Panya Road wamerudi, tuchukue tahadhari, Polisi Dar wafanya msako wawanasa waliowapiga watu mapanga

Panya Road wamerudi, tuchukue tahadhari, Polisi Dar wafanya msako wawanasa waliowapiga watu mapanga

Kaka wewe panya road au kiboko msheli penda uwasikie tu ukiwa huko kwenu Oysterbay. Sisi wa Kigogo na Mburahati tunaelewa mtu akisema panya road anasema nini
Wanaume wa daa mmelegea sana
 
Ukiwa na mke mshali au mke moto usiweke bastola nyumbani badala iiue jambazi itakuua wewe
Kiuhalisia ulinzi ni mazingira yale unayoishi na siyo silaha unazomiliki,,,, ukiwa unaishi maeneo ya nje ya mji na una bastola, kwanza unakuwa target pendwa na majambazi maana wanaitamani... Na wakija ukiwadhuru tayari umenunua ugomvi ambao wanaoku-track wewe huwafahamu, labda uwe mkubwa serikalini kidogo wanaheshimu...
 
Wa kulaumiwa ni waganga wa kienyeji hawa ndio uwapa confidence wezi, majambazi na vibaka watusumbue Mitaa.
Hakuna mwizi,kibaka au jambazi asiye mshirikina Hakuna confidence hio ya kuiba kwa ufahamu wa kawaida.
 
kuna sehemu niliishi eti wezi wa wilaya nzima wanajulikana kabisa yaani na wanafanya matukio kila siku,akikuibia basi utaskia huyu tumpeleke kwa mama yake ni fulani na asilimia kubwa pale huyu ni mjomba wake ,huyu ni mtoto wa dada ,huyu ni mtoto wa mama yake mdogo na huyu ni bro wake

anakuja anaiba na ashajua hata akikamatwa anapigwa na chupa ya fursana tu na kuambiwa ukome tena usirudie tabia hiz na mwishowe fursana ile ile unamuona huyo anaondoka huku anainywa wewe unabaki na wazee wake kwa kuwa unawaheshimu wanakupoza unatulia (ujirani mwema) KAZI YAO INAENDELEA

nikasema haya bwana kwa kuwa ameiba nokia ya tochi tu acha nikaushe

akafanya mazoea

nikabadili ratiba ya kurudi usiku sana,narud mapema na kwa kuwa nyumba ziko mbalimbali naingia natulia kama hakuna mtu tena kuna timing zangu nazfanya naitega kufuli kama vile ''hajarudi bado" kumbe nipo chumban napiga vyombo

nipo chumbani nawasikia mateja wanayapanga mambo yao mmoja akabinjuka akaingia namsoma tu anamwambia jamaa yake kafunga nje kama kawaida huku ndani kupo wazi,akafungua geti akaingia kwa sebule akachukua simu akatia mfukoni akaanza kuchomoa waya za komputa kwenye cable akamaliza akalaza monita kwenye mashine anainua tu atoke nimemfika nilimwambia nakuua kimyakimya au labda wewe ndio utaita watu nilimshusha bega kwa pigo moja tu la panga aliita kweli watu wakajaa

mpaka leo convoy yake yote wamekuwa ni rafk zangu,maana mwenzao ni mlemavu maisha yote na nilimpeleka sehemu mbaya yeye na convoy yake waliacha kuiba maeneo hayo wamebaki tu kuniomba fegi na kunilinda kama kuna teja mgeni anaambiwa mapema.hivyo hawa waTU ni kama tunawafuga maana unakuta mpaka mama zao wanajua wanachofanya mitaan

hii leo nilikuwa nao nashuka kwenye haisi mmoja akanishtua vp bro kesho tunakuletea kuku wa sikukuu saa ngapi utakuwepo home,nikawaambia shemej yenu hayupo nyinyi njooni tu muda wa jioni niwape sport na tung mkapge na watafka na ndio siri zote za mji nazipata kwao

hawa vibaka hawana urafiki wala kujuana labda uwaonyeshe show na wajue wewe ni ZAIDI kuliko WAO.ukikaa kila jambo uwalaumu polisi polis huku unajua mtoto wa dada yako na kundi lake ndio wanaoongoza kikosi cha wizi ubakaji na uporaji ni ungeserema

USHIRIKIANO HATUNA NDIO MAANA WANAPATA NGUVU

ukiibiwa ama kufanyiwa uhalifu ndio utajua uchungu wake
 
Polisi wanasubiri nini kuwamininia Risasi hao panya?
 
