Panya Road wapuuza karipio la Rais Samia, waendeleza uhalifu kama kawaida

Panya Road wapuuza karipio la Rais Samia, waendeleza uhalifu kama kawaida

Ohooo,
mimi nilikuwa nadhani kuwa nao ni wanadamu waliolelewa na wanadamu isipokuwa wanasukumwana umasikini wa kipato, njaa na kukosa matumaini/kukata tamaa. Amen


Dunia, nchi yoyote ina maskini wengi kuliko matajiri. 80/20, 95/5.

Unasema jamii zote ziwe wahalifu?
 
Tatizo lake bi tozo hajui ata aina ya sauti ya kutumia unapotoa onyo.

Bahati yake ni raisi wa Tanzania; hao akina Angel Merkel, Magreth Thatcher, Nicola Strugeon if they mean business anaikodolea jicho camera na sauti yake inabadilika jumlisha na maneno makali.

Yaani ata kama kuna vigogo wakiume serikalini walikuwa wanamjaribu wanajua vita wanayonunua ni ama zao, ama zake; lakini sio watu wa mchezo mchezo kabisa.

Huyu mama tunalazimisha tu na kuishusha hadhi nafasi ya amiri jeshi mkuu, anapwaya kwenye kila kitu.
 
Tatizo lake bi tozo hajui ata aina ya sauti ya kutumia unapotoa onyo.

Bahati yake ni raisi wa Tanzania; hao akina Angel Merkel, Magreth Thatcher, Nicola Strugeon if they mean business anaikodolea jicho camera na sauti yake inabadilika jumlisha na maneno makali.

Huyu mama tunalazimisha tu na kuishusha hadhi nafasi ya amiri jeshi mkuu, anapwaya kwenye kila kitu.
Bure kabisa. Sioni kama anaweza kuchukua uamuzi wa kuwatokomeza. Ukiamua ni dakika sifuri tu, tatizo linaisha.

Mpaka watakampora ndugu yake ndipo atakuwa serious.
 
Tatizo la "panya road" ni kutokuwepo mkakati rafiki wa machinga kufanya biashara. Machinga ni kundi kubwa linalobeba zaidi ya 90% ya vijana kwenye ajira isiyo rasmi. Hivyo katazo la kauli siyo jibu sahihi
Hapa kuna kudekezana, hakuna hoja ya msingi, nani amekwambia ukikosa ajira uibe na udhuru watu ? Wewe ukifanya hivyo ni muhalifu na utakiwa kuwajibishwa. Wangapi hawana ajira na hawaibi ?

Basi angalau wawe sahihi basi waende kuwadhuru walio sababisha hayo siyo kuwadhuru raia wasio kuwa na hatia.

Hao vijana wanatakiwa kuuwawa tu, nashangaa inakuwaje wanadekezwa sana.
 
nawachekiii alafu nasema hiiiiiii, ningekuepo mimi!..chuma kinajisemea kilipo uko
 
Kama hao WEHU wanaendelea kufanya vurugu mtaani basi kutakuwa na MIKONO ya watu ili kulinda legacy ya NZIRANKENDE na kumchafua "MAZERI".
 
Hapa kuna kudekezana, hakuna hoja ya msingi, nani amekwambia ukikosa ajira uibe na udhuru watu ? Wewe ukifanya hivyo ni muhalifu na utakiwa kuwajibishwa. Wangapi hawana ajira na hawaibi ?

Basi angalau wawe sahihi basi waende kuwadhuru walio sababisha hayo siyo kuwadhuru raia wasio kuwa na hatia.

Hao vijana wanatakiwa kuuwawa tu, nashangaa inakuwaje wanadekezwa sana.

Hawawezi kwenda kuwashambulia walio serikalini. Serikali, sera ndio chanzo cha matatizo yao mengi.

Wenyewe wanatafuta easy target Mtu asiweza kujilinda, kujitetea.
 
Dunia, nchi yoyote ina maskini wengi kuliko matajiri. 80/20, 95/5.

Unasema jamii zote ziwe wahalifu?
Ndugu hiyo sio hoja yangu.
Ila nilichomjibu Ndg Sonofobia ni kuwa, Panya road nao ni wanadamu waliolelewa na wanadamu isipokuwa wanasukumwana umasikini wa kipato, njaa na kukosa matumaini/kukata tamaa. Waweza pia kufuatilia tangu tulikokuwa tumeanzia itakusaidia.
 
