SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Mkurya anatii amri ya mchagga tu.
Pole, pamoja na kukamata wahalifu hata utumie miguvu namna gani, kama chanzo hakitatibiwa panya road watakuwa wanajirudia. Mengine ni ushabiki wako, baki nao.Ina maana hujui kwanini dola ipo? Kwa hiyo kwa vile hao vijana ni masikini waachwe wafanye uhalifi?
Nyumbu hovyo kabisa kisa limetajwa jina la Magufuli kwamba alitokomeza panya road basi mmehamishia chuki kwa Magufuli na kutetea panya road.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ndugu pole, dola sio lazima itishe. Kinachotakiwa ni ufumbuzi wa kweli na wa kudumu. Hata huko kwa Kagame kama nae mtindo ni miguvu peke yake, basi panya road wa huko watakuja rudi, tena vibaya zaidi kuliko hata mauaji ya kimbari.Kagame kafanikiwaje?, Dola lazima itishe, mbona Rwanda husikii huo ujinga
Wahalifu wakamatwe na kuchukuliwa hatua, lakini pawepo pia na ufumbuzi wa kudumu. Ama sivyo watakuja rudi tu Kama hivi Sasa. Ndugu kelele za jazba hazikusaidii wewe wala mtz mwingine yeyote.Unataka panya road wapewe ajira? Au wewe ndo Mwenyekiti wao umekuja kupima upepo wa mitandaoni? Kawaambie kuwa serikali iko imara na hakika watapukutika sana!!