Ccm mbele kwa mbeleHali kwa sasa ishakuwa Tete leo majira ya saa Saba usiku kundi la vijana wapatao 50 wamejeruhi watu watatu nakuiba pesa na Mali Kama tv halI ya majeruhi n mbaya Sana wapo temeke hospitali.
Tunaomba serikali iwape nguvu Zaid jeshi la polisi na mgambo kwa vifaa na ujuz pia.
Huku tozo huku wizi Mali huku kifo au kujeruhiwa kiukwel tumebanwa Sana hatuna jinsi serikali lifanyeni hili Jambo liwe la dharula jamani.
Pia mh Rais ikikupendeza tumbua mkuu wa mkoa kwani inaonekana kazi ndiyo imemshinda kabisa
Vyombo vya Ulinzi na Usalama vichunguze hii hali kabla mambo hayaharibika huko mbele! Inaweza kufikia mahali hawa vijana wakafunga mtaa mchana!!Ccm mbele kwa mbele
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wana wamezidi sana hivi vitoto vitawafanya waendelee kuzaraulikaHahahaha hahahaha
Naona mwanangu u angalau na kupuliza,unangogaa huko unazomea
[emoji1] [emoji2]
Ova
Ndiyo imeshatokea hivyo na polisi wamefeli hivyoHuwez ukawapa jw kaz ya kitoto hiyo ....
Ni uzembe tu wa baadhi ya watu dats all..
Na ndio dawa pekee mbwa wenye kichaa wakiongezeka Risasi inapaswa kutumikaHawa ni wa kuwapelekea moto tu [emoji1783][emoji1783]
Nani wakuwapata hawa wazazi
Nyie au ustawi wa jamii/serikali
Ova
Hizo habari kama ni za kweli basi kuna shida sehemu kwenye uongozi na utendaji wa usalama. Tukio la panya road kuua na kujeruhi pamoja na kuiba lilitakiwa liwe ni la bahati mbaya teni ni mara moja. Na within 24 hours walitakiwa wote kuwa wamekamatwa. Lakini sasa kabla moja halijapoa tunasikia lingine kweli? Maswali ni mengi ya kujiuliza. Jeshi letu la polisi wamekwama wapi? Kama kuna special unit kwa ajili ya majambazi why not treat panya road kama majambazi pia? Je polisi imezidiwa mbinu na panya road? Tumekubali kuwa chini ya panya road? No we need to do something mapema kabla hawajatupanda kichwaniHali kwa sasa ishakuwa Tete leo majira ya saa Saba usiku kundi la vijana wapatao 50 wamejeruhi watu watatu nakuiba pesa na Mali Kama tv halI ya majeruhi n mbaya Sana wapo temeke hospitali.
Tunaomba serikali iwape nguvu Zaid jeshi la polisi na mgambo kwa vifaa na ujuz pia.
Huku tozo huku wizi Mali huku kifo au kujeruhiwa kiukwel tumebanwa Sana hatuna jinsi serikali lifanyeni hili Jambo liwe la dharula jamani.
Pia mh Rais ikikupendeza tumbua mkuu wa mkoa kwani inaonekana kazi ndiyo imemshinda kabisa
Unamaanisha nini?Labda bashite ashikishwe ukuta.
Siyo serikali zetu hiziSerikali ina mikono mingi yenye kazi zake
Hivi wale waliokomesha mauaji ya kule pande za Kibiti, Mkuranga........walikuwa wanajeshi au police?Hii kazi wapewe jeshi la ulinzi mapema kabla ya hawa watu hajapata support ya waasi, Polisi wetu wameshindwa
Polisi wako bize barabaran na biashara.... kila mmoja ananunua Hiace na bajaji!Tatizo hao wa kuwapelekea moto wako wapi?
Jamii inajua vijiwe vya bangi na polisi pia inajua vijiwe vyote vya bangi na gongo shida wanaenda kuchukua mgao wao biashara inaendelea kama kawaida je hapo raia unafanyajeTatizo ni
Jamii
Hii ndo huwalea, inawajua kabisa, inajua magenge yote ya bangi, haina ushirikiano na polisi,
Wanasiasa na wanaharakati
Panyaroad wakiumiza watu wanasiasa wataongea ili serikali ionekane vibaya, Wanaharakati watakuwa kimyaaa
Panyaroad wakiumizwa, wanaharakati wanasema haki za binadamu hazijafuatwa, wanasiasa nao watasema haki haijatendeka
Polisi
Lawama zatupiwa polisi ila polisi kisheria sio mahakama, yeye kazi yake kukamata tu, wengi wao ni watoto wadogo, hivyo inakuwa kazi kuwatunza polisi au magerezani
Baba wa familia ni nguzo ya Nyumba mkuuNajiuliza tuu , hvi Mzee wa Chato aliwezaje kuwadhibiti waarifu wote kwa ujumla na Nchi ikatulia [emoji848][emoji848]
Tena si ndogo! Halafu mtaa waliofanya tukio hilo kuna walinzi wa sungu sungu na kaya zinalazimishwa kulipa 1500/= kwa mwexzi za ulinzi.Hatari
Kapange self bana hao panya road wenyewe watakuogopa[emoji23]Yaani serikali itusaidie kwakweli wanaume wa dar tumekuwa hatuna amani kisa hivi vitoto yaani sahivi nimehamishia kopo la kukojolea ndani kwangu
Naogopa kutoka nje usiku
Yaani hata kuangalia tamthilia usiku nashindwa naogopa wasije sikia sauti
Piga kelele kwa polisi wake weuweeee
Eti shoga angu mawardat kuna tamthilia gani nzuri sahivi