Panya road wanauawa kwa risas. Je, wezi wa mabilioni ya kodi za Watanzania wanabakije salama?

Panya road wanauawa kwa risas. Je, wezi wa mabilioni ya kodi za Watanzania wanabakije salama?

Utamaliza vijana wewe.
Mkuu nilikuwa namjibu huyo

Nilimaanisha ikiwa yeye anaona ni sahihi panya road kuuawa na wabadhirifu wa mali za umma nao wauawe kama ambavyo wanawafanyia panya road, wanafuatwa majumbani mfano aliesema billion ni vijisenti pyupyupyu nae inamuhusu hapo nami ndipo ntakubaliana Kwa sheria na katiba kutokufuatwa
 
Panya road wanaua na kudhuru mwili,mbadhirifu anamuua nani na anamdhuru mwili nani?
Hawa panya road wameua wangapi kwa mwaka huu tuu ?

Hao wabadhirifu wameua mamilioni ya watu ,ni wangapi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma ya afya ? Wangapi wamepoteza maisha kwa kukosekana huduma ya mama mjamzito karibu na makazi yao ?

Kwenye afya tuu mkuu ni wengi saana lakini sisi muda wote tunawaimbia mapambio hao wabadhirifu na panya road tunawaona makatili kweli
 
Hawa panya road wameua wangapi kwa mwaka huu tuu ?

Hao wabadhirifu wameua mamilioni ya watu ,ni wangapi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma ya afya ? Wangapi wamepoteza maisha kwa kukosekana huduma ya mama mjamzito karibu na makazi yao ?

Kwenye afya tuu mkuu ni wengi saana lakini sisi muda wote tunawaimbia mapambio hao wabadhirifu na panya road tunawaona makatili kweli
Wengi Sana
 
Subiri wakuvamie na kukucharanga kama fillet ya kitimoto ndio utajua tofauti ya hawa wauaji wanaojiita panya. Kibaya zaidi ukikutana nao hawajui kuwa wewe ndio mtetezi wao un3aowatetea nyuma ya keyboard na jina bandia. Elfu kumi tu au simu ya kitochi instosha kuondoa roho yako au kukufanya ķilema mbele ya wavuta bange hao
Mkuu una kichwa kigumu sana, hajatetea panya rodi bali kasema ni lini wezi wa mabilioni wanaosababisha watu kufa kwa kukosa huduma muhimu watapewa adhabu kama wanazopata panya rodi?
 
Nimeamini nchi hii ina wajinga wwngi mmoja wao ndio wewe. Kwa hio unataka panya road waachiwe tu ee?
Kwa hii coment yako wewe ndiye mjinga, hajasema waachiwe kasema wezi wa mali ya umma nao wapewe adhabu kama za panya rodi, mbona china wanatoa adhabu za panya rodi kwa wezi wa mali ya umma
 
Hawa panya road wameua wangapi kwa mwaka huu tuu ?

Hao wabadhirifu wameua mamilioni ya watu ,ni wangapi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma ya afya ? Wangapi wamepoteza maisha kwa kukosekana huduma ya mama mjamzito karibu na makazi yao ?

Kwenye afya tuu mkuu ni wengi saana lakini sisi muda wote tunawaimbia mapambio hao wabadhirifu na panya road tunawaona makatili kweli
Wengi Sana
Hao wengi sana wepi waliouawa na panya road au waliopoteza maisha sababu ya kukosa huduma za afya ?
Kwa hiyo panya road wameanza mwaka huu au? Wameanza kukata watu mwaka huu au?

I wish waje wakunyooshe one day ili ukome kuandika ujinga.
 
Wewe ni punguani,hao wezi si ndio mliokua mnawatetea wakati JPM anawaadabisha
Kwa hii coment yako wewe ndiye mjinga, hajasema waachiwe kasema wezi wa mali ya umma nao wapewe adhabu kama za panya rodi, mbona china wanatoa adhabu za panya rodi kwa wezi wa mali ya umma
 
Acheni jeshi la polisi lifanye kazi yake, kama nikuonywa hao panya walishaonywa sana lakini wanapuuza na kuendeleza uharifu.

