Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Ndio shida ilipo hajui yupo pale kwa shughuli gani.
Alisha tuonyana lakini ni ‘kudra za mwenyezi mungu’.
Inabidi aelezwe kudra za mwenyezi mungu mwisho 2025.
Hizo chuki zenu kwa raia namba mmoja zitawaua.Haha,ukiangalia kwa umakini ni systems, mifumo yetu inaruhusu huu upuuzi.
Huyu mama angebaki kuwa mke mwenza wa nne. Ingetosha na kuliokoa Taifa.