Mtu ambaye bado anafikiria kuua mwenzake kwa visababu vidogo vidogo ni Hayawani tu huyo.
Kumwua mtu kwa kumhisi hakumtofautishi mwuaji na panya road halisi ambao tungependa sote kuwapiga vita.
Tuwapige vita panya road kwa mujibu wa sheria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu ambaye bado anafikiria kuua mwenzake kwa visababu vidogo vidogo ni Hayawani tu huyo.
Watachomwa moto sana na hata wewe unastahili kuchomwa moto sio huu TU mpaka wa Jehanam mana ni Mnafiki .Habari za Jioni
Kuna jambo la kusikitisha sana ambalo limenifanya niwaze sana mda huu. Jioni hii saa moja kuna kijana ambaye ni panya road amechomwa moto barabara ya kutokea sweet corner kuelekea Manzese darajani (karibu na machine za kusaga). Kijana huyo ambaye alimpora mtu kwa kutumia silaha amepigwa na kuchomwa moto. .
Kilichonisikitisha ni kuwa sikutegemea kama kuna watu wenye hulka za kuchukua sheria mkononi. Hii nchi ina mfumo wa sheria na hakuna mtu ambaye yuko juu ya sheria, leoo hii wamemuua kijana wa watu inakuwaje kesho wakamuua mtu mwingine ambaye anashukiwa tu kuwa ni mwizi. Serikali, wadau wa haki za binadamu na jeshi la polisi linatakiwa liangalie hili swala kwa jicho la tatu. .
Nakumbuka kuna kijana nilisoma nae form two alikiwa anaitwa James Nyoni, huyu kijana alikuwa anapenda maisha mazuri tu ya kujionyesha onyesha. Nakumbuka alichukua pamba za mtu gheto akazitinga jamaa mwenye pamba zake akakutana nae mitaa ya Ubungo. Ilikuwa mwaka 2010, yule mwenye pamba akamwitia rafiki yake mwizi na watu walimpiga na kumchoma James Nyoni moto. Hili ni moja ya tukio ambalo liliniachia simanzi kubwa sana kwa sababu ya nguo jamaa akachomwa moto. .
Am very sad about this. We are not savages we are really people and we should be civilized. People should take law at their own hands, and tonight I believe Panya Roads will retaliate. My house being in street of Manzese no one will be safe, begging the Police and the street watchmen to guard the innocent people and their families. .
Wote wanahatia kwani wote wametenda dhambi.Ni kweli ila watu watatumia mwaya wa kuchukua sheria mkononi hata kwa wasio na hatia
Thats how it goes.
Kwa hyo sisi tuliopoteza wapendwa wetu kwa kuuwawa na panya road tusihuzunike sababu panya road nao n binadamu ?
Jitafakari
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hivi umewahi kutafakari juu ya aina ya watu wanaotunga Sheria na wale walioko nyuma ya Kwa karibu. Ukatafakari uadilifu wao ,matendo yao,kauli zao, mitizamo yao juu ya waliko chini yao.Ndio maana kuna utawala wa sheria
Kwa hiyo wewe unashauri kama mtu kakuibia auliwe
Kuna mtu kanidhulumu elfu 20 nikamuue?
Ingetakiwa afikishwe kwenye sheria
Mengine tunaibebesha Serikali bure, tuanzie kwa wazazi wa hawa vijana.NInakazia:
"Lawama zote ni kws serikali iliyoshindwa kuwadhibiti hawa watoto matokeo yake ndio haya....kuua na kuawa."
Kama ni Panya road kweli acha auwawe.Bad very bad
Kuna mwamba aliweka uzi hapa kuwa alimkopesha demu elfu 50, kwenda kudai yule demu akamwitia mwizi. Jamaa alikimbia kuokoa maisha yake, inakuwaje kama watu wangejichukulia sheria mkononi. Angeweza poteza maisha na hakuwa na hatia. WE HAVE TO OBSERVE RULE OF LAW, WE ARE NOT ANIMALS. .
