General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Yani kosa la mtoto akashtakiwe Baba au mama ?Hawa vijana wa kuitwa panyard ni watoto wetu, ndugu zetu, jirani zetu nk
Tusipowathibiti hawa panyaroad tutazalisha kundi haramu kama mungiki
Na natamani hawa vijana wakamatwe kisha watoe taarifa kuhusu mikoa, wilaya, mitaa familia walimotokea, wazazi baba na mama n.k
Hawa vijana walizaliwa sawa tuu kama watoto wengine ila kwa wingi wao katika matukio ya uhalifu lazima kuna sehemu sisi tuliowaleta duniani na jamii kwa ujumla tunakosea
Tuanze kwa kuwatafuta mababa na wamama, wajomba, mashangazi, bibi na babu wa hawa panyaroad tunaweza tukapata chanzo na suluhu ya kudumu.
Na ikitokea wanafanya dolia za mitaa wanakaa bar kulewa badala ya kutembelea mitaa.Polisi wengi wameelekezwa kukusanya rushwa barabarani, kama ni ugumu wa maisha upo mpaka kwa wakubwa hawatosheki na mishahara wanategemea rushwa.
Huwez ukawapa jw kaz ya kitoto hiyo ....Hii kazi wapewe jeshi la ulinzi mapema kabla ya hawa watu hajapata support ya waasi, Polisi wetu wameshindwa
Yule alikuwa miongoni mwa vijana weny uthubutu mkubwa na haiba ya uongozi maana anajiamini..Nawaza tuu JPM angekuwepo na Makonda wake...
Dadeki hii safu tutaimisi sanaa hiki kizazi.
Maana mpaka kina Manji walinyooshwa wakanyooka mpaka sasa sijui wako wapi.
Broo Makonda aliikamata Dar ikakamatika.
Mpaka wabunge walitaka kulia kuskia kuitwa wazururaji kama wazururaji wengine ha..
Na miss sanaa na hisi Dar haijapata mwenyewe kama mwenye Dar yake kama Paul Makonda.
Kijana wa koromije.
Sasa watoto sahv kutwa wako kwenye matamasha ya wasanii na masingeli,na kwenye makamaliNi kweli. Chimbuko la vitendo vya hawa watoto vinaanzia majumbani. Utakuta mtoto wa miaka 12 hajulikani anashinda wapi, analala wapi na anakula nini. Na mzazi hata habari hana, Cha zaidi akionana na mwanae anamuomba na pesa kabisa.
Ikitokea kila mzazi/mlezi akachukuwa jukumu lake la ulezi kwa umakini uhalifu mwingi utapungua.
Nani wakuwapata hawa wazaziTuwapate wazazi ili tujue kilichopelekea kushindikana
Kama ni makuzi au mizimu tujue jinsi ya kuvishughulikia kiserikali na kiimani
Hahahaha hahahahaYaani serikali itusaidie kwakweli wanaume wa dar tumekuwa hatuna amani kisa hivi vitoto yaani sahivi nimehamishia kopo la kukojolea ndani kwangu
Naogopa kutoka nje usiku
Yaani hata kuangalia tamthilia usiku nashindwa naogopa wasije sikia sauti
Piga kelele kwa polisi wake weuweeee
Eti shoga angu mawardat kuna tamthilia gani nzuri sahivi
Kuwa siriasi kidogo Yani polisi ifikirie jinsi ya kuwatunza watoto panyard anbao Kila siku wanaua na kujeruhi watuTatizo ni
Jamii
Hii ndo huwalea, inawajua kabisa, inajua magenge yote ya bangi, haina ushirikiano na polisi,
Wanasiasa na wanaharakati
Panyaroad wakiumiza watu wanasiasa wataongea ili serikali ionekane vibaya, Wanaharakati watakuwa kimyaaa
Panyaroad wakiumizwa, wanaharakati wanasema haki za binadamu hazijafuatwa, wanasiasa nao watasema haki haijatendeka
Polisi
Lawama zatupiwa polisi ila polisi kisheria sio mahakama, yeye kazi yake kukamata tu, wengi wao ni watoto wadogo, hivyo inakuwa kazi kuwatunza polisi au magerezani
Labda bashite ashikishwe ukuta.Dar bila Makonda haiwezi kamwe kuwa salama, Makala keshaota kitambi hana muda wa kukimbiza panya, Samia tuletee Bashite wetu ashike usukani