Naomba jeshi la polisi kwenye operation yenu hii ya shaba muwaongeze na hawa wanao lawiti watoto. Hawa nao inaonekana sheria wameizoea kama panya road wahamishieni kwenye SHABA.
Wakati wanaongezwa wanaolawiti watoto basi waongezwe na wezi wa mali ya umma
 
Wewe ni punguani,hao wezi si ndio mliokua mnawatetea wakati JPM anawaadabisha
Acha uongo lini JPM aliwapiga chuma wezi wa mali ya umma? Ndio kwanza matrilioni yalipotea alivyokuwa rais
 
Ila ni upumbavu pia kumtetea MTU anayeiba hela huku watu wanahitaji madawa na huduma za afya bora,wanakufa Kwa kukosa Barabara nzuri za kuwafikisha vituo vya afya,wanapata shida Kwa kukosa maji Safi na salama ya uhakika,wafanyakazi kulipwa hela kidogo ila huku watu wengine wakiiba mabilioni ya hela.
Hakuna anaewatetea polisi wao wanapambana na panya road na sisi Wananchi kama tunaumizwa na hawa viongozi tuandamane, tuwazomee kilawanapopita, wasipojirekebisha tupige mawe gari zao mwisho kabisa kama awajabadilika adhabu ya kifo inawahusu kutoka kwetu Wananchi
 
wa ubelgiji si huwa mnasema alipigwa chuma na JPM ama mmesahau?na aliowarundika jela umewasahau. Wabongo kwa kujisahaulisha mpo vizuri. Panyaroad tulia polisi wakushughulikie
Acha uongo lini JPM aliwapiga chuma wezi wa mali ya umma? Ndio kwanza matrilioni yalipotea alivyokuwa rais
 
Kwa kweli kwa matukio niliyoyashuhudia ya hawa vijana wanaoitwa panya road Sina huruma nao hata chembe na hata siwezi kumuombea adui yangu kukutana nao.....

Ukitazama kwa jicho la kibinadamu ni kama wanafanyiwa ukatili lakini ukishuhudia matukio yao na wahanga wa hayo matukio nafsi yako inabadilika hapo....

Kwa kifupi ikitokea umekutana nao ni tukio la kufa au kupona........

Haki na ustawi kwenye jamii ni pamoja kila mmoja kuheshimu haki na usalama wa wengine.....

Najaribu kulaani vitendo vya polisi lakini nikivaa viatu vya wahanga na majeraha wanaoyouguza naishiwa nguvu kabisa.....
Tunataka panya rodi waendelee kupata wanachokipata sasa kutoka kwa polisi ila na wezi wa mali ya umma nao waongezwe kwenye list ya panya rodi nao wale chuma
 
Mkuu samahani kwako wewe wezi wa mabilioni wapo sahihi na wala wizi wao hauna madhara ?

Nchi hii kweli nimeamini wananchi wake wamejaa roho mbaya saana ,unawezaje kuhalalisha wizi wa mabilioni ambayo ilikuwa inaweza kwenda kujenga vituo vya afya ama kununua madawa hospitalini.

Hujawahi kujiuliza vifo vinavyosababishwa na ukosefu wa huduma kuwa mbali ama ukosefu wa dawa vipi vingapi ?
Wezi wa mabilioni awaondoshwi madarakani na polisi wanaondolewa madarakani na sisi Wananchi kama hawa viongozi awatufai ni sisi Wananchi ndio tunatakiwa kuchukua hatua na wala sio polisi
 
wa ubelgiji si huwa mnasema alipigwa chuma na JPM ama mmesahau?na aliowarundika jela umewasahau. Wabongo kwa kujisahaulisha mpo vizuri. Panyaroad tulia polisi wakushughulikie
Sasa huyo wa ubeligiji alikula lini mali ya umma?
 
Mkuu nilikuwa namjibu huyo

Nilimaanisha ikiwa yeye anaona ni sahihi panya road kuuawa na wabadhirifu wa mali za umma nao wauawe kama ambavyo wanawafanyia panya road, wanafuatwa majumbani mfano aliesema billion ni vijisenti pyupyupyu nae inamuhusu hapo nami ndipo ntakubaliana Kwa sheria na katiba kutokufuatwa

Tuwe na sheria kama China. Kesi iendeshwe, halafu hukumu. Suala la kuwafuata nyumbani, tunaweza kupoteza hata wasio na hatia.
 
Kinachonisgaza, ni kupigwa shaba wezi wadogo badala ya kukamatwa wakajibu na kuachwa majizi papa yakiendelea kuiba kila uchwao,

Wore wanapaswa wale shaba tuu
 
Back
Top Bottom