SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Ni upumbavu kutumia msamiati huu wa "Panya Road" na ni aibu kubwa kwa viongozi wakuu wa polisi na serikali kuendelea kutumia neno hilo/msamiati huo. Full stop.
Wahalifu ni wahalifu, Majambazi ni majambazi. Piga shika ua peleka mahakamani ni shauri na dhamana walizokuwa nazo wananchi wenye umakini pamoja na nguvu za polisi na Mahakama. Lakini kutumia lugha na maneno/ msamiati huo ni kujidhalalisha.
Aluta Continua.
Wahalifu ni wahalifu, Majambazi ni majambazi. Piga shika ua peleka mahakamani ni shauri na dhamana walizokuwa nazo wananchi wenye umakini pamoja na nguvu za polisi na Mahakama. Lakini kutumia lugha na maneno/ msamiati huo ni kujidhalalisha.
Aluta Continua.