Binafsi ni mwl wangu?!Alikuwa padre wa jimbo la Iringa kabla Mafinga jalijawa jimbo. Baada ya Mafinga kuwa jimbo akawa ni padre wa jimbo la Iringa. He is a good man namjua sababu tumesoma seminari Mafinga wote na baadaye tukawa walimu wote Mafinga seminari. Anastahilo sana. He is a humble man
Kwenye bold sio SAWA taarifa inajieleza alikuwa makamu wa askofu Iringa.baada ya Jimbo la Iringa kugawanywa na kupatikana Jimbo la mafinga,Pd Romanus akawa wa jimbo la Mafinga na mpaka anateuliwa kuwa askofu alikuwa vicar wa jimbo la mafinga
Sio misimamo mikali ni askofu wa kanisa, tuwaombee maaskofu wetuHongera kwake padre Mihali.
Askofu ngalalekumtwa ni askofu mwenye misimamo mikali sana ya kidini.
Shukurani kwa huduma yake ya kichungaji.
Hongera kwake padre Mihali.
Askofu ngalalekumtwa ni askofu mwenye misimamo mikali sana ya kidini.
Shukurani kwa huduma yake ya kichungaji.
Jiheshimu itapendeza zaidiKampa na yale maelekezo ya kuwabariki wale wazee wa upinde?
Mimi ni yahayaMbona hata wewe ni usalama wa taifa?!
Prove me wrong kwa kufanya mambo yasiyopendeza usalama wa taifa.
Very Young...Baba Mtakatifu Fransisko ameridhia ombi la kustaafu Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo la Iringa, na kumteua Padre Romanus Elamu Mihali wa Jimbo la Mafinga, kuwa Askofu mpya wa Jimbo la Iringa, leo tarehe 28/01/2025.
Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali, alizaliwa tarehe 10/06/1969 Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa.
Baada ya masomo na majiundo ya kipadre, alipewa Daraja Takatifu la Upadre tarehe 13/07/2000 Jimboni Iringa, na kuhudumu katika nafasi mbalimbali za utume Jimboni Iringa. Mnamo mwaka 2010 alitunukiwa Shahada ya Uzamili, katika fani ya Sayansi ya Wanyama kutoka Chuo Kikuu cha Kerala nchini India.
Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali tangu mwaka 2024 hadi sasa, amehudumu nafasi ya Makamu wa Askofu kwa Waklero Jimboni Mafinga.
Aidha, Mhashamu Askofu Mstaafu Tarcisius Ngalalekumtwa atakuwa Msimamizi wa Kitume wa Jimbo la Iringa, hadi Askofu Mteule atakapowekwa Wakfu na Kusimikwa Jimboni humo.
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, linamwombea Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali afya ya mwili na roho katika utume huo mpya.
Imetolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania.
View attachment 3216497
Aniaminiye Mimi,Kumbe unacheza na piano keys!!
Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu
Asema bwana
Hu ukaa ndani yangu nami hukaa ndani yake!
Njoooni enyi wenye njaa
Njoooni enyi wenye kiu
Njoooni kwangu niwashibishe
Aulaye mwili wangu......
Kila la Heri Baba Romanus Mihali🙏Baba Mtakatifu Fransisko ameridhia ombi la kustaafu Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo la Iringa, na kumteua Padre Romanus Elamu Mihali wa Jimbo la Mafinga, kuwa Askofu mpya wa Jimbo la Iringa, leo tarehe 28/01/2025.
Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali, alizaliwa tarehe 10/06/1969 Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa.
Baada ya masomo na majiundo ya kipadre, alipewa Daraja Takatifu la Upadre tarehe 13/07/2000 Jimboni Iringa, na kuhudumu katika nafasi mbalimbali za utume Jimboni Iringa. Mnamo mwaka 2010 alitunukiwa Shahada ya Uzamili, katika fani ya Sayansi ya Wanyama kutoka Chuo Kikuu cha Kerala nchini India.
Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali tangu mwaka 2024 hadi sasa, amehudumu nafasi ya Makamu wa Askofu kwa Waklero Jimboni Mafinga.
Aidha, Mhashamu Askofu Mstaafu Tarcisius Ngalalekumtwa atakuwa Msimamizi wa Kitume wa Jimbo la Iringa, hadi Askofu Mteule atakapowekwa Wakfu na Kusimikwa Jimboni humo.
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, linamwombea Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali afya ya mwili na roho katika utume huo mpya.
Imetolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania.
View attachment 3216497
kwani vicar general ni nani au hujui kuwa ndiye makamu wa askofu kwa wakatoliki?Kwenye bold sio SAWA taarifa inajieleza alikuwa makamu wa askofu Iringa.
Thank you MrAniaminiye Mimi,
Na Kuyashika nisemayooo
Nitamfufua siku ya mwisho
Wewe hapo juu umesema alikuwa vicar general wa jimbo la mafinga..kwani vicar general ni nani au hujui kuwa ndiye makamu wa askofu kwa wakatoliki?
Jimbo Kuu DodomaMajimbo makuu
Dar es salaam , ruwaichi
Mwanza masalu nkwande
Songea Damian dallu
Arusha, aman isack
Tabora, lugambwa
Mbeya, nyaisonga
Nilichanganya madensa mtumish
"Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali tangu mwaka 2024 hadi sasa, amehudumu nafasi ya Makamu wa Askofu kwa Waklero Jimboni Mafinga."Wewe hapo juu umesema alikuwa vicar general wa jimbo la mafinga..
Kitu ambacho sio sahihi askofu alikuwa jimboni Iringa kama makamu wa askofu na paroki wa ujewa.
Hilo la kuwa vicar general wa Mafinga si kweli, otherwise unapingana na taarifa ya TEC.
Kwamba wewe unaishi ulimwengu wa peke yako si ndio?Ulihudhuria nini mkuu hivyo vikao?