kuna sehemu niliishi eti wezi wa wilaya nzima wanajulikana kabisa yaani na wanafanya matukio kila siku,akikuibia basi utaskia huyu tumpeleke kwa mama yake ni fulani na asilimia kubwa pale huyu ni mjomba wake ,huyu ni mtoto wa dada ,huyu ni mtoto wa mama yake mdogo na huyu ni bro wake

anakuja anaiba na ashajua hata akikamatwa anapigwa na chupa ya fursana tu na kuambiwa ukome tena usirudie tabia hiz na mwishowe fursana ile ile unamuona huyo anaondoka huku anainywa wewe unabaki na wazee wake kwa kuwa unawaheshimu wanakupoza unatulia (ujirani mwema) KAZI YAO INAENDELEA

nikasema haya bwana kwa kuwa ameiba nokia ya tochi tu acha nikaushe

akafanya mazoea

nikabadili ratiba ya kurudi usiku sana,narud mapema na kwa kuwa nyumba ziko mbalimbali naingia natulia kama hakuna mtu tena kuna timing zangu nazfanya naitega kufuli kama vile ''hajarudi bado" kumbe nipo chumban napiga vyombo

nipo chumbani nawasikia mateja wanayapanga mambo yao mmoja akabinjuka akaingia namsoma tu anamwambia jamaa yake kafunga nje kama kawaida huku ndani kupo wazi,akafungua geti akaingia kwa sebule akachukua simu akatia mfukoni akaanza kuchomoa waya za komputa kwenye cable akamaliza akalaza monita kwenye mashine anainua tu atoke nimemfika nilimwambia nakuua kimyakimya au labda wewe ndio utaita watu nilimshusha bega kwa pigo moja tu la panga aliita kweli watu wakajaa

mpaka leo convoy yake yote wamekuwa ni rafk zangu,maana mwenzao ni mlemavu maisha yote na nilimpeleka sehemu mbaya yeye na convoy yake waliacha kuiba maeneo hayo wamebaki tu kuniomba fegi na kunilinda kama kuna teja mgeni anaambiwa mapema.hivyo hawa waTU ni kama tunawafuga maana unakuta mpaka mama zao wanajua wanachofanya mitaan

hii leo nilikuwa nao nashuka kwenye haisi mmoja akanishtua vp bro kesho tunakuletea kuku wa sikukuu saa ngapi utakuwepo home,nikawaambia shemej yenu hayupo nyinyi njooni tu muda wa jioni niwape sport na tung mkapge na watafka na ndio siri zote za mji nazipata kwao

hawa vibaka hawana urafiki wala kujuana labda uwaonyeshe show na wajue wewe ni ZAIDI kuliko WAO.ukikaa kila jambo uwalaumu polisi polis huku unajua mtoto wa dada yako na kundi lake ndio wanaoongoza kikosi cha wizi ubakaji na uporaji ni ungeserema

USHIRIKIANO HATUNA NDIO MAANA WANAPATA NGUVU

ukiibiwa ama kufanyiwa uhalifu ndio utajua uchungu wake
True vibaka uiba mitaa dhaifu,Morogoro kuna mtaa wamejenga wanajeshi awagusi hata mlango lala wazi,kitunda kwa wakuriya wanapaogopa kama ukoma.
Ni kuwafanyia action tu awarudi tena,wanajuana wanaenda simuliana.
 
Wanaume wa dar mnakuwa laini sana, watoto wadogo wanawapa presha!
 
Kaka wewe panya road au kiboko msheli penda uwasikie tu ukiwa huko kwenu Oysterbay. Sisi wa Kigogo na Mburahati tunaelewa mtu akisema panya road anasema nini
Acheni uoga wa kifisi, pambaneni kiume.
Tatizo mnakula sana Chips mayai mnakuwa nyoronyoro sana.
 
Kabla hamja ji organize Wana kua na taarifa zote.
Huku Kigogo Ni kwamba kila nyumba Ina mtoto wa kike Malaya, Ina mtoto panya road, Ina mtoto Teja, Ina mmachinga, Ina mtoto kibaka. Kila nyumba Ina mmama mbea ambae hakai na Siri nusu saa.
Kila nyumba Ina mbaba mlevi.
Sasa mnajioganaiz vipi bila hizi taarifa kuvuja.
Kwa taarifa yako huku nyumba moja Ina familia sita.
Hama huo mtaa, hiyo ni jehanamu ndogo.
 
Ndio ya wali wenye sumu ndo solution ya kuwamaliza vibaka wa usiku asubui unangojea ripoti ya mizoga
 
Serikali ilegeze masharti ya watu kupata bastola za kujilinda, zama zimebadilika sio matajiri na viongozi tu wanaopata matishio ya usalama na hivyo bastola isiwe privilege kwa makundi hayo tu.
 
Usiku wa manane usiyehusika unafanya nini nje.Ukishakuwa kibaka wewe sio mtoto tena
Previous Day's ,Walivamia baadhi ya Sehemu ya Maeneo Buguruni ,Wakakutana na Sungusungu ,Walizichapa bahati mbaya walizidiwa nguvu ,Sungusungu mMoja alikatwa katwa Mapanga,yupo Mwananyamala akiendelea kutibiwa majeraha yake.
 
Back
Top Bottom