Panya road warudi Tena mchana huu

hawa vijana watakwenda sambamba na kuungua kwa masoko nchi nzima

over
 
Kuna jamaa yangu anaishi hapo mtongani, tena anafanyia biashara zake hapo barabarani na kurudi kwaje ndani kidogo, njmempigia anaxhangaz tu kusikia swala hilo kwani halipo tu. Labda km mna agenda yenu ktk uzushi huu!
Huyo jamaa yako nadhani ni mhusika mie naongea na mdogo wangu wa kike, na mza mdogo wapo huko ndio wananiambia wamejifungia maana jamaa wamepita mtaani kwao we unakuja kubisha tu.
 
Kuna jamaa yangu anaishi hapo mtongani, tena anafanyia biashara zake hapo barabarani na kurudi kwaje ndani kidogo, njmempigia anaxhangaz tu kusikia swala hilo kwani halipo tu. Labda km mna agenda yenu ktk uzushi huu!
Jifunze kuandika kwanza afu mwanaume una tumiaje (x) badala ya (s) kwenye sentence zako
 
Acha mkwara wa kiduanzi kwani polisi wamewakataza msikabiliane na huo uhalifu? Polisi kila siku si wanasema kuwepo na vikundi vya ulinzi shirikishi we endelea kupiga soga JF tu Ila ubabe wa kukabiliana nao huna wanaume wa Dar mnajilegeza sana badala ya kuchukua hatua nyie endeleeni kusubiri polisi wawaruhusu kukabiliana nao uone madhara yatakayo wapata

Mtu anakuja kukushika tako mbele ya mke wako we unasema unasubiri polisi waje wakuruhusu uutoe huo mkono😄
 
Ndugu mleta Uzi, mm ni polisi nipo karibu hapo, ila kwa Varangati la hao "panya" siwezi peleka pua yangu, kwanza nmetoka kuoa Juzi na mke wangu ana mimba changa.
🤣🤣🤣🤣🙌
 
Mama asisikilize maneno ya watu wa zamani. Changamoto zao sio za zama hizi.
Mama aamini sana katika ujasusi(ukusanyaji aa habari). Yaani Rais anatakiwa kuwa na wapasha habari kila mahali. Rais anatakiwa kujua kinachoendelea pale Ngaramtoni ya Juu ndani ya muda mfupi akihitaji.
Na ajue kabla ya wasaidizi wake kama RPC, RC, RAS.
Rais asiwape vichwa wasaidizi eti wao ndio wampashe habari.
 
Kwa hiyo mnasubiri Polisi waje ili hali mkiendelea kupewa kichapo? Unajua dhani ya self defense Mkuu.

Embu waambie hao panya wahamie mikoani..!
 
Nb: Mnapotoa taarifa muwe na uhakika kuepusha kuzua taharuki
 
Mnaomba muambiwe na polisi au mnatakiwa mjiambie wenyewe nini cha kuwafanya hao mende. Hizi habari kama ni za kuzushwa mitandaoni ili kuleta tafrani kwa wananchi zitasababisha vijana wengi kukamatwa mitandaoni kwa ajili ya kueneza uvumi usiokuwa na maana yoyote.
 
Dawa ni moja tu ili kukomesha hilo jambo.

Piga chini RPC wa Dar
Piga chini RSO wa Dar

Kwa kosa la kutotimiza majukumu yao ya kazi.
 
Kuna jamaa yangu anaishi hapo mtongani, tena anafanyia biashara zake hapo barabarani na kurudi kwaje ndani kidogo, njmempigia anaxhangaz tu kusikia swala hilo kwani halipo tu. Labda km mna agenda yenu ktk uzushi huu!
Ngoja tusubiri. Ni mapema san kupinga
 
Hakuna tukio hilo kilichotokea ni Mtu anagombana na Mke wake sasa Watu kwakuwa wameathirika na tukio la jana wapewa taarifa ya uongo wamejifungia ila hali ni shwari huko.
Taarifa imetokea kwa waliopiga simu Polisi na Polisi wamefutilia na kugundua siyo kweli ni Ugomvi tu wa familia.
 
Kwani hii ni awamu ya Magufuli?
Ndiyo maana zito alisema mkalale nae pale
Mambo hayawezi kufanana na hamuwezi kulazimisha hilo
Kama akili zako hazitoshi kutambua hilo basi una matatizo ya akili
Kila mtu ana ubora wake
Mbona unajibu kwa hasira mzee wakati jamaa kauliza swali simple tu!?
 
Hivi awamu ya Hayati Magufuli hii kitu ilikuwepo?
Ilikuwepo enzi za kikwete, alipoingia Magufuli Kila mtu akaenda kutafuta kazi ya kufanya. Sasa karudi madarakani na panya road wamerudia kazi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…