Panya Road wamerudi, tuchukue tahadhari, Polisi Dar wafanya msako wawanasa waliowapiga watu mapanga

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] yaan hii nchi ni vituko
 
Nimenunua ngao,mkuki ,mshale na sime,kesho kutwa nataka nikanunue tindikali hawa jamaa hawana maana kabisa wakikuvamia
Nunua na helmet kabisa na gadi za mikononi na miguuni hawana silaha zaidi ya panga,nondo na bisi ukiwa na hivi unacheza nao man to man.Tena Ukipata ule mkuki wa ncha tatu kama logo ya manchester man to man usawa wa tumboni,mgongoni unachain saw awatouchezea tena huo mtaa.
 
Nyie ni WAPUMBAVU NA MALOFA.
 
Kuna vitu vinashangaza unapora simu ya ten3 mpo 25[emoji6] mnagawana vipi[emoji20][emoji20][emoji20][emoji24]
 
Tengeneza scenario kama baba lishe unatembeza chakula sasa umerudi usiku, au lets say umetoka harusini umefungasha msosi kwenye ndoo kama uswahilini mnavofanyaga. Pita kwenye anga zao ukiwaona weka ndoo chini yenye pilau na nyama kiasi alafu timua mbio, hapo hakuna atakayekukimbiza wale wote wana njaa watakimbilia kugombea msosi.

Hilo pilau uwe umetia SUMU KALI SANA ya kutosha ila isiyo na harufu wala ladha/radha? tena umetia viungo na pilipili kuwapoteza ladha. Wakila baada ya hapo ni kilio na hakuna gari za wagonjwa wala hawana hela kutibiwa haraka. Nusu saa nyingi mnaokota mizoga kama 30 mnafukia

Msosi hauhitaji zaidi ya 40,000. Sumu fanya smuggling
 
Khaaa hivi watu kama ninyi tunaishi na ninyi humuhumu mitaani?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kitunda kwa wakurya vibaka awasogoei kule unakamatwa wanashika kichwa unatikiswa dakika 5 unaambiwa tumekusamehe nenda kwa amani
Hii ya kutikishwa niliisikia inatumika kanda ya ziwa kuwapa adhabu wahalifu,sijajua effect zake zikoje kwa anayetikiswa,tupe machache juu ya hili mkuu
 
👍Ngoja nifanyie kazi huu ushauri mtu anaweza kuona ni kama upuuzi ila ni silaha kubwa mno tena vipanya road vilivyokuwa havina nguvu unavichakaza vyote.
 
Oya tundikali inapatikana wapi siku nataka niwape dozi
 
Ivyo ndio inavyotakiwa nadhani baada ya hapo hawajarudi tena.
 
Mbinu yako ni nzuri lakini unaweza kuuwa na wasiohusika kitu ambacho ni kibaya kuliko hao panya road.
 
Wazo zuli
 
Khaaa hivi watu kama ninyi tunaishi na ninyi humuhumu mitaani?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tuko mtaani wala hutujui. Kwenye masuala ya usalama na utulivu niko tiyari kutumia gharama yoyote. Eti nikalishe mapoumbou chini na mtaani watu wanabakwa, wanauawa na kukabwa na wahuni. #KataaWahuni
 
Mbinu yako ni nzuri lakini unaweza kuuwa na wasiohusika kitu ambacho ni kibaya kuliko hao panya road.
Panya road wanajulikana kabisa kwanza wana kelele kibao mtaani alafu wako disorganized. Kwa nini raia wanajificha wakiwaona? That means wanatambulika so hata wewe ukifanya uchunguzi utawabaini. Unafanya offensive approach na kupoteza wasumbufu wote hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…