ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
2025 mikopo, tozo, kodi, itatuua ni too late kwa wananchi wengi milioni 60 ya Watz kuongonzwa na mtu asiye na uwezo wowote wa kiungozi.Ndio shida ilipo hajui yupo pale kwa shughuli gani.
Alisha tuonyana lakini ni ‘kudra za mwenyezi mungu’.
Inabidi aelezwe kudra za mwenyezi mungu mwisho 2025.