Panya Road wapuuza karipio la Rais Samia, waendeleza uhalifu kama kawaida

Panya Road wapuuza karipio la Rais Samia, waendeleza uhalifu kama kawaida

Magufuli aliwakuta wanatamba akawafuta kabisa.

Enzi za JK awa watoto walikuwa wanafunga mtaa na ikasemekana walishindikana.
We jamaa MAGUFULI SIJUI AMEKUPA KITU GANI?[emoji1787]raisi ahangaike na panya road kweli?OCD NA RPC WANAFANYA NINI?PUNGUZA MAHABA NIUE KWA JPM,AMESHATANGULIA MBELE ZA HAKI...
 
Mambo ya demokrasia hayo sasa mtulie kila kundi lina haki msijichukulie sheria mkononi muwakamate taratibu kwa mfumo wa kizanzibari na muwapeleke polisi kwa utulivu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Pamoja na Rais wa nchi kusimama na kutoa kalipio kali kwa vijana wahalifu wa Panya Road.

Wameendeleza harakati zao za kujeruhi watu na kuiba mali.

Inabidi Rais sasa aonyeshe uongozi hii ni dalili mpaka watoto kama hawa ambao hata Makonda aliweza kuwafuta kwenye mitaa hawamuogopi na wanampuuza.

Kipindi hiki ndio uwa wananchi wanalia machozi kumisss uongozi strong wa Magufuli.

Soma: Panya Road wajeruhi 19, Mtongani

Kalipio? Muhimu wote wapotezwe. Somo litajulikana wakati mitaa haipitiki. Huwezi kufanya kazi, kutembea usiku. Mke, watoto wako wakiuwawa na kuporwa kila kitu.
 
Raisi aliongea kiwepesi sana na kwa sauti ya kike nzuri ila watakaoshughulika nao ni wengine si yeye.

Jamani, Tuwaonye hawa watoto, Pay back itakapoanza katoto kako kakawa mbele ya chatu mwenye njaa huku kapakawa unga na mafuta ya kuteleza hatakuwepo wa kumsaidia.
ATAOGOPA SANA LAKINI HATOPONA.

Wazazi na jamii mnaowafahamu hawa vijana nafasi ni hii ya kumsikiliza raisi na kuwaonya. Hii nchi ina raisi mwenye sauti nzuri ila ina watu katili wanaoilinda.

"Hii nchi ina raisi mwenye sauti nzuri ila ina watu katili wanaoilinda".
 
Raisi aliongea kiwepesi sana na kwa sauti ya kike nzuri ila watakaoshughulika nao ni wengine si yeye.

Jamani, Tuwaonye hawa watoto, Pay back itakapoanza katoto kako kakawa mbele ya chatu mwenye njaa huku kapakawa unga na mafuta ya kuteleza hatakuwepo wa kumsaidia.
ATAOGOPA SANA LAKINI HATOPONA.

Wazazi na jamii mnaowafahamu hawa vijana nafasi ni hii ya kumsikiliza raisi na kuwaonya. Hii nchi ina raisi mwenye sauti nzuri ila ina watu katili wanaoilinda.
Dawa yao inachemka ,jamii imewapa muda wa kujitafakari ngoja dakika zao zinakaribia kuisha
 
Polisi wanacheza na hawa watoto na kingine watoto wamejua aliyeko juu ni mtu mpole mwenye huruma.

Leo hii Sirro akitoa amri kwa watu wake Panga road ni makaratasi dakika moja wameisha tunazika.

Mama akicheka na kima atavuna mabua
Nakumbuka heka heka ya kipindi kile kusaka panya road walitembeza marungu ya ugoko wenyewe wakatulia
 
Naona unaongea nadhalia hujui kabisa panya road ni vijana wa aina gani.
Ohooo,
mimi nilikuwa nadhani kuwa nao ni wanadamu waliolelewa na wanadamu isipokuwa wanasukumwana umasikini wa kipato, njaa na kukosa matumaini/kukata tamaa. Amen
 
Polisi wanangoja hadi Askari mmoja achomwe kisu ndio wajue kuwa hao vijana ni tishio,kama wakati hule alivyouliwa mwanajeshi ndio wakacharuka
 
Kuna wajinga furani wanasemaga interejensia yao ipo imala sasa kama vijana zaidi ya 20 wanasuka jambo na kwenda kulitekeleza bira ya hao form 4 vilaza kujua je wangekuwa na siraha za moto ingekuwaje?
 
Back
Top Bottom