street of Manzese no one will be safe, begging the Police and the street watchmen to guard the innocent people and their families. .
Ngoja mwanao auliwe ndo utajua kuwa hao panya road Siyo...Mimi nawapongeza wananchi.

Tuzae watoto tunaoweza kuwatunza...
 
Kama kabainika ni panya road safi sana kwa kuchomwa moto kwake tena nawaomba wananchi wa Dar mkimkamata panya road yeyote mtieni kwenye moto kisha mbanike kama samaki kama wafanyavyo askari game kwa majangili huko msituni
 
Inawezekana unasoma unavyotaka wewe
SIWEZI kukulazimisha
Soma vizuri, nimeandika sheria ifuate mkondo wake
Sijamtetea yeyote yule
Haujatetea upande, wakati umeongelea upande mmoja wa kibaka kuchomwa moto, wakati raia mwema aliyeuliwa na vibaka haujamuongelea?

Ndomaana nikasema umeegemea upande mmoja kutetea kibaka na matusi utayaoga sana kwa thread hii sababu ya raia kuchoshwa na matendo ya panya road na vyombo vya sheria kusua sua kuchukua hatua za maana kulinda haki za watu.
 
Na kingledha choote lakn lets b realistic, hao jamaa wamekua wakileta tafrani mtaani kwa muda sasa. Sio kwamba serikali inashindwa kuwadhibiti but kuna kauzembe flani hiv. Mwanzon ilikua wanapora na kujeruhi n ol that, lakn wamevuka mpka wameua kabisa. People may seem meek n low lakn ikifika a point of no return matokeo ndo haya.
Yes kuna watakaoenda bila hatia, lakini ukiulizia street code utaambiwa hao ni collateral damage
 
Ukija mwizi kuiba unapokaa na akamuua na mdogo wako utafanyaje utabembeleza kwamba "panya road ee twende nikupeleke polisi tukawambie Kuwa umeiba na umemua"
 
Hadi yatakapokukuta wewe au nduguyo kwa kuhisiwa kuwa na macho juu juu ndipo utatambua nini maana ya utawala wa sheria.

Watu wameshapata misiba wengi tu, kurudishwa nyuma kiuchumi na wengine hadi dakika hizi ni VILEMA wa kudumu hata kuendesha familia zao hawawezi tena ilihali kabla ya kupatwa na hao panya roads hawakuwa hivyo afu mnaleta ujinga kwa vimifano vyenu viwili hivi vya kijinga jinga...[emoji57]

I wish I could be nearest to you at right now physically, I could have already showed you how the world is driven to lunatic people like you by any beat means to quit double standards on difinitely definitions of human rights...[emoji34]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom