Papa Francis amteua Padre Romanus Elamu Mihali wa Jimbo la Mafinga, kuwa Askofu mpya wa Jimbo la Iringa

Papa Francis amteua Padre Romanus Elamu Mihali wa Jimbo la Mafinga, kuwa Askofu mpya wa Jimbo la Iringa

Alikuwa padre wa jimbo la Iringa kabla Mafinga jalijawa jimbo. Baada ya Mafinga kuwa jimbo akawa ni padre wa jimbo la Iringa. He is a good man namjua sababu tumesoma seminari Mafinga wote na baadaye tukawa walimu wote Mafinga seminari. Anastahilo sana. He is a humble man
Binafsi ni mwl wangu?!
 
Hongera kwake padre Mihali.
Askofu ngalalekumtwa ni askofu mwenye misimamo mikali sana ya kidini.
Shukurani kwa huduma yake ya kichungaji.
Sio misimamo mikali ni askofu wa kanisa, tuwaombee maaskofu wetu
Hongera kwake padre Mihali.
Askofu ngalalekumtwa ni askofu mwenye misimamo mikali sana ya kidini.
Shukurani kwa huduma yake ya kichungaji.
 
Kampa na yale maelekezo ya kuwabariki wale wazee wa upinde?
 
Kama kachaguliwa na papa, basi ana baraka zote kuwabariki wabarikiwa......
 
Baba Mtakatifu Fransisko ameridhia ombi la kustaafu Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo la Iringa, na kumteua Padre Romanus Elamu Mihali wa Jimbo la Mafinga, kuwa Askofu mpya wa Jimbo la Iringa, leo tarehe 28/01/2025.

Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali, alizaliwa tarehe 10/06/1969 Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa.

Baada ya masomo na majiundo ya kipadre, alipewa Daraja Takatifu la Upadre tarehe 13/07/2000 Jimboni Iringa, na kuhudumu katika nafasi mbalimbali za utume Jimboni Iringa. Mnamo mwaka 2010 alitunukiwa Shahada ya Uzamili, katika fani ya Sayansi ya Wanyama kutoka Chuo Kikuu cha Kerala nchini India.

Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali tangu mwaka 2024 hadi sasa, amehudumu nafasi ya Makamu wa Askofu kwa Waklero Jimboni Mafinga.

Aidha, Mhashamu Askofu Mstaafu Tarcisius Ngalalekumtwa atakuwa Msimamizi wa Kitume wa Jimbo la Iringa, hadi Askofu Mteule atakapowekwa Wakfu na Kusimikwa Jimboni humo.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, linamwombea Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali afya ya mwili na roho katika utume huo mpya.

Imetolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania.

View attachment 3216497
Very Young...
 
Kumbe unacheza na piano keys!!

Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu

Asema bwana

Hu ukaa ndani yangu nami hukaa ndani yake!

Njoooni enyi wenye njaa

Njoooni enyi wenye kiu

Njoooni kwangu niwashibishe


Aulaye mwili wangu......
Aniaminiye Mimi,

Na Kuyashika nisemayooo

Nitamfufua siku ya mwisho
 

Attachments

Baba Mtakatifu Fransisko ameridhia ombi la kustaafu Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo la Iringa, na kumteua Padre Romanus Elamu Mihali wa Jimbo la Mafinga, kuwa Askofu mpya wa Jimbo la Iringa, leo tarehe 28/01/2025.

Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali, alizaliwa tarehe 10/06/1969 Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa.

Baada ya masomo na majiundo ya kipadre, alipewa Daraja Takatifu la Upadre tarehe 13/07/2000 Jimboni Iringa, na kuhudumu katika nafasi mbalimbali za utume Jimboni Iringa. Mnamo mwaka 2010 alitunukiwa Shahada ya Uzamili, katika fani ya Sayansi ya Wanyama kutoka Chuo Kikuu cha Kerala nchini India.

Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali tangu mwaka 2024 hadi sasa, amehudumu nafasi ya Makamu wa Askofu kwa Waklero Jimboni Mafinga.

Aidha, Mhashamu Askofu Mstaafu Tarcisius Ngalalekumtwa atakuwa Msimamizi wa Kitume wa Jimbo la Iringa, hadi Askofu Mteule atakapowekwa Wakfu na Kusimikwa Jimboni humo.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, linamwombea Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali afya ya mwili na roho katika utume huo mpya.

Imetolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania.

View attachment 3216497
Kila la Heri Baba Romanus Mihali🙏
 
kwani vicar general ni nani au hujui kuwa ndiye makamu wa askofu kwa wakatoliki?
Wewe hapo juu umesema alikuwa vicar general wa jimbo la mafinga..
Kitu ambacho sio sahihi askofu alikuwa jimboni Iringa kama makamu wa askofu na paroki wa ujewa.

Hilo la kuwa vicar general wa Mafinga si kweli, otherwise unapingana na taarifa ya TEC.
 
Wewe hapo juu umesema alikuwa vicar general wa jimbo la mafinga..
Kitu ambacho sio sahihi askofu alikuwa jimboni Iringa kama makamu wa askofu na paroki wa ujewa.

Hilo la kuwa vicar general wa Mafinga si kweli, otherwise unapingana na taarifa ya TEC.
"Mhashamu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali tangu mwaka 2024 hadi sasa, amehudumu nafasi ya Makamu wa Askofu kwa Waklero Jimboni Mafinga."

kasome vizuri andiko la TEC
 
Back
Top Bottom