Sasa Magufuli anaingiaje hapa?View attachment 2208388
Pamoja na Rais wa nchi kusimama na kutoa kalipio kali kwa vijana wahalifu wa Panya Road.
Wameendeleza harakati zao za kujeruhi watu na kuiba mali.
Inabidi Rais sasa aonyeshe uongozi hii ni dalili mpaka watoto kama hawa ambao hata Makonda aliweza kuwafuta kwenye mitaa hawamuogopi na wanampuuza.
Kipindi hiki ndio uwa wananchi wanalia machozi kumisss uongozi strong wa Magufuli.
Wacha uongo.ikasemekana
Hao ndio wamemdharau raisi.Mambo ya panya road ni mpaka raisi?.. OCD RPC wanafanya nini.
Tatizo la "panya road" ni kutokuwepo mkakati rafiki wa machinga kufanya biashara. Machinga ni kundi kubwa linalobeba zaidi ya 90% ya vijana kwenye ajira isiyo rasmi. Hivyo katazo la kauli siyo jibu sahihiPamoja na Rais wa nchi kusimama na kutoa kalipio kali kwa vijana wahalifu wa Panya Road.
Wameendeleza harakati zao za kujeruhi watu na kuiba mali.
Inabidi Rais sasa aonyeshe uongozi hii ni dalili mpaka watoto kama hawa ambao hata Makonda aliweza kuwafuta kwenye mitaa hawamuogopi na wanampuuza.
Kipindi hiki ndio uwa wananchi wanalia machozi kumisss uongozi strong wa Magufuli.
Soma: Panya Road wajeruhi 19, Mtongani
Hapo sasa..ilipaswa wawajibike kwa hilo.Hao ndio wamemdharau raisi.
Swali bado ni lile lile..kwanini wanamdharau??
Hayo makundi madogo madogo yasipodhibitiwa mapema ndio chanzo cha ugaidi, tutarudi Kule kule wakati wa kibitiPamoja na Rais wa nchi kusimama na kutoa kalipio kali kwa vijana wahalifu wa Panya Road.
Wameendeleza harakati zao za kujeruhi watu na kuiba mali.
Inabidi Rais sasa aonyeshe uongozi hii ni dalili mpaka watoto kama hawa ambao hata Makonda aliweza kuwafuta kwenye mitaa hawamuogopi na wanampuuza.
Kipindi hiki ndio uwa wananchi wanalia machozi kumisss uongozi strong wa Magufuli.
Soma: Panya Road wajeruhi 19, Mtongani
Nahisi kuna askari polisi wanashirikiana na hawa madogo.Inashangaza sana Panya road vijana zaid ya 20 wanapanga na kujeruhi raia bila polisi kua na taarifa ila vikao vyote vya CHADEMA polisi wana intelejensia ya kuvijua na kuzuia visitokee.
Jeshi lishakua la kisiasa, limepuuza jukumu lake la msingi la kulinda raia na mali zao.
Kwahiyo kwa kukosa kwao ajira ndio watumie nguvu na akili kuiba na kujeruhi watu?!Tatizo la "panya road" ni kutokuwepo mkakati rafiki wa machinga kufanya biashara. Machinga ni kundi kubwa linalobeba zaidi ya 90% ya vijana kwenye ajira isiyo rasmi. Hivyo katazo la kauli siyo jibu sahihi
Sema makao makuu ya JKTHapo si ni jirani kabisa na kambi ya jeshi ya lugalo? Haifiki hata 5km
Ebwana hawa ni vijana wavuta bangi walioacha shule yaan hata umachinga awapoTatizo la "panya road" ni kutokuwepo mkakati rafiki wa machinga kufanya biashara. Machinga ni kundi kubwa linalobeba zaidi ya 90% ya vijana kwenye ajira isiyo rasmi. Hivyo katazo la kauli siyo jibu sahihi