Huwa wananuka balaa,hubeba silaha mapanga,bisibisi,marungu hawajifichi hawa wapumbavu.Hao panya road wanakua na alama gani?
Hiyo sheria ndio haimshughulikii mhalifu ipasavyoNdio maana kuna utawala wa sheria
Kwa hiyo wewe unashauri kama mtu kakuibia auliwe
Kuna mtu kanidhulumu elfu 20 nikamuue?
Ingetakiwa afikishwe kwenye sheria
Mwenzio hapo amesema huyo Panya road amemkwapua mtu kwa kutumia silaha, bado unauliza wamejuaje??? Huyo sio suspect tena ni muhusikaKwenye kuwashughulikia mnajuwaje huyu ndiye na huyu siye?
Wao hao panya road wanapojichukulia Sheria mkononi wa kutukata mapanga na kutuibia vitu vyetu tulivyovitolea jasho haki inasemaje hapo?? Wachomwe tu ilimradi amethibitika amepora kwanini apore??Habari za Jioni
Kuna jambo la kusikitisha sana ambalo limenifanya niwaze sana mda huu. Jioni hii saa moja kuna kijana ambaye ni panya road amechomwa moto barabara ya kutokea sweet corner kuelekea Manzese darajani (karibu na machine za kusaga). Kijana huyo ambaye alimpora mtu kwa kutumia silaha amepigwa na kuchomwa moto. .
Kilichonisikitisha ni kuwa sikutegemea kama kuna watu wenye hulka za kuchukua sheria mkononi. Hii nchi ina mfumo wa sheria na hakuna mtu ambaye yuko juu ya sheria, leoo hii wamemuua kijana wa watu inakuwaje kesho wakamuua mtu mwingine ambaye anashukiwa tu kuwa ni mwizi. Serikali, wadau wa haki za binadamu na jeshi la polisi linatakiwa liangalie hili swala kwa jicho la tatu. .
Nakumbuka kuna kijana nilisoma nae form two alikiwa anaitwa James Nyoni, huyu kijana alikuwa anapenda maisha mazuri tu ya kujionyesha onyesha. Nakumbuka alichukua pamba za mtu gheto akazitinga jamaa mwenye pamba zake akakutana nae mitaa ya Ubungo. Ilikuwa mwaka 2010, yule mwenye pamba akamwitia rafiki yake mwizi na watu walimpiga na kumchoma James Nyoni moto. Hili ni moja ya tukio ambalo liliniachia simanzi kubwa sana kwa sababu ya nguo jamaa akachomwa moto. .
Am very sad about this. We are not savages we are really people and we should be civilized. People should take law at their own hands, and tonight I believe Panya Roads will retaliate. My house being in street of Manzese no one will be safe, begging the Police and the street watchmen to guard the innocent people and their families. .
Ndio mambo yao wanaojifanya kupigania haki za binadamu, mtu kakamatwa kafungwa miez sita amerudi kafanya uharifu wa kuua naye anapaswa kuuawa ili aone tamu ya kuuaUnapoandika suala zito kama hili la panya road, usiegemee upande wowote, kuwa huru, jiweke kati kati.
Vinginevyo nawe utaonekana ni panya road tu ama mnufaika.
Kuna binti kauawa mitaa ya Dar na hao panya road na mpaka muda huu kuna taharuki kubwa sana kitaifa na msiba mkubwa familia ikiomboleza na kusaga meno!
Sasa sijasikia popote ukianza kwanza kulaani kuuawa kwa huyo raia mwema asiye na hatia ama kutoa pole kwa familia iliyouliwa familia yao na hao vibaka.
Uliwahi kusikia ule semi wa umdhanaye siye ....?
Hudhani hii yaweza kuwa nafasi nzuri ku settle personal vendetta?
Kama kuwahisi tu watu inatosha, mahakama za nini basi?