Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Ahhh! Kumbe ni conspiracy....au hujui maana ya Conspiracy...?we
wewe c z.uzu na ch.izi huwezijua mambo ya Illuminati conspiracy yapo nje ya uwezo wako,tulia
naishi ndo mdudu ganiAhhh! Kumbe ni conspiracy....au hujui maana ya Conspiracy...?
Kwahiyo wewe naishi kwa conspiracy...?
Ushaanza kuleta habari za madhehebu.Ukweli upi ndugu..? Porojo za mitandaoni ambao kila mtu anaweza andika...??
Hebu nikuulize ni lini alisema hayo? Alimsapoti mtu gani..? Nani alikwambia micro-chip ni alama ya mpinga Kristo ? Hii umetolea wapi..?
Halafu mbona kitabu cha apocylpse cha Yohana hakiongelei mambo hayo..? Huu upuuzi umeutolea wapi..??
Tatu wewe ni dhehebu gani..?
Condpiracy ni nini..?naishi ndo mdudu gani
Itakuwa planted kwa binadamu lini..? Na nani..?Ushaanza kuleta habari za madhehebu.
Tatizo mkishalishwa hizi imani za kabisa basi hamtaki kusikia
Haya we yapite tu.
Yaani mpaka Leo kuna mkristo hajui kuhusu chapa ya 666 kuwa no chip itakayokuwa planted kwa binadamu!?
Imani kitu kibaya. Soma vzr ufunguke
Condpiracy ni nini..? acha kukurupukaCondpiracy ni nini..?
Hizi habari za kipuuzi za chip maraa nyingi huwa tunazisikia kwa Wasabato.....Ushaanza kuleta habari za madhehebu.
Tatizo mkishalishwa hizi imani za kabisa basi hamtaki kusikia
Haya we yapite tu.
Yaani mpaka Leo kuna mkristo hajui kuhusu chapa ya 666 kuwa no chip itakayokuwa planted kwa binadamu!?
Imani kitu kibaya. Soma vzr ufunguke
Nafikiri umeelewa nilichotaka kuandika..Condpiracy ni nini..? acha kukurupuka
labda kama ulivyowahi kusikia kuna uhusiano gani kati ya Wasabato na hizo chip?Hizi habari za kipuuzi za chip maraa nyingi huwa tunazisikia kwa Wasabato.....
Wewe ni Msabato..?
ka google kwanini unaumiza kichwaNafikiri umeelewa nilichotaka kuandika..
Haya! Conspiracy ni kitu gani..?
Unaijua historia ya uanzishwaji wa hili dhehebu tokea Millerite Movement mpaka SDA na mpaka kuja kumeguka na kutengeza pacha wake Jehova Witness..?ku
labda kama ulivyowahi kusikia kuna uhusiano gani kati ya Wasabato na hizo chip?
Wewe mpaka kuandika hapa inamaana ulielewa.. Sasa nataka utuwekee hapa ulichoelewa..ka
ka google kwanini unaumiza kichwa
Siongei na watu vichaa. Naongea na werevu tu. Sihitaji kuyajua ya wapumbavu. Mtu anaejishindwa kujisoma huwa na hulka ya kufwatilia mambo yasiyo na tija. Maisha yao ni ya kanjanja kanjanja. Hawaishi kuzusha mambo ya kikekike kwa maana ndivyo walivyo.Ehhh! Sasa mbona hujajibu nilichokuuliza....?? Huko shuleni mlienda kusomea ujinga...?
Labda nirudie swali....Acha kuwa na hasira bana .Siongei na watu vichaa. Naongea na werevu tu. Sihitaji kuyajua ya wapumbavu. Mtu anaejishindwa kujisoma huwa na hulka ya kufwatilia mambo yasiyo na tija. Maisha yao ni ya kanjanja kanjanja. Hawaishi kuzusha mambo ya kikekike kwa maana ndivyo walivyo.
Hivyo jifunze hekima kama huna la kuongea. Busara kukaa kimya.
Nashukuru mkuu kwa kuwasuuza hawa ***** .afu nashangaa hawataki kujibu hili swali hata mleta mada naye kakimbia.hahaha so funnyLabda nirudie swali....Acha kuwa na hasira bana .
Nimekuuliza hivi... Unamjua William Miller, Joseph Bates, Hiram Edson...?
Jibu lako latikiwa kujikita "Nawajua au Siwajui"
Sasa povu la nini..? Daah
Hakuna hata mmoja aliyetaka kujibu...Maaana wakijib tu wamekwisha..Nitawanyongea hap na thread inafungwa... Ukitaka mkamata Msabato we muulize kama anajua historia ya SDA...Maana haya mambo wanayoyafanya Wasabato yote yameasisiwa na waanzilishi wao....So ukitaka wakukimbie we watajie jina kama Wlliam Miller na tukio la mauaji mkubwa kule marekani ( Great Disappointment).....Hakika utaachiwa thread mwenyewe kama ulivyoona wameniacha mwenyewe...Nashukuru mkuu kwa kuwasuuza hawa ***** .afu nashangaa hawataki kujibu hili swali hata mleta mada naye kakimbia.hahaha so funny
Huyu Kibibi Hellen G White kwanza yupo Jehanam anateketea akilipia mauaji makubwa aliyosababisha mwaka 1844 (Great Disappointment)Adui mkubwa namba moja wa wasabato ni Pope. Na ukiona mada kama hizi ujue wafuasi wa yule mama mhuni Hellen White.
Kwamba viongoz wakubwa wa dini nao ni ma agent wa shetani,,,,Ukweli upi...?
Hiyo ndo kweli...?Kwamba viongoz wakubwa wa dini nao ni ma agent wa shetani,,,,
Mbaya zaidi wana millions of followers ,,,,, shetani anauwezo mkubwa sanaaaa,,,, ukiwa na imani dhaifu utakuwa mfuasi wake tu,,,, kama aliweka ahadi kwa mungu lazima awapoteze wanadam wote wenye nyoyo dhaifu sio ajabu kazi zake ndo zishaanza HV,,