gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Ndugu kuna watu wanajionaga watakatifu sana bila kujua huo utakatifu wao unalindwa na sheria.siku kukiwa hakuna hizo sheria yoyote anaweza kuhukimiwa bila kupata muda wakusikilizwa au kuthibitishwa.Ni kweli ila watu watatumia mwaya wa kuchukua sheria mkononi hata kwa wasio na hatia
Thats how it goes.