Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mkiona wanavyonyofolewa viungo hao vijana huko central mtaanza kusema kuwa police ni wakatili.Lile halikuwa karipio kali 😁
Au unataka miili yao ikatupwe milangoni mwa wazazi wao ndipo mjue serikali ipo macho?