Hawawezi kwenda kuwashambulia walio serikalini. Serikali, sera ndio chanzo cha matatizo yao mengi.

Wenyewe wanatafuta easy target Mtu asiweza kujilinda, kujitetea.
Sasa ndiyo inabidi tuwaue tu hao panya road.
 
Bure kabisa. Sioni kama anaweza kuchukua uamuzi wa kuwatokomeza. Ukiamua ni dakika sifuri tu, tatizo linaisha.

Mpaka watakampora ndugu yake ndipo atakuwa serious.
Atutengenezi viongozi wazuri, aelewi ata tone sahihi kwenye kuonyesha she is dead serious and means business.

Thatcher alipoingia madarakani akakuta serikali imekaa kijamaa sana agenda yake ikawa kupunguza government spending kwa kutoa matumizi yasiyo ya lazima.

Mziki wake aukuwa mdogo kila kona huku unions, wafanyakazi wenyewe, wanasiasa wa upinzani, asasi za kiraia na ata baadhi ya wanasiasa wa conservative walijaribu kupindua meza kutokana na pressure ya jamii, angekuwa lelemama angeshindwa mapema sana.

Thatcher akawajia na famous speech yake ya ya mwaka 1981 ‘The lady is not for turning’ mimi ndio waziri mkuu na nimeamua tunapunguza matumizi ya serikali; waliokuwa wanamchukulia poa au ambao walidhani hana hiyo jeuri mziki wake waliuona mpaka anatoka.

Maza hana qualities za uongozi yupo tu kama pambo la wahuni kufanya yao, ata kuongea tu afananii na raisi wa nchi.
 
Ndugu hiyo sio hoja yangu.
Ila nilichomjibu Ndg Sonofobia ni kuwa, Panya road nao ni wanadamu waliolelewa na wanadamu isipokuwa wanasukumwana umasikini wa kipato, njaa na kukosa matumaini/kukata tamaa. Waweza pia kufuatilia tangu tulikokuwa tumeanzia itakusaidia.

Wengi wetu tumekulia kwenye umaskini. Hatujawahi kuwa wahalifu.

Kuheshimu haki za kuishi, mali za wenzako ni muhimu kwq nchi yoyote ili kuendelea, wewe kwenda kazini na kujua utarudi salama nyumbani.
 
Rais alitoa kauli maanake they are out of control. Maeneo yote ya Temeke, Chanika, Mbagala na ukanda wote huo watu wanaishi kama wapo vitani.
Waziri wa mambo ya ndani anapwaya kama wanasubiri rais asemw
 
Ndugu,
Panya road ni mwanadamu kama wengine, anaweza kupewa ajira itakazomwezesha kupata kipato kilicho halali na kwa usalama HATA wa kwake kibaka mwenyewe, akatulia.
Hata Magufuli angekuwa MKWELI, kwenye takwimu za fursa na ajira alizokuwa anadai kutoa/kutengeza, tatizo hilo lingeweza kuendelea kupungua.
Ndg panya rd under 15 unampa kazi gani!?
 
Atutengenezi viongozi wazuri, aelewi ata tone sahihi kwenye kuonyesha you mean business.

Thatcher alipoingia madarakani akakuta serikali imekaa kijamaa sana agenda yake ikawa kupunguza government spending kwa kutoa matumizi yasiyo ya lazima.

Mziki wake aukuwa mdogo kila kona huku unions, wafanyakazi wenyewe, wanasiasa wa upinzani, asasi za kiraia na ata baadhi ya wanasiasa wa conservative walijaribu kupindua meza kutokana na pressure ya jamii.

Thatcher akawajia na famous speech yake ya ya mwaka 1981 ‘The lady is not for turning’ mimi ndio waziri mkuu na nimeamua tunapunguza matumizi ya serikali; waliokuwa wanamchukulia poa au ambao walidhani hana hiyo jeuri mziki wake waliuona mpaka anatoka.

Maza hana qualities yupo tu kama pambo la wahuni kufanya yao, ata kuongea tu afananii na raisi wa nchi.

Nimeangalia hiyo speech youtube. Huyu SSH hana hata 10% ya uwezo wa kuisimamia nchi.
 
Back
Top